Ndg zangu naombeni , mnifahamishe taasisi znatoa mkopo wa haraka kwa riba nafuu nna kazi yangu nahtaj cash ya haraka ambayo naeza rudsha within a month.
SIKU MKEO AKIANZA KULALA NA MWANAUME MWINGINE JUA KIFO CHAKO KI KARIBU.......
"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia...
Wadau Naomba mwenye shortlist ilotolewa na benk ya PBZ kwa ajili ya interview ya kwanza. Kupitia magazeti la daily news na zanzibar leo tarehe 20.3.2017.
Baby am so sorry. I really love you and I really regret loosing you cos you are everything to me but am caught up in a situation I don't know what to do. I had a one night stand with this guy we in the same class with.
We were in the class party and it happened unexpectedly and I wanted to...
wadau wa jf, kjana mwenzenu nmepata fursaa ya kufungua bsrbershop maeneo ya kkoo mtaa wa masasi na likoma, karibu na kanisa la kkt (eben view hotel).
karbun wote mtapata huduma zenye kiwango km vile
kunyoa, scrub, mask, wave, super black, steaming, kuosha miguu na kukata kucha.
** pia...
Tablet galaxy note 10.1 gb 16, ambayo inapiga cm, na inameza memorkad, 3g, camera, iko full na chaja yake mpyaaaa kabsaaa tsh 600000.
Warranty mpaka unaibiwa.
Hello
Nauza galaxy s3 mpyaa rang ya maroon kwa lak 6, especially kwa watu wa dodoma. Sabab za kuiuza n kwamba nmeishiwa pesa, na cna hata shlng na nko dodoma ugenn.
But our winner is the HTC One. Beating all other Android phones
and inciting sly glances from even hardcore Apple fans, its sleek
design, fine performance and stunning screen make this a superb
smartphone. And that's why we make it the best smartphone to buy
in 2013, for now...
Ipad 2 GB 64 is for sale. Tsh lak 550000. Iko saaafi kabisa, inameza chip. Sababu za kuuzwa, mmiliki anataka alipe pango ya nyumba. If ur serious buyer pls PM me...
Sent from my BlackBerry Q10using JamiiForums
Eeeh Mola nakuomba uwaokoe na kuwalinda ndugu zangu wa Mtwara. Kwani unyama wanaofanyiwa na jeshi la wananchi JWTZ ni wa kusikitisha. Wanajeshi wanakamata Raia na kuwapeleka jeshini Naliendele kwa ajili ya kuwatesa, na kuwafanyia unyama usioelezeka. Mfano jana viongozi wa CUF wakiongozwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.