Asha Rose Migiro Kutemwa UN?

Amosam

Senior Member
Jan 15, 2009
154
5
Ban Kim-Moon kumtema Asha Rose Migiro?








Dr. Asha Rose Migiro​
Mwanadiplomasia na balozi wa Norway kwenye Umoja wa Mataifa, Bi. Mona Juul ameiandikia wizara ya mambo ya nchi za nje ya Norway, taarifa ya siri jinsi katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Kim-Moon alivyoshindwa kufanya kazi. Hayo yaliandikwa jana na gazeti la hapa la kila siku, Aftenposten kuwa Ban Kim-Moon hajui kufanya kazi, haelewani na wafanyakazi walio chini yake na ana hasira za mkizi. Kwenye taarifa hiyo, inaonyesha kuwa Ban Kim-Moon haelewani kabisa na msaidizi wake, Bi. Asha Rose Migiro na tetesi kuwa huenda Ba Kim Moon akamtema Bi. Migiro kama msaidizi wake.
 
Kashughuli kapo!!! Ila kama ilivyo tetesi nasikia B-K hapendi waafrika?? Ila mbona alimsifia sana alipoulizwa!!!! Dunia ina mambo, lukumba lukumba!!!!
 
Kashughuli kapo!!! Ila kama ilivyo tetesi nasikia B-K hapendi waafrika?? Ila mbona alimsifia sana alipoulizwa!!!! Dunia ina mambo, lukumba lukumba!!!!

Ni vigumu kuamini hili! After all alipomteua alijua ni African..
 
Je, nini kitatufanya tusiamini kuwa huu ni umbeya tu??? Vinginevyo shusha ushahidi wako hapa.
 
Ban Kim-Moon kumtema Asha Rose Migiro?








Dr. Asha Rose Migiro​
Mwanadiplomasia na balozi wa Norway kwenye Umoja wa Mataifa, Bi. Mona Juul ameiandikia wizara ya mambo ya nchi za nje ya Norway, taarifa ya siri jinsi katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Kim-Moon alivyoshindwa kufanya kazi. Hayo yaliandikwa jana na gazeti la hapa la kila siku, Aftenposten kuwa Ban Kim-Moon hajui kufanya kazi, haelewani na wafanyakazi walio chini yake na ana hasira za mkizi. Kwenye taarifa hiyo, inaonyesha kuwa Ban Kim-Moon haelewani kabisa na msaidizi wake, Bi. Asha Rose Migiro na tetesi kuwa huenda Ba Kim Moon akamtema Bi. Migiro kama msaidizi wake.

Huyu Mama ni mchapa kazi hodari. Ni mwiba kwa wale wasiopenda maendeleo hapo UN.
 
ila sio tatizo hata akitemwa bado watanzania tunamuihitaji sana hapa nyumbani aje kusukuma gurudumu la maendeleo
 
Najua baadhi ya wazungu hawapendi watu wengine wasio wazungu waongoze UN kwa hiyo lazima wanakuwa na fitna za hapa na pale kama hivi
 
Ila yaliyosemwa na huyu balozi wa Norway kuhusu katibu mkuu wa UN sio mara ya kwanza kuyasikia. Wafanyakazi waandamizi wa UN wasema hawajapata kuwa na bosi "docile" kama Ban Ki-Moon. Sasa Asha Rose hata kama unajua kazi kwa vile Bosi wake yuko vile hata Asha Rose anakuwa -affected. Of course akitemwa (baada ya muhula wake wa kwanza kuisha) Ban Ki Moon na Asha itakuwa bye bye!
 
naona wikend imechelewa sana leo
sitaki kuamini hiyo ishu mpaka ushahidi uje hapa.
 
aje hapa bi asha tumpe urais

U Rais wa nchi au uoi mkuu? huyu si ndio yuko kile chana kilichoema kupitia mkuu wao wa propaganda kuwa kwa uwa waislamu wameambiwa waanzishe mahakama ya kadhi bila kuihusisha serikali ,then mwakani watasema mahakama ya kadhi imeanzishwa nahivyo ilani imeekelezwa....... pole Tanzania japo nakupenda kwa moyo wote
 
Huyu Mama ni mchapa kazi hodari. Ni mwiba kwa wale wasiopenda maendeleo hapo UN.

Kidatu nadhani, pamoja na wewe waswahili wengi hamjui kinachojiri UN. Asha-Rose Migiro aliishaonyesha uwezo mdogo kiutendaji nadani ya UN. Rejea post yangu ya March mwaka huu (2009):

Migiro is very weak in terms of leadership capacity. She was about to be dropped and sent home from the UN post last year if not pleaded by the Government of URT, supported by UK Government on condition that MIGIRO's term be extend for one year only (2009) instead of 2 years. So she will be back on her early retirement to Dar next year.
She has failed the UN and Tanzania.
Please do not count on her.
Like Kikwete, Migiro is another 'uchochoro' and the fertile facility for Mafisadis, period.
 
Last edited:
..hiyo barua aliyoandika na Balozi wa Norway iko wapi?

..OK, tusubiri Migiro arudi nyumbani hiyo 2010.

..kama amefanya kazi nzuri or not sitarajii atumikie nafasi hiyo kwa vipindi viwili.

..UN siyo sawa na CCM.
 
Mimi nadhani hapa mama yetu hatumtendei haki. Ok..assume huyo balozi wa Norway kaandika..lakini si kasema kwamba Ban Ki-moon ndo incompetent? sasa mama anaingiaje jamani? boss ndo mwenye matatizo..au mnafikiri kwamba mama akitoka pale yule bwana atakuwa successful? Well I dont know much..ila nimeshasoma somehwere kwamba BAN KWELI HAYUKO AGGRESSIVE katika utendaji wa kazi. Ila ningependa Ban ahukumiwe kama yeye siyo huyu mama. Ni kitu gani mama angefanya na hakufanya? What was the expectations? Jamani Africa yetu matatizo hayakuanza leo. Infact mimi na wewe tuna nafasi kubwa ya kuibadilisha nchi yetu kuliko kutegemea watu kama akina Migiro.

Kikubwa ninachoona hapa..ni kwamba binadamu tumezoea status quo..tukiona mtu ambaye siyo mwenzetu anaingia kwenye "inner circle" tunajiuliza maswali mengi. Kikubwa wengi wetu/wao wanaosema kwamba mama ni incompetent ni kwasababu wanaona hakustahili kuwa alipo. Maana kuna mabureacrats wengi wamekaa UN miaka kibao mpaka leo wanapiga marktime tuu! SASA wanashangaa mama hana "experience" harafu ni second in command.

Well, simhukumu wala kumtetea mama, lakini nadhani with all fairness...Migiro is just a international civil servants kama wengine. Ban akiamua kumdrop ni uamuzi wake after all ndo alimpa kazi. Jamani kwani leo kikwete akimfukuza kazi Pinda..who will complain? Ila tusitafute visingizio. Mimi kwa kweli sikuwa na expectation yoyote kwa mama Migiro. Let her do her job. Mda wake ukiisha aje tuijenge nchi yetu-kama bado inajengeka! Infact nadhani Hasheem Thabeet anaweza kuwa balozi wetu mzuri kuliko Migiro. Maana Hashim anadeal na michezo ambayo wa-US wanapenda..na wale ndo wenye hela za utalii. I dont think if there is any serious American (save few politicians with their national interests) who care about UN as a body.
 
Back
Top Bottom