This is intelectual and logical argument. Let them be carefull on the following. 1) OVER-AMBITIOUS, 2) ILLUSSIION, 3)LESS INTERACTIVE 4) ENY ( MAJIVUNO KUPITA KIASI) 5). Zaidi ya hapo nashangaa sana wanawake wengi hawasalimii wanaume yani hadi uwaanze. Na hao wa chuo jamani sijui labda hilo...
kwa nini kuzaa zaa na kuachana, Kama hujaamua tumia condom, Endeleeni kuwakataa. Mimi mwenyewe ni me wa miaka 30 na sina mtoto. sihangaiki. We unaenda pekupeku wakati hujapanga kuwa na familia. tena siku hizi kila kona ni swala la uzazi wa mpango. we kijana mzima unazaa zaa tu, Nasisitiza...
A.Jamani, sasa tumezidi hizo lugha, mbona udhalilishaji huo jamani hiyo nimipasho sasa.
B.Nashauri mtu atumie lugha nyepesi.
C. Niliwahi kaa na demu moja ingawa hakuwa mtu wangu, harufu iliyotoka kwakenilitafakari sana, nilitaka kumtokea mbona niligaili.
D. Sitaki kusema ni harufu gani.
E. Ila...
Hapo naomba tuwe makini sana. Kwa sababu mwanamke unaweza kumtongoza mkaka akaishia kukuchezea kwa msemo kuwa amejileta mwenyewe. Mimi ni Mkristu - Mkatoliki mafundisho tuliyokua tukipata toka kwa Paroko wetu pale UDSM, ni kuwa mwanamke tumia ishara. Caution, salamu, charming, concern...
Tafadhari, haya maoni yanaweza kuwa mazuri kama yakitumika kuboresha mapungufu, na tuwe makini. Mlio kwenye ndoa pengine mengi ulikua huyajui, usije ukayaanzi sha from no where. hasa kuombana na kunyimana, utazua kesi. Na hii na 7, 6 kuweni makini nayo hasa walio kwenye ndoa
Nilikua na stafmet mwenzangu, siku moja akafanya tathmini ya nguo zake, na akaniambia suruari kanunu elfu 8,tu, blaus 4000 tu, open shoe zake tsh 5000. Nywele katengeneza kwa tsh 11,000. Laakini kutokana na rangi yake asilia ( alikua mpare) Umbo lake wafanyakazi wote pressure juuu, kumtamani. we...
That is etraagancy, eti chupi nanini, za 130,000/= kucha 20,000/= rangi, what what, hizo ni complication kwa wanawake wasio jiamini. Nakubaliana na nywetu tu basi ambazo gharama yake haina alternatie. Aaache kutuzingua hizo nguo za ndani nilishaulizia bei zake, kuna class na class. sio zote...
That is illusion. Because when one perspn value buttocks, or any forms of slimy fit or contouring session of their body does not mean that value is for all. The most important think is to put on something acceptable to majority according to the working environement/ culture and respective community.
Swala la neno smart sio issu jamani, analyze the whole notion or contect in term of its manisfest and latent. You can understand, Kwa lugha nyepesi jamaa ana maanisha wanawake ambao wako makini kiliko kawaida kuhusu haki na wanahoja zenye kumpa changamoto mwanaume. katika maana kwamba...
Oh, good! I have been thinking, as the my friend with this topic argued. I happed to prepar a paper which was sound like topic developed above. My lecturer in The department of sociology was total furiuos and angry of that. He ended in frustrating me and humiliating me. Alot of literature...
Pole sana ina uma sana, jamaaaaaaaaaaaaani, anza kwa kuzoe hali ya kuchuniwa, pili mnapokutana mwambie unaumia sana, fanya hivy kwa mkazo sana. Nakuambia yalisha nikuta sana nakuoneahuruma,.. Kama atakua hamaindi, kaa mkao wa kula, yawezekana kuna njemba somewhere linatikita.
In an attempt to maintain status quo, vs for the sake of true cosciousness which which change the system. Let people not argue, as if; not only incapable of thinking but as if tey wont be able to think more. Nchi ngumu hiyo jamani Hapo hata kwa matusi ukombozi tunataka. CHADEMA juuuuuuuuuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.