Shaffih Dauda vs C.E.O Babra, simba tukatae huu upuuzi

willy ze great

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
1,026
1,179
Ona jinsi alivyomuattack barba. Huja jamaa ndo wale madalali njaaView attachment 1766239View attachment 1766240View attachment 1766241
Screenshot_20210428-094919.jpg


"


Endelea hapa

"Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI"
 
Huyu wakala wa Tshabalala atakua team utopolo yaani kasubiri derby ndo kalianzisha, ila najiulizaga mbona waandishi wa michezo bongo huwaga wepesi sana kukandia na kuilaani ssc?!

Huyo wakala mbona anaongea beyond?! Kama wako kwenye negotiations kwa nn aje aprovoke huku mtaani? Hiyo ndo football professionalism?! Yaani hadi natamani achukuliwe na uto kwa dau kubwa la kwenye makaratasi halafu kulipwa mpaka aende cas hapo ndo atapata elimu dunia. Bosi hanuniwi.
 
Sasa hapo mkuu ni wapi shaffih kamuattack Babra kwa maelezo yake anazungumzia mtu mwenye nafasi ya CEO ndani ya simba kushindwa kutimiza majukumu yake kwa wakati na ni ushauri mzurii hata sisi wanasimba kwa tulipofikia hatufurahii kuhangaika na wachezaji wetu tena tegemeo wakiwa wamebakisha miezi miwili mkataba uishe hizi ni presha za kujitakia ili baadae tumlaumu mchezaji hana mapenzi na timu wakati sote tunajua hawa vijana mpira ndio kazi yao ni zaidi ya mapenzi na ushabiki.
 
Sasa hapo mkuu ni wapi shaffih kamuattack Babra kwa maelezo yake anazungumzia mtu mwenye nafasi ya CEO ndani ya simba kushindwa kutimiza majukumu yake kwa wakati na ni ushauri mzurii hata sisi wanasimba kwa tulipofikia hatufurahii kuhangaika na wachezaji wetu tena tegemeo wakiwa wamebakisha miezi miwili mkataba uishe hizi ni presha za kujitakia ili baadae tumlaumu mchezaji hana mapenzi na timu wakati sote tunajua hawa vijana mpira ndio kazi yao ni zaidi ya mapenzi na ushabiki.
Yani et mtu Hana mapenz na tim Yan haipend
Kwan pale anafuata upendo au ameemda kubaruan kwake hapa ndo Simba wanapokosea
 
Sasa hapo mkuu ni wapi shaffih kamuattack Babra kwa maelezo yake anazungumzia mtu mwenye nafasi ya CEO ndani ya simba kushindwa kutimiza majukumu yake kwa wakati na ni ushauri mzurii hata sisi wanasimba kwa tulipofikia hatufurahii kuhangaika na wachezaji wetu tena tegemeo wakiwa wamebakisha miezi miwili mkataba uishe hizi ni presha za kujitakia ili baadae tumlaumu mchezaji hana mapenzi na timu wakati sote tunajua hawa vijana mpira ndio kazi yao ni zaidi ya mapenzi na ushabiki.
Kwanza turuhusu akili zetu kuwa huru na kutofungwa na hisia/mapenzi ya timu zetu za kariakoo.
Pili,hili lianzie kwenye mfumo kabisa,ikibd iwe ni sehemu ya taaluma ya awali,kwa kuwa ni jambo linalogusa watu wengi sana na linahusu eneo kubwa sana,sio mpira wa miguu peke yake....elimu ya mambo ya mikataba na pesa iwe ya ulazima.
Tatu,tuwe tayari kubadilika na tuwe huru ku-venture into new seas and oceans
 
Sasa hapo mkuu ni wapi shaffih kamuattack Babra kwa maelezo yake anazungumzia mtu mwenye nafasi ya CEO ndani ya simba kushindwa kutimiza majukumu yake kwa wakati na ni ushauri mzurii hata sisi wanasimba kwa tulipofikia hatufurahii kuhangaika na wachezaji wetu tena tegemeo wakiwa wamebakisha miezi miwili mkataba uishe hizi ni presha za kujitakia ili baadae tumlaumu mchezaji hana mapenzi na timu wakati sote tunajua hawa vijana mpira ndio kazi yao ni zaidi ya mapenzi na ushabiki.
Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI
 
Huyu wakala wa Tshabalala atakua team utopolo yaani kasubiri derby ndo kalianzisha, ila najiulizaga mbona waandishi wa michezo bongo huwaga wepesi sana kukandia na kuilaani ssc?!

Huyo wakala mbona anaongea beyond?! Kama wako kwenye negotiations kwa nn aje aprovoke huku mtaani? Hiyo ndo football professionalism?! Yaani hadi natamani achukuliwe na uto kwa dau kubwa la kwenye makaratasi halafu kulipwa mpaka aende cas hapo ndo atapata elimu dunia. Bosi hanuniwi.
Nyie watu mmerogwa, au?!

Ndo matatizo ya kutumia pesa ya urithi haya... Dauda anawaamsha, nyie mnamuona mbaya!!! Hivi katika hali ya kawaida unaachaje Shabalala hadi anabakisha miezi miwili mkataba kwisha?!

Lau kama wange-extend mkataba 8 months ago, huenda wangetumia dau dogo kuliko sasa, kwa sababu sasa watalazimika ku-extend mkataba kwa pressure ya "wasije wakatuzidi kete"!

Katika hali ya kawaida, sioni timu ambayo ingejaribu kutaka kumsajiri mchezaji muhimu kwa club kama Shabalala, na kwahiyo Simba asingekuwa na competition yoyote kutoka nje!

Lakini habari hii, itafanya club zingine ziseme "kumbe kuna fursa"!

Najua mna kiburi cha kwamba eti mna pesa huku mkisahau 20 Billion hazijaingia kwenye akaunti, na pesa za sasa ni za "kuombaomba tu" kama wafanyavyo Yanga!
 
Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI
Shirikisho kama msimamizi limeweka msisitizo gani kuhusu suala hili?
Tuanzie hapo. Naomba kueleweshwa
 
Timu yoyote inayo muhitaji mchezaji kwa Nia ya dhati haiwezi kusubiri mkataba uishe, ukiona timu inasubiri mkataba uishe ujue thamaniyako haaiioni. Leonel Mess Barcelona walipambana ili kumuongezea mkataba Ila yeye alikataaa tofauti na Mohammed Husein wa Simba.
 
Nyie watu mmerogwa, au?!

Ndo matatizo ya kutumia pesa ya urithi haya... Dauda anawaamsha, nyie mnamuona mbaya!!! Hivi katika hali ya kawaida unaachaje Shabalala hadi anabakisha miezi miwili mkataba kwisha?!

Lau kama wange-extend mkataba 8 months ago, huenda wangetumia dau dogo kuliko sasa, kwa sababu sasa watalazimika ku-extend mkataba kwa pressure ya "wasije wakatuzidi kete"!

Katika hali ya kawaida, sioni timu ambayo ingejaribu kutaka kumsajiri mchezaji muhimu kwa club kama Shabalala, na kwahiyo Simba asingekuwa na competition yoyote kutoka nje!

Lakini habari hii, itafanya club zingine ziseme "kumbe kuna fursa"!

Najua mna kiburi cha kwamba eti mna pesa huku mkisahau 20 Billion hazijaingia kwenye akaunti, na pesa za sasa ni za "kuombaomba tu" kama wafanyavyo Yanga!
Tasnia ya michezo na hasa yenye ushindani na inayogusa watu wengi kiasi cha kuifanya kuwa fursa ya biashara kama ilivyo kwa mpira wa miguu,kikapu,riadha na ngumi (na mingine..you name 'em) kwa Tanzania ni kama goli lililowazi au shamba lisilo na mwenyewe au shamba la matunda na miwa lililopandwa sokoni au jirani na St Kayumba,na hii inasababisha kila mmoja mwenye kujisikia aingie humo na hakuna utaratibu wa kuingia,hakuna namna ya kuendelea wala hakuna mfumo wa kukua na kutokea.
Matokeo yake tumekua watu wa kufurahia kucheza disko kwenye uwanja wa vumbi wakati wa mvua kisha baadae tunaanza kumtafuta alietuchafulia pindo za serawili na viatu vyetu.
Lakini ni jini tulijualo vyema sana,na tunayajua maumivu yake,shida hatutaki hili jini linyamaze kuimba ule wimbo unaofurahisha masikio yetu.
Siku tukiamua tutalufukuza hili jini.
 
Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI
Kwahiyo kumkubusha wajibu wake ndo kum-attack?! Au unatakiwa ukumbushwe kwamba hadi tunapoandika hivi sasa, Simba ni mali ya umma?!

Umma wa Simba na wapenda michezo wana wajibu wa kuukumbusha uongozi pindi wanapoona wanashindwa kuwajibika!

Au wewe ni yule "B hajaweka, tumechukua ubingwa! B hajaweka, tumempiga Mtani! B hajaweka, CEO amepiga picha na rais wa FIFA! B hajaweka CEO wetu amepiga picha na Patrice Motsepe! Sasa mnataka nini tena? Hata asipoweka, sawa tu"! Huyo jamaa ni wewe, nini?!
 
Timu yoyote inayo muhitaji mchezaji kwa Nia ya dhati haiwezi kusubiri mkataba uishe, ukiona timu inasubiri mkataba uishe ujue thamaniyako haaiioni. Leonel Mess Barcelona walipambana ili kumuongezea mkataba Ila yeye alikataaa tofauti na Mohammed Husein wa Simba.
Mkuu
Simba Tshabalala washamkosa simba. Tayari kashachukua mzigo wake mkubwa yanga na ni mchezaji halali wa yanga. Najua mchongo mzima. Yanga wanaogopa kumtangaza sasa hivi kwakua sheria itawabana. Picha zote zipo
 
Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI
Mkuu au Tuseme Hii ni management style tu, inaweza kutofautiana kutoka management kwenda nyingine kwa lengo la utekelezaji majukumu sawia. No hard feelings..CEO mgeni kabisa kwenye hii tasnia ya soka lenye gubu la kibongo, so far she is doing good job. Naamini hizi changamoto zinamjenga zaidi, akiishi kwenye bwawa la vineno na vijembe vya akina team pinzani kwa miaka mingine mitano tu, she will make her own history in Tanzania football.??
 
Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI
Hizo press confrence huwa zinazungumzia nini?
Ulitaka timu isinye mkataba na vunja bei tusione?
Ulitaka timu imtambulishe kocha tusione?
Akili zenu kawashikia Dauda kwa chuki zake binafsi kwani wamemtibulia biashara yake ya jezi ( nadhani zitakuwa feki).
Kwa maana vunjabei atakwenda kusambaza mwenyewe.
Eti hasomi email kutoka FIFA , mlalamikaji yupo bongo, hivi hao FIFA walimwambia Dauda kuwa Barbra hasomi email zetu?😁😁
Dunia ina vituko sana hii, siku za mwanzo Barbra alikuwa hatokei kwenye media waandishi wakamshitaki kwa MO siku ya press saiv anatokea mmeanza Nongwa tena 😁😁....wabongo sijui tupoje aseee.

Hivi kusaini mkataba si ni makubaliano ya pande mbili mpaka watu waafikiane, Tshabalala si ashapewa ofa iliyopo unalaumu nini sasa kama mtu hataki.
Mikataba ya wechezaji saba inaisha una hakika kwamba hao wote 7 kocha anataka kuendelea nao?
Hivi ni mara ya kwanza kwa wachezaji wabongo kumaliza mikataba mwishoni mwa msimu?
Kipindi cha magori mbona wachezaji kibao walimaliza mikataba kuna mtu alihoji? kwanini iwe sasa?
Dauda ana utaalamu gani kiasi kwamba anaweza kutoa ushauri wa kimikataba huo uzoefu aliutoa wapi?
TIMU HAIWEZI KUENDESHWA ANAVYOTAKA DAUDA, WALA SISI MASHABIKI INA UTARATIBU WAKE.
 
Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI
 
Ona jinsi alivyomuattack barba. Huja jamaa ndo wale madalali njaaView attachment 1766239View attachment 1766240View attachment 1766241View attachment 1766242

"


Endelea hapa

"Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu

Niwaambie tu kwa tafiti ndogo sana niliyofanya, CEO wa Simba tangu aingie wameitisha press conference nyingi zaidi kwa ngazi ya klabu Afrika Mashariki, kwenye hotel tofauti tofauti

Kwa tafiti ndogo niliyofanya CEO wa Simba ndie anaongoza kwa kuonekana kwa public kuliko CEO mwingine yoyote Afrika Mashariki na kati pamoja na Kusini mwa Jangwa la Sahara

Sasa kwenye hizi show offs zote zinazofanyika, sote tukiamini Simba ipo extra miles ila mikataba ya wachezaji zaidi ya 7 waandamizi inaisha mwishoni mwa msimu, lakini CEO sidhani kama alifuatilia kiundani kuweka sawa

Walichoweza kufanya ni kumpa mkataba Chama wa maana, Luis Miquissone wa maana kwakuwa hawa ni prominent figures na wakishafanya hivyo wataingia on trending ila wakasahau kuna wachezaji wazawa wa muhimu na wanafanya kazi kubwa

Leo hii CEO yupo busy ila EMAIL za klabu kutoka FIFA na CAF, hazisomwi eti! Lakini hakuna anaejali mpaka watoke watu nje ya Simba kuwakumbusha? Ndio utaratibu huu? Ndio namna hii timu inaendeshwa? Hizi presha mlizitaka wenyewe kuwaza show offs kuliko utendaji

Kaeni chini mkumbusheni CEO kuwa hiyo nafasi ni ya UTENDAJI, sio kama nafasi ya Kisiasa, mwambieni Mato Madlala ni CEO wa PSL ila sio show offs nyingi ila kazi zinakwenda, CEO wa AZAM ni mfano mwingine au CEO wa bodi ya Ligi Bwana Kasongo

JIEPUSHENI NA PROPANGA, KOMAENI NA UTENDAJI"
Kwasehemu jamaa yuko sahihi, wachezaji mhimu wazawa hawapewi kipaumbele. Hata mimi hii kitu ilinkera kwa sehemu. Shabalala angekuwa mgeni, mngeona jinsi wangemtetemekea.
We linganisha mchango wa shabalala vs Morrison, automatically wa shabalala uko juu kweli. Contributions vs maslahi anayopata hayana correlation kabisa.
 
Hizo press confrence huwa zinazungumzia nini?
Ulitaka timu isinye mkataba na vunja bei tusione?
Ulitaka timu imtambulishe kocha tusione?
Akili zenu kawashikia Dauda kwa chuki zake binafsi kwani wamemtibulia biashara yake ya jezi ( nadhani zitakuwa feki).
Kwa maana vunjabei atakwenda kusambaza mwenyewe.
Eti hasomi email kutoka FIFA , mlalamikaji yupo bongo, hivi hao FIFA walimwambia Dauda kuwa Barbra hasomi email zetu?😁😁
Dunia ina vituko sana hii, siku za mwanzo Barbra alikuwa hatokei kwenye media waandishi wakamshitaki kwa MO siku ya press saiv anatokea mmeanza Nongwa tena 😁😁....wabongo sijui tupoje aseee.

Hivi kusaini mkataba si ni makubaliano ya pande mbili mpaka watu waafikiane, Tshabalala si ashapewa ofa iliyopo unalaumu nini sasa kama mtu hataki.
Mikataba ya wechezaji saba inaisha una hakika kwamba hao wote 7 kocha anataka kuebdelea nao?
Hivi ni mara ya kwanza kwa wachezaji wabongo kumaliza mikataba mwishoni mwa msimu?
Kipindi cha magori mbona wachezaji kibao walimaliza mikataba kuna mtu alihoji kwanini iwe sasa?
Dauda ana utaalamu gani kiasi kwamba anaweza kutoa ushauri wa kimikataba huo uzoefu aliutoa wapi?
TIMU HAIWEZI KUENDESHWA ANAVYOTAKA DAUDA, WALA SISI MASHABIKI INA UTARATIBU WAKE.
Siku ile ulishangilia goli la shabalala mpaka basi, ila kwenye kutimiza haja sake unajitoa ufahamu. Be fair my friend, you should fight for fairness treatment for players ambao hawapati kile wanachoatahili kupata
 
Back
Top Bottom