Habari wakuu
Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316
Kimepimwa kina hati
Bei 2m fixed
Nb gharama za serikali za mtaa zinalipwa na mnunuzi
Mawasiliano
0693060922
Bado kipo wakuu bei imepungua mpaka 2m karibuni
Habari wakuu
Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316 Kimepimwa kina hati
Urefu:30
Upana:10.5
Bei 2m maelewano
Nb gharama za serikal ya mtaa unalipa wewe
Mawasiliano: 0693060922
Wakuu karibuni kimeshuka bei
Habari za Jumapili wadau
Kwanza kabisa niombe kwa anaemfahamu hospitali nzuri ambayo naweza pata dakatri mzuri wa tezi ya shingoni kwa apa dar es salaam
Nina ndugu yangu ameonekana anadalili za tezi shingoni hivo wajuzi wa haya mambo naombeni msaada either wa dawa nzuri ambayo inaweza ondoa...
Wakuu salaam
Kama ambavyo tangazo linajieleza,nyumba hii inauzwa bado haijakamika IPO kwenye lenta ,nyumba IPO Bunju B(Mugemuzi) pale sokoni unapandisha juu kidogo ni kama 1.5km toka barabarani
Nyumba INA vyumba viwili,kimoja master na kingine cha kawaida na public toilet,na jiko na seating room...
Wadau kama title inavyojieleza,nimeamua kuuza flat screen yangu,
Nimekwama wadau mana naona muda unayoyoma alafu mambo hayajakaa sawa hivo kuepusha shali na landlord ni bora niuze tu hii tv
TV ni mpya na original(LED) nilinunua Romania IPO kwenye hali nzuri sana nakupa pamoja na receipts na...
Heshima kwenu wakuu
Ninaomba msaada ninacreate PayPal account sasa nimekuwa napata tabu sana na hii zip code sielewi nijaze nini hapo kwenye zip code na kingine ni hizo state zinakuja suggestion ambazo sizielewi.
Nimeambatanisha picha za hizo state apo
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.
Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au...
Habar zenu wanajukwaa...!
Nimekuwa nikipata mkanganyiko kidogo kuhusu swala la ada inayolipwa na bodi ya mkopo kwenye vyuo vikuu
Pale ambapo mwanafunzi anapata mkopo bodi humlipia mwanafunzi huyo pesa ya meals and accomodation na tution fee kwa ile percent ambayo mwanafunzi amepewa na bodi ya...
Habari zenu wanajukwaa...
Kwanza kabisa ninapenda kuwapa pole kwa majukumu ya hapa na pale kutokana na mihangaiko ya kuweza kujikwamua na huu umasikini
Mi ni mjasiriali na nina ndoto nyingi sana kwenye maisha katika tembea tembea zangu nikaona hii fursaa ya kuuza kuku wa kienyeji na kwa kweli...
polen na majukumu wanajamvi, ninaomba mtu yeyote anaefahamu kuhusu credit transfer anisaidie kunipa msaada maana mwenzenu nimechanganyikiwa hapa nilipo nimekuwa discontinue kweny chuo fulan kwa sababu ya course moja sasa ninaomba kwa yeyote anaefahamu zaidi aweze nisaidia maana kuanza upya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.