Miaka ya nyuma,hadi sasa kwa Baba zetu ukienda pembeni ya vitanda vyao utakuta Nondo,rungu,Panga kubwa,Hivi vyote huwa navyo kwa dhumun la kujiami endapo kuna tatizo hasa la uvamizi likitokea usiku.
Tofaut na vijana wengi wa siku hizi ambao hatuna muda na vitu hivyo(nazungumzia vijana ambao...
Ni Kwa hisani ya pesa, vizuri huwa vibaya
Ni kwa hisani ya pesa,vibaya huwa vizuri
Ni kwa hisani ya pesa, wabaya huwa wazuri
Ni kwa hisani ya pesa,wazuri huwa wabaya!
Ni kwa hisani ya pesa,binadamu hutukuzwa
Ni kwa hisani ya pesa, waongo huwa wakweli
Ni kwa hisani ya pesa, vidogo huwa vikubwa...
Nlikuwa kwenye choo cha jamii, mara nkasikia sauti kutoka choo kinachofuata;
Sauti: Oi Mambo vipi??
ME: kwa kumind nikamjibu Poa2!
Sauti: So Mishe zinaendaje?
ME: kama wewe nime2lia hapa!
Sauti: Naweza kuja hapo?
ME: [kwa kumind] nipo busy hata hauoni
Sauti: sasa ckia mwana ntakucall mida kuna...
Sio unakurupuka 2 kitandan utafikir jengo limewaka moto, Amka kwa poz, KWANZA JINYOOSHE MWILI ILI UJUE KM UKO FIT, KOHOA KIDOGO ILI UTEST SOUND LINE,ELEWA SHWETAN NI GAID PENGNE KAIMUTE,THAN JAMBA KIDOGO KUPIMA MFUMO WA UPUMUAJ KM UKO POA, HALAFU SHIKA SEHEM NYET UJUE KAMA ZIPO MAANA DUNIA YA...
Baada yakuona mwanamke nimpendae kabadilika gafla,nikimuuliza ananijibu Baby we haunijali.Ikabidi niende kwa shemej yangu(Dadaake) kupata ushauli, na huu ndo ushauli alionipa
Shemeji kweli haumjali Tunaposema mtu anajali,tunamaanisha anasimamia show muhimu kama kumtoa out,hela ya Lace...
Akizungumza na walimu walioudhulia semina ya Matokeo makubwa sasa inayofanyika katika shule ya sekondari Iyunga Afisa Elimu wa Jiji Mbeya."Alisema BRN ilianzia kwa Mawazili wakaikubali,Ikaletwa kwa maafisa elimu wakaikubali,ikapelekwa kwa wakuu washule wakaikubali, Sasa naileta kwenu walimu...
BABA: Kati ya mimi na mama yako
unampenda nani zaidi?
DOGO: Nawapenda wote
BABA: Mimi ningeenda Dubai
halafu mamako akaenda London, we ungeenda
wapi?
DOGO: Ningeenda London
BABA: Kwanini?
DOGO: London napenda London Zaidi ya Dubai.
BABA: Je, mi ningeenda London
mama yako Dubai we ungeenda wapi...
TANESCO walipoona wanaibiwa kwenye mita za umeme wakaja na LUKU (Lipia Umeme Kadili Unavyotumia) ndivyo na walimu walipolazimishwa (BRN) BIG RESULT NOW nao wamekuja na FUKU (Fundisha Kadili Unavyolipwa) dah hii ni hatari au haki?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nimekuwa nikisumbuliwa na jipu kila mwaka.Kwa miaka mitatu mfululizo ikifika mwez wa sita tu linatokea katikati ya makalio.
Ila mwaka huu limenitokea mwez wa pili na sasa naona dalili tena sehemu ni ile ile(Katikati ya Makalio) anayejua dawa ya kuliondoa msaada jamani.Naziona dalili zake sasa...
Kuna mdada alkuw na BoyFriend mwngne so ilikutoka home kwake alikokuwa anaishi na mumewe ilibid apange dili.... ucku akacngzia anaumwa tumbo full kulia yan.... mumewe kachanganykiw na kuwasha gari kumpeleka hsptl..... kumbe bidada kapanga dili kuanzia manesi hadi doctor na muda wa kuletwa hsptl...
Embu tujikumbushe kidogo kila mtu aseme mara ya mwisho alipigana lini na chanzo cha ugomvi kilikuwa nin?
Mie mara ya mwisho nimepigana 1997 nilivyokuwa std 2.Chanzo cha ugomvi jamaa (alinikata,alinipiga mtama wakat tunacheza mpira) tulitoka ngoma dro coz watu waliamulia.Wewe je?
Sent from my...
Natoa ushaul kama kaka niliyeona jua mapema kwa wale wote wenye mawazo ya kurudia mitihan au wanaotatizwa na maamuz waende chuo au Advance..Chuo kina faida kwasababu zifuatazo
1.Akil yako itakuwa na utaanza kufikilia kiutu uzima tofaut na ukiwa advance utajiona bado mtoto
2.Utajifunza kile kitu...
Ukienda kula lunch on date na girl badae mkapumzike kwenye nyumba zetu zileeee, ukaagiza chips yai na soda then akakutext "ungeagiza ugali nyama choma, ushushie na maji ingekua poa sana my boy"
Kwa UZOEFU wako unapata picha gani?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.