Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,312
Kuna mantiki kwa mengi uliyoandika.
Mbona mwanamke ana don't (s) kibao, mzani hauja-balance. Mkumbuke mwanamke naye ni binaadamu, ana roho ya nyama, anasikia maumivu anapotendewa ndivyo sivyo. Hawezi kutekeleza yote hayo kama hautamtreat as a lady. Play your part first, then all can be done.
namba 1&4 hapana,fanya/rudia utafiti wako vizuri ikiwezekana tuone upate data. Kuhusu pesa unadhani tutapendezaje bila pesa,...ubahili utawakost!!
Umeona eeeeeh ngoja team ije hapa kama hajakimbia
Unashangaa pedi ya mwanamke ulishawahi kumkanda papuchi mwananamke aliyejifunguwa weye! Wanawake waoneni wamevaa na wanapendeza mh!
Hakuna cha team wala nini...
9. Waache kukigeuza kitanda kuwa sehemu ya kufanyia kesi a.k.a mahakama... Yaani ukitokea tu kitandani basi wanaanza mikesi yao... Ya mtu umekimbizwa mchana kutwa unategemea ukifika kitandani utapumzika na kulala, lakio ndo wanapageuza mahakamani.... Sasa itokee wakati mlalamikaji anajieleza wewe kwa kuchoka ukapitiwa na usingizi halafu agundue hilo... Yaani hapo sasa kitanda kinageuka kuwa ze hegi....
Haha aksante ila namba 4 mie sijaielewa sana.........inakuwa applied hata ndani ya ndoa au? how? Baba Chanja jiandae na madenguo
upo jamani?
Haha aksante ila namba 4 mie sijaielewa sana.........inakuwa applied hata ndani ya ndoa au? how? Baba Chanja jiandae na madenguo
8 Wasituombe hela hovyo hovyo!
Naskia harufu ya ushuzi...au ni yeye kakiachia!!