Nilikuwa nangalia kipindi cha Mch.Isaack Ndodi wa Haleluya Sanitarian Clinic kinachorushwa na kituo cha televisheni ya Star jumanne 08/09/09.
Katika mafundisho yake kuhusu madhara ya ulaji mbovu ambao unasababisha magonjwa mengi katika mwili wa binaadamu,aligusia na kusisitiza kuwa Nyama ya...
Jamani nimejaribu kulizuia lakini fupa limenishinda kukaa mdomoni kwani kuendelea kuwa nalo linaweza kunikwama hivyo nahitaji ufafanuzi juu ya methali maarufu ya kuswahili isemayo 'KAFIRI AKUFAAE SI MUISLAM HASIYEKUFAA'.Kutokana na maudhui ya methali hii yaonyesha wazi kuwa kuna makundi mawili...
Akutana na kigingi Igunga
ZAMA za mbunge wa Igunga, Rostam Aziz kushinda kinyang'anyiro cha ubunge bila kupingwa ndani ya chama chake, sasa zimefikia tamati, imefahamika.
Anayejitosa kumaliza himaya ya Rostam ni Deusdedit Mtambalike, mkuu wa wilaya wa zamani na mwanasiasa mwenye msimamo...
Ban Kim-Moon kumtema Asha Rose Migiro?
Dr. Asha Rose Migiro
Mwanadiplomasia na balozi wa Norway kwenye Umoja wa Mataifa, Bi. Mona Juul ameiandikia wizara ya mambo ya nchi za nje ya Norway, taarifa ya siri jinsi katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Kim-Moon alivyoshindwa kufanya kazi...
Msikiti mkubwa unaojengwa Dodoma kwa hisani na ufadhili wa rais wa Libya kanali Muhammar Gaddaf uliopo karibu kabisa na uwanja wa mpira wa Jamhuri jana ulishika moto na kusababisha umati mkubwa wa watu kukusanyika karibu na msikiti huo.Tukio hilo lilitokea majira ya saa moja usiku mara baada ya...
Kwa jinsi ambavyo aliyekuwa mbunge wa Tarime kupitia chama cha wakaskazini marehemu CHACHA WANGWE alivyokuwa katika malumbano na watendaji wa chama hicho ambao zaidi ya asilimia 98% wanatoka kanda ya kaskazini mwa Tanzania,sikutegemea hata kidogo kama angethubutu kuwa na uhusiano wa karibu na...
Kuna jamaa yangu anaomba msaada wa ushauri kimatibabu kwani anasumbuliwa na maumivu katika eneo la shingo ya uume wake.
Tatizo hilo amekuwa nalo kwa zaidi ya miaka saba sasa kwani ameshakwenda katika hospitali nyingi kupata matibabu lakini bado hajapona.
Baadhi ya madakitari walipompima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.