Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
***time to play the breakup game***
Kama unaona kweli umeteseka vya kutosha na unasema inatosha, fanya hivi, futa number zake zote za simu, futa sms zote ulizowahi kumtumia na alizowahi kukutumia, futa all calls zake zote. Baada ya hapo muombe Mungu akusaidie umsahau. najua utateseka sana na itakuchukua mda lakini vumilia yatakwisha na utarudi katika hali yako ya kawaida. Huyo hana mapenzi na wewe hata kidogo majukumu hayazuii hata kidogo kuwasiliana na umpendae.ndugu wana jf nina mpenzi wangu nampenda sana, nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwaminifu kwake lakini tangu amegundua kuwa nampenda ananitesa sana, muda mwingi hapokei sim zangu, text sometimes hajibu, anadai yuko bize sana na majukum ya kujenga taifa,sina la kufanya jaman mnishauri ndugu zangu mana nampenda sana
akufukuzae hakwambii toka bidada
jikatae tartiiibu maana kashakuchoka huyo!!
Huenda wamechokana wote na huenda wamefanyiana visa ila huyu yeye kawahi hapa jf (labda) ili aonekane hana makosa.
Binafsi ningependa kupata maelezo kutoka upande wa pili pia ili nisiegeme wala kupendelea upande wowote.
tusubiri afunguke zaidi
maana mapenzi kizungumkuti!!
​swadaktaaa kabisaNa kama ikiwezekana aje na huyo mwenzake aweke maelezo yake hapa ili tuwachambue wote kisha tupate picha halisi.