Mkuu kama hio kitu ni sugu na mwanzo wakati wa kutibiwa alipewa dozi sahihi hapo solution ni kufanya culture na sensitivity.Madaktari njoeni muokoe jahazi huku
Mkuu kama hio kitu ni sugu na mwanzo wakati wa kutibiwa alipewa dozi sahihi hapo solution ni kufanya culture na sensitivity.
Aende hosptali kubwa au ile ile aliyotibiwa aseme kwamba tatizo haliponi ili waoteshe hao wadudu wanaoleta usumbufu na waangalie wanauawa kwa dawa gani..
Inawezekana dawa zote anazotumia ni resistant kwa hao wadudu wanaomtesa. Ambalo ni tatizo kubwa sana kwa dunia ya leo..
ukiongelea pid inahusisha kuvimba au infection kwenye system nzima ya uzaz
Mwingine anaweza kuwa na infection kwenye cervix _ni PID
infection kwenye utérus _PID
infection kwenye ovary _PID
At early stage inatibika lakini ikishakuwa chronic sidhani.
Kama ni dom pale Benjamin Mkapa wanafanya culture na kuna maspecialist wa magonjwa ya wanawake....Asante mkuu
Ngoja nijaribu ulizia ni wapi tunaweza pata huduma nzuri kwa dodoma ikishindikana itabidi nimpeleke muhimbili
Asante mkuu
Ngoja nijaribu ulizia ni wapi tunaweza pata huduma nzuri kwa dodoma ikishindikana itabidi nimpeleke muhimbili
Bei gani mkuu na ofisi zenu ziko wap
Ni kitu gani hiki mkuu nipe maelekezo jinsi ya kutumia na bei tafadhali