Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoonekana...wizara ya elimu itatoa lini majina ya waliopata scholarship za nchi mbalimbali ikiwemo China? maana nimesikia utaratibu siku hizi ni kujilipia nauli mwenyewe na pia hakuna mkopo wala topup allowance kwa waliopata udhamini kusoma nchi...
Wakuu habari zenu, naomba kuuliza kwa yeyote anaefahamu benki ambayo mtu anaweza kufanya transactions zote including kuweka na kutoa pesa akiwa Tanzania na pia hata akiwa China.
Kuna jamaa yangu flani age-40's, sex-male anapata uzito wa ulimi kwa wiki mbili sasa unaomfanya ashindwe kuongea vizuri sometimes na kuumwa kichwa mara kwa mara, akaambiwa afanye CT scan ya kichwa ikaonyesha ana chronic ethmoid sinusitis....je matibabu yake ni ninil?
wakuu hii kitu inawezekana kwa bongo?......kuna jamaa anahitaji kujua jinsi ya kufanya ili aweze kuunganishwa kwenye calls anazopigiwa mbaya wake....so help if possible
Wasalaam wakuu...naomba kuuliza kuwa kati ya hospitali ya temeke, amana na mwananyamala ipi ina nafuu kwenye utoaji huduma ya afya kwa upande wa vipimo na huduma nyingine kwa wagonjwa.....kwani natumai hapa wapo wanaofanya kazi katika hospitali mbalimbali .....naombeni mchanganuo wenu kwa...
Waungwana naomba mnihabarishe hospitali za serikali ambazo ni bora (zenye unafuu ktk utoaji huduma) kwa mkoa wa Dar.....kuna rafiki yangu yupo nje ya nchi anahitaji kupata walau kamwanga kuhusu hilo kwani anataka kuja kufanya kazi Dar.
Wakubwa htc yangu "s610d" inachukua muda mrefu sana kuload hasa napohama kutoka kwenye activity yoyote kwenda homescreen.....huwa inaandika "loading" kwa kama sekunde 30 then ndio inafunguka homescreen....hapakuwa na hilo tatizo awali...naombeni msaada wenu jinsi ya kutatua hilo tatizo.
salamu wakuu, naomba mnijuze kuhusu hii digrii ya udaktari wa binadamu, je ina classes? maana nyingine huwa nasikia kuwa kuna lower class, first class etc, sasa hii digrii ina haya mambo? kwa mujibu wa baadhi ya watu wanadai hii digrii haina huo mchanganuo, kama ni kweli, ni kwa nini? naomba...
Waungwana naomba msaada wa license key ya spyware doctor 9.0.0.898. Pia kuna sehemu wanataka license name, natakiwa kuandika nini? (msaada jamani, jahazi linazama)
Mpira unaendelea mpaka sasa ni bila bila, tuendelee kujuzana kinachoendelea japo timu yetu haikufanikiwa kuingia fainali.
Dakika 90 za kwanza zimeisha matokeo yakiwa:
Rwanda 2 - 2 Uganda
Mpaka dakika 120:
Rwanda 2 - 2 Uganda
PENALTIES:
1st:
Uganda: GOAL
Rwanda: GOAL
2nd:
Uganda: 0...
KIUNGO wa Tanzania Nizar Khalfan ametemwa kwenye timu ya Vancouver Whitecaps ya Canada kutokana na kushindwa kuonesha uwezo wa kuridhisha kwa timu hiyo inayocheza ligi ya MLS nchini Marekani.
Uamuzi huo wa Whitecaps kumtema Khalfan ulitangazwa Jumatano, ambapo baada ya kutemwa huko klabu ya...
Wadau wa mambo ya sheria naomba mnifahamishe kuhusu signature (sahihi) ya mtu binafsi kama inawezekana kuibadili wakati wowote mhusika anapoitaji, mfano mtu akitumia aina flani ya signature tangu anasoma sekondari mpaka chuo, baada ya kuanza kazi akaamua kutumia signature nyingine, je kuna kosa...
Habari zenu wadau, naomba msaada wa kuelekezwa jinsi gani ya ku-save files mbalimbali ( mfano pdf files) kwenye email yangu ya yahoo.
Naweza kutengeneza folder, tatizo linakuja jinsi gani nitaweza ku-upload file kutoka kwenye kompyuta kwenda kwenye hilo folder nililotengeneza kwenye email...
Habari zenu wadau popote mlipo, jamani naombeni mnisaidie kuzitoa hizi application errors msg zinatokea kweli kwenye screen yangu mpaka napata wasiwasi kuwa kuna siku litanizimikia kabisa, naomba mnipe mbinu jinsi ya kusolve ili hizo errors zisitokee tena. Nimegoogle sana lakini bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.