Habari za asubuhi.nataka nijue kitu gani kitafanyika kwenye kijiji cha 21 tanga? Je ni nyumba zinataka kujengwa?na kama ni hivyo zitakuwa zinauzwaje.naomba nielimishwe.Asante.
habari. yaani barabara nyingi zimekuwa kama mito. mji una hali mbaya baada ya mvua kunyesha. mifereji ya mkoloni ndio zinazofanya kazi wakati zimeshachoka. barabara mbovu sijawahi kuona. naomba wizara husika itunusuru.
Habari zenu wakuu.
Jiji la Tanga sasa linahitaji traffic lights ili kuepusha ajali katika barabara nyingi muhimu.
mfano kwenye mkutano wa barabara ya kwenda tanfamano na mkwakwani,hostel ya usagara,na bank street. pia zipo nyingi na
members wengine waorodheshe hizo barabara. naomba...
These people are no doubt hard working.Just after few days of the mega earthquake,people have started working for their survival.Siyo kungojea bakuli lipite na waletewe kila kitu.ingekuwa sis hapa tungepata sababu ya kutofanya kazi even for one year.i salute these people.In this picture Teruko...
Follow the link to see the damage caused by tsunami.
å®ææ¥æ¬å¼ºéæµ·å¸å大æ²æ æ¶å» - å®ææ¥æ¬å®«åå¿å°éå æµ·å¸åçåå¸ - è§é¢ - ä¼é ·è§é¢ - å¨çº¿è§ç
This shows how the future world is going to be.
Click the link.
æªæ¥ä¸çç强大ãå æ¥äºæ¯ä¸ªè§è½ç触æ¸å±ããäººäººç½ æ ¡å -å享ã
This is how life in future is going to be.
Click the link.
ãæªä¾ä¸çãé·é樣ï¼è§¸æ§å¼è¢å¹ç¡æä¸å¨ - è§é¢ - ä¼é ·è§é¢ - å¨çº¿è§ç
Hizo ni baadhi ya za flyovers and road expansion to 8 and 12 lanes taking shape.leave everything aside,frankly speaking these people are moving,without minerals,without oil,without gas,they deserve a pet on the shoulder.
people will now have to spend more to buy internet in tanzania from today.this is due to ISP to increase the prices.Question is,than why were we told that after the fibre optic cable prices will go very low.why only this kind of things happen in tanzania?to me i think ,tanzania is the worst...
Nachukua nafasi hii kuwapa wapendwa wana JF,waislamu,wakristo,wanaume na wanawake,wazee na vijana,salamu za IDD.Kwa wote IDD njema na nawaombeeni mfurahi sikukuu hii wote kwa pamoja,tuonyeshe upendo na kujaaliana.Mwenyezi mungu atujalie na baraka tele.AMEEN.
Habari wakuu,naomba nijue mshahara wa daktari bingwa(masters) kwa tanzania ni ngapi in private and public,na kuna channel zozote za kupata kazi?naomba nihabarishwe,asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.