ngoja nikwambie kisa cha dada mmoja hivi cha ukweli
huyu dada alisomaga boarding enzi zileee shule zikicheza disco usiku, miaka hiyo ilikuwa unakuta mtu unasoma ashira mnaenda ilboru kucheza mziki usiku asbh mnarudi shule. huyu dada siku moja ashira na ilboru waliendaga Momella kujipa raha, sasa kule momella walizunguka sana na ilipofika jioni disco likafunguliwa mida ya saa 2 hivi, basi bluzi za judy bucha enzi hizo
Ngoja niufyate kwa kukuomba samahani kwani jibu nimepataHayo ni mambo yangu personal!
Bora ufanye hivo na usitafsiri kila kinachoandikwa kama ndio hali ilivyo..Hizo ni assumptions zangu!!Ngoja niufyate kwa kukuomba samahani kwani jibu nimepata
Kaunyenyekevu naomba tutofautiane maana mtu anajua kitu anachofanya au alichokiona au alichosikia au kukisoma n.k. Hivyo andiko la mtu lina ukweli ndani yake. Ninapotetea hoja ni kuwa naiunga mkono ingawa unaweza kushabikia. Naomba kuishia hapaBora ufanye hivo na usitafsiri kila kinachoandikwa kama ndio hali ilivyo..Hizo ni assumptions zangu!!
Kuna wale (wanaume kwa wanawake) ambao wanakuwa wamezaa na watu mtaa wa kwanza au mkoa mwingine labda Kagera, baada ya hayo matukio wanahamia mitaa au mikoa mingine. Ukiwagusa kama wana watoto au la, wanakuambia khaaa, sina!
Baada ya kuoana na kuanza maisha, ghafla unaona watoto wamepakiwa kwenye bodaboda kama watatu hivi unaletewa! -@Mamndenyi na miss strong wanalijua hili vizuri wanaweza kulielezea.
Umejielezea vizuri!!pole na hongera kwa kufanikisha.ngoja nikwambie kisa cha dada mmoja hivi cha ukweli
huyu dada alisomaga boarding enzi zileee shule zikicheza disco usiku, miaka hiyo ilikuwa unakuta mtu unasoma ashira mnaenda ilboru kucheza mziki usiku asbh mnarudi shule. huyu dada siku moja ashira na ilboru waliendaga Momella kujipa raha, sasa kule momella walizunguka sana na ilipofika jioni disco likafunguliwa mida ya saa 2 hivi, basi bluzi za judy bucha enzi hizo, wakadandiana mwishowe wakavunja amri.
binti baada ya muda tumbo hilo hamkumbuki hata baba manake walikutana siku moja tena disco, basi aliporudishwa home wazazi wake walimsaidia hadi akajifungua, akaacha mtoto nyumban akarudi shule kufanya mtihan wa form 4, uzuri alikuwa na akili aka make vizuri akagonga a-level fresh n akaenda chuo.
akiwa chuoni alikuwa akitongzwa tu na mwanaume anamwambia ukweli kwamba nina mtoto so akawa amejiweka huru kiasi fulan, ikatokea wanaume wawili wanampenda kwa dhati kabisaa na mmoja kati yao alikuwa ni lecturer, huyu mwingine alikuwa ni mwanafunzi mwenzie tuu lkn walipenda zaid hadi wakaoana. kuoana huyu kijana aliye mwoa alimwambia nataka mwanao aitwe ka jina langu, basi yule mtoto aliitwa kwa jina la huyu kijana na mpaka leo ni kijana mkubwa wa form six sasa. anaish nyumban kama watoto wengine waliozaliwa na huyu kaka.
kisa cha huyu dada huwa kinanifunza kwamba mtoto hana shida kabisa iwapo wazazi mtataka iwe hivyo ila mkileta komplikeshen ndipo mtakapo ipata joto ya jiwe.
hii topic haituhusu tulioko ndoani tayari au?
Jamani Spanerboy, don take mi wrong my bro!.
Sina roho mbaya hata kidogo!
Mimi naelewa haya mambo wala cjasimliwa.....
Ndo maana nimesema wanaoweza waolewe tu,ila mi cwezi, na wakaka mjitahidi kuoa mliozaa nao kupunguza tatizo
sawa sikulaumu sana kwasababu hata mimi sikubali mtoto ambae sio wangu aniite baba
huu ni ukweli ,nimekumiss the boss weekend njema
Huyo dada anafanya vibaya. Unajua wapo wanawake wenye tabia njema na wenye upendo wa mama mzazi kwa bahati mbaya nao hujikuta wanaishi na watoto jeuri . Tena baba akionyesha kuwa upande wa watoto basi lazima mama huyo cha moto akione. Pamoja na haya yote bado baba anapaswa kuwa na hekima ya kuishi nao wote kwa furaha na upendo. Mtoto abaki nafac yake na mama nae apewe nafac yake ila wamama wengine baba anapaswa kuwasimamia kwa akili. Kumbuka kuna baadhi ya watoto hufikia hatua ya kupewa ushirikina na mama zao ili wamdhuru mama aliyeko hapo home sasa kwa kuangalia haya yote hekima na maarifa vinahitajika sana.Kuna shemeji yangu huwa simuelewe...ana watoto 4 sasa hivi na binti anayekaa naye mpaka leo hakuna ndoa ni kama ali move in sababu ya mimba na any time ata mumuvuzisha out...anamwambiaga wakigombana arudi kwao. In short huyu dada naye ameenda pale kuongeza idadi ndio wamefika hao 4. Wa kwanza ni mkubwa sana alimzaa alipomaliza form six akamkataa mama mkwe kamchukua kamlea mwisho wa siku ame realize ni utoto ulomfanya amkane mwanae ambaye ni carbon copy
Nadhani ni katika kutafuta kuwa protect watoto wake hataki kukaa na mke...tunashindwa kabisa kumuelewa;
Hivyo nakubali inawezekana wanaume wenye watoto ni wagumu sana kuoa sababu ya woga wa mama wa kambo lakini si kwa sababu wanakataliwa...mabinti wanavyopenda ndoa ni wachache wenye jeuri ya kukataa kuolewa sababu kuna mtoto...ila watoto wako cha moto watakiona akishaingia ndani.
Na kweli bana huyo dada alozaa nae kwa sasa ana nyodo za kufa mtu hapo mkaka haja put a ring on it...akiolewa lazima watoto wa shemeji yangu washindie uji