KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
Habari zenu wakuu.
Jiji la Tanga sasa linahitaji traffic lights ili kuepusha ajali katika barabara nyingi muhimu.
mfano kwenye mkutano wa barabara ya kwenda tanfamano na mkwakwani,hostel ya usagara,na bank street. pia zipo nyingi na
members wengine waorodheshe hizo barabara. naomba kama kuna member wa halmashauri ya jiji la tanga humu ndani ya forum afikirie hii hoja. its very important.
asante
Jiji la Tanga sasa linahitaji traffic lights ili kuepusha ajali katika barabara nyingi muhimu.
mfano kwenye mkutano wa barabara ya kwenda tanfamano na mkwakwani,hostel ya usagara,na bank street. pia zipo nyingi na
members wengine waorodheshe hizo barabara. naomba kama kuna member wa halmashauri ya jiji la tanga humu ndani ya forum afikirie hii hoja. its very important.
asante