willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Huu mkataba uliosainiwa na serikali za kikoloni . Je kuna haja ya kuuvunja?
Nimekua nikijiuliza kwa muda mrefu kwanini hatutumii ziwa victoria kwa umwagiliaji lakini huko misri wanatumia kwa kila kitu na wanategemea 100% ya maisha mto nile ambayo chanzo chake ni ziwa victoria na kuzalisha umeme na kilimo cha umwalgiliaji.
Wakati sisi wanaafrica mashariki tunapata mvua za misimu ambazo hazitoshi kuwekeza kwenye kilimo na hivo tukiataabika na baa la njaa wakati mwingine na bei ya vyakula maradufu wakati mungu katupa hili ziwa victoria la bure kabisa tulitumie bila buguza? Kwann?
Baadhi ya masharti.
1.Misri imehakikishiwa kutumia mita za ujazo 55.5bn za maji, nje ya jumla ya mita za ujazo 84bn.
2. Hairusiwi nchi za africa mashariki kwenye chanzo yaani ziwa victoria kutumia maji haya kwa shughili za umwagiliaji, kusambaza maji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
3. Misrii itatumia maji hata kwa kufanyia jambo lolote lile mfano. Kujenga stigler gorge, uwekezaji wa mfumo ya umwagiliaji mashamba makubwa na madogo.
"These are people with no water," said the Tanzanian water minister, Edward Lowasa. "How can we do nothing when we have this lake just sitting there?" maneno ya lowasa hayo. 2004
The Ugandan commentator Charles Onyango: "Egypt can't enjoy the benefits of having access to the sea, while blocking a landlocked country like Uganda from profiting from the fact that it sits at the source of the Nile."
Aliekua Waziri wa maji wa Misri, Mahmoud Abu-Zeid, hivi karibuni alielezea nia ya Kenya ya kujiondoa mkataba kama "kitendo cha vita". Boutros Boutros-Ghali, katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, ametabiri kuwa vita inayofuata katika eneo hilo litakuwa juu ya maji.
Mkataba wa Nile, ambao Uingereza ulisign kwa niaba ya makoloni yake ya mashariki mwa Afrika, huzuia miradi yoyote ambayo inaweza kutishia kiasi cha maji kinachofikia Misri. Mkataba pia unatoa Cairo haki ya kukagua urefu wote wa Nile.
Wanasheria huu mkutaba wa kinyonyaji tunawezajaze kuukataa kama jumuiya ya Africa Mashariki?
Nimekua nikijiuliza kwa muda mrefu kwanini hatutumii ziwa victoria kwa umwagiliaji lakini huko misri wanatumia kwa kila kitu na wanategemea 100% ya maisha mto nile ambayo chanzo chake ni ziwa victoria na kuzalisha umeme na kilimo cha umwalgiliaji.
Wakati sisi wanaafrica mashariki tunapata mvua za misimu ambazo hazitoshi kuwekeza kwenye kilimo na hivo tukiataabika na baa la njaa wakati mwingine na bei ya vyakula maradufu wakati mungu katupa hili ziwa victoria la bure kabisa tulitumie bila buguza? Kwann?
Baadhi ya masharti.
1.Misri imehakikishiwa kutumia mita za ujazo 55.5bn za maji, nje ya jumla ya mita za ujazo 84bn.
2. Hairusiwi nchi za africa mashariki kwenye chanzo yaani ziwa victoria kutumia maji haya kwa shughili za umwagiliaji, kusambaza maji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
3. Misrii itatumia maji hata kwa kufanyia jambo lolote lile mfano. Kujenga stigler gorge, uwekezaji wa mfumo ya umwagiliaji mashamba makubwa na madogo.
"These are people with no water," said the Tanzanian water minister, Edward Lowasa. "How can we do nothing when we have this lake just sitting there?" maneno ya lowasa hayo. 2004
The Ugandan commentator Charles Onyango: "Egypt can't enjoy the benefits of having access to the sea, while blocking a landlocked country like Uganda from profiting from the fact that it sits at the source of the Nile."
Aliekua Waziri wa maji wa Misri, Mahmoud Abu-Zeid, hivi karibuni alielezea nia ya Kenya ya kujiondoa mkataba kama "kitendo cha vita". Boutros Boutros-Ghali, katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, ametabiri kuwa vita inayofuata katika eneo hilo litakuwa juu ya maji.
Mkataba wa Nile, ambao Uingereza ulisign kwa niaba ya makoloni yake ya mashariki mwa Afrika, huzuia miradi yoyote ambayo inaweza kutishia kiasi cha maji kinachofikia Misri. Mkataba pia unatoa Cairo haki ya kukagua urefu wote wa Nile.
Wanasheria huu mkutaba wa kinyonyaji tunawezajaze kuukataa kama jumuiya ya Africa Mashariki?