Habari za majukumu wadau.
Niwaulize, Ni ipi njia rahisi ya kutuma fedha kutoka South Africa kuja Tanzania? Imenilazimu kuuliza hivi kwa sababu kulingana na shughuli nizifanyazo inanilazimu kupokea kiasi fulani cha fedha mara kwa mara kutoka kwa wadau wenzangu wanaoishi South Africa...
Habari za majukumu wadau. Niwaulize, Ni ipi njia rahisi ya kutuma fedha kutoka South Africa kuja Tanzania? Imenilazimu kuuliza hivi kwa sababu kulingana na shughuli nizifanyazo inanilazimu kupokea kiasi fulani cha fedha mara kwa mara kutoka kwa wadau wenzangu wanaoishi South Africa. Nimejaribu...
Mimi Ayub Muyo, nahitaji mchumba mwenye umri kati ya miaka 19 hadi 31, atakayejali familia ile nini, ivaaje kwa kushirikiana na mimi. Na tutawajali ndugu wa pande zote, Mimi naabudu BWANA MUNGU WA ISRAELI, SDA CHURCH. Vitu ambavyo sili soma walawi Sura ya 11 yote. Sifa zingine na picha...
Habari watumishi wa serikali,
Je wajua kuwa! unaweza kupata taarifa zako za kiutumishi pamoja na salary slip yako kupitia simu yako ya mkononi?
Ni rahisi sana cha kufanya tembelea official website ya utumishi ambayo ni www.utumishi.go.tz ikifunguka angalia kwenye orodha ya menu upande wa...
Tunatumia mitandao kama Enhance-auto, Be forward na SBT kununua magari. Mitandao hiyo magari yake mengi ni yale yaliyokwisha tumika Japan na kwingineko kama ulaya na kadhalika. Hivi kuna uwezekano wa sisi wabongo wengi na waafrika kwa ujumla kununua magari yaliyotembea kilometa O, yaani...
Hii nimeigundua nilipotaka kuuza gari yangu mpya yenye gia ya manual kwa bei rahisi. Kila aliyeiona aliipenda na katika kuiangalia mtu akiiona kuwa ni manual basi mjadala wa kuuziana ndo unaishia hapo. Hakuna madereva watu wengi wanaogopa gari za manual
Nchi imekua kiutandawazi, Tanzania ya leo si ya mwaka 1978, Uhalifu wa kutumia silaha umeongeza, ugaidi ndio kila kukicha utekaji nyara nao unashika kasi, Hivi, tulishawahi kujiuliza yaliyotokea westgate kule Westland Nairobi yakitokea Pale Quality Plaza tutachukua hatua gani.
Hivi leo watokee...
Naombeni mnijuze ninyi wakazi wa dar, nataka kununua Gari Japani kupitia Be forward, Je hilo tawi la dar es salaam linaweza kunifanyia clearing nikaipata gari? Itachukua siku ngapi mpaka gar iwe mikononi mwangu. Je gharama zao kwa gari ndogo kama toyota Brevis inakadiriwa kufika shilingi ngapi...
Gazeti la Tanzania Daima la tarehe 23
Januari, 2013 liliandika makala
inayosomeka "JK AMNUSURU
MFUNGWA WA ERA". Gazeti hilo lilidai
mfungwa wa kesi ya ERA Ajay Somani
ametolewa gerezani kwa njia ya
kutatanisha wakati wafungwa wengine
waliokuwa kesi moja wanaendelea
kusota gerezani...
Katika Sony Tv inayopatikana katika visimbuzi vya dstv kuna Tv show inaitwa Trisha. Miongoni mwa yanayojadiliwa katika kipindi hicho ni hasa mambo yahusuyo familia kama vile watu kusingiziwa watoto kuwa wa kwao ilhali sio. Usaliti katika ndoa na mambo yanayofanana na hayo.
Kilichonifanya...
Namshukuru mola wa viumbe wote baada ya kuhangaika sana mke wangu sasa ni mjamzito. Tangu wiki ya kwanza ya ujauzito wake ambao sasa una wiki takribani tisa amekuwa na tabia ya kuwa na mimi karibu sana. kila wakati anataka tukae pamoja. Hataki nitoke, hataki niwatembelee jamaa na marafiki...
Mi ni mpenzi sana wa music hasa old schools. Napendelea sana music kutoka afrika na kidogo amerika hasa music wa miaka ya 70's, 80's na 90's. Cha ajabu nafurahi sana music huo nikiusikiliza kupitia turntable (record player) au wengine wanaita grammaphones. kwa yeyote aliyenayo ikiwa nzima pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.