Ni gharama sana kuwa mwanamke! Wanaume Msione vyaelea!!!!!

My dad once told me, ukitaka kujiremba, jirembe in the way utaonekana natural, mwanaume akikutana na wewe aseme huyu dada ana rangi/ ngozi nzuri, nywele nzuri. urembo mwingine unatisha, wanja mpaka masikioni, uso umeungua, kope za kubandika ukichanganya na rangi za macho ndio kama shetani vile.
poda kidogo (tena ya wtt), lip shine au lipstick isiyoshine sana, nyusi inachanwa na kitana chake, hereni, na nywele za style ya kistaarabu (no crazy colors, no kuchacharika like bambuucha) inatosha kumfanya mwanamke aonekane mrembo na mwenye class especially unapokuwa unaenda kazini au kwenye mizunguko ya kawaida ya town. Ila kama wewe ni msanii, basi hayo makorokoro mengine yote yanahusika

Safi... Hiyo ndio naipenda mie, sio miurembo hadi unakua kama umechorwa!
 
Nimegundua am very very cheap, siwezi eka extension inayozidi elfu 10. Extension zote kwangu zinafanana iwe brazilian, yugoslavian au the femasi chinese.
Hivi uso ukisafishwa home hautakati?
Anyway, labda miguu na kucha naeza elewa, navyo vyote bajeti haizidi 10.
Maana kidude cha kuoshea ni 2000 tu,scrub ya machicha ya nazi.
 
Nimegundua am very very cheap, siwezi eka extension inayozidi elfu 10. Extension zote kwangu zinafanana iwe brazilian, yugoslavian au the femasi chinese.
Hivi uso ukisafishwa home hautakati?
Anyway, labda miguu na kucha naeza elewa, navyo vyote bajeti haizidi 10.
Maana kidude cha kuoshea ni 2000 tu,scrub ya machicha ya nazi.
Halafu ile kusugua mguu kwenye jiwe hakuna tena siku hizi?
 
gharama hizo ni kwa wale wanalazisha mzuri wakati hawakuzaliwa warembo.
ya nini upake rangi kwani wewe bajaji?Kucha nazo ni gharama???Kwa demu mzuri anahitaji wembe tu wa 200 kukatia kucha,kope za mtu beautiful hazihitaji wanja wala nini.
Ndio mana nimeshakataa kuoa wabaya mana wanajipamba weee kulazisha uzuri na hayo matokeo yake unakuta gharama za saloon ndio hizo.
no makeup,mafuta ya kawaida,nguo za ndani na dep sawa.

Weee utakua bahili tu na excuses zako izo
 
Je gharama izo ulizotuwekea hapo ni kwa siku,wiki, mwezi au mwaka? Maana naona umejiandikia tu bila kuwe S. I Unit
flowers-of-africa.jpg


Bibi yangu aliwahi kunambia kwamba kuzaliwa mwanamke ni gharama sana, awali sikumwelewe. Lakini hivi sasa nimemwelewa na ninakiri kwamba alikuwa sahihi kwa asilimia 100.

Hebu fikiria kuhusu gharama anazotumia mwanamke kila wiki ili kuweka mwonekanao wake uwe mzuri na maridadi. Hebu fikiria kuhusu vikorombwezo vya urembo na makochokocho mengine ya vito vya thamani anavyonunua mwanamke ili aweze kujiweka katika mazingira ya kumpandisha thamani.

Ndio maana yake, siku hizi bila kujipandisha thamani akutake nani?

Ngoja tuangalie gharama tunazotumia wanawake kwa urembo:

1. Urembo wa kucha:

Hapa mwanamke anaweza kutumia kwa wastani wa shilingi 20,000 mpaka 40,000 au zaidi kulingana na aina ya rangi za kucha na vikorokoro vyake.

2. Urembo nywele, nyusi na kope:

Nazungumzia gharama za kuanzia kuosha, ku-set, extensions, kuweka rangi ya nywele, kupunguza nywele kuhakikisha unajiweka katika mwonekano mzuri wa nywele, nyusi na kope zinaweza kuwa na wastani wa kuanzia 50,000 hadi 100,000 au zaidi. Lakini pia itategemea na aina ya bidhaa utakazununua.

3. Urembo wa uso pamoja na rangi za midomo:

Garama za bidhaa za kuuweka uso katika mwonekano mzuri pamoja na rangi za midomo unaweza kumgharimu mwanamke wastani wa shilingi 80, 000 mpaka 100,000 au zaidi.

4. Mambo ya Body Scrub:

mambo ya Body Scrub yanaweza kumgharimu mwanamke wastani wa shilingi 100,000 mpaka 150,000 au zaidi.

5.Gharama za Kununua nguo za ndani na pedi:

Mara nyingi tunafanya manunuzi ya nguo za ndani mara kwa mara kulingana na jinsi unavyojisikia. hivyo naweza kutenga kiasi cha kunzia shilingi 50,000 mpaka 130,000 au zaidi kulingana na jinsi ninavyojisikia, lakini pia tuna gharama zetu za kila mwezi tuendapo mwezini.

Hapo nimejaribu tu kuzungumza kwa uchache kuhusu ghrama anazotumia mwanamke ili kujiweka katika urembo apendeze na avutia, hata akipita mahali watu wageuze shingo.

Inashangaza kwamba wanaume wanamuona mwanamke mrembo wanadhani labda ameshuka tu kutoka mbingiuni akiwa hivyo, la hasha, kuna gharama zilizojificha ambazo hamuwezi kuziona labda mpaka muambiwe kama mimi nilivyofanya leo.

Labda tu nitoe ushauri wa bure kwa wanaume. Unapomtongoza mwanamke mrembo, jaribu kwanza kupima ubavu wako kama unaweza kumudu gharama za kumtunza ili aonekane kama ulivyomkuta, usitarajie kamwe kama gharama hizo atazibeba yeye, utakuwa unajidanganya, ukimtongoza na akikubali basi gharama hizo zitakuwa za kwako.
 
Hakuna weee mwenzangu tumerahisishiwa kazi tunatumia foot file siku hizi hahahaha
Lile jiwe ndo lasugua vizuri sasa ukiuegesha mguu ukitaka hapo umetakata na inakurahisishia kazi sio mara mkono wa foot file umepachuka loh,halafu utumie nguvu nyingi....
 
Hahaaaa Lisa bwana.
Itakuwaje kama ya mtoto wakati mininga ishapita na kuharibu reception ya kitoto! Hata ifanyiwe waxing vipi...

sijasemea sehemu, nimesema ulaini, naomba unielewe point yangu.
 
That is etraagancy, eti chupi nanini, za 130,000/= kucha 20,000/= rangi, what what, hizo ni complication kwa wanawake wasio jiamini. Nakubaliana na nywetu tu basi ambazo gharama yake haina alternatie. Aaache kutuzingua hizo nguo za ndani nilishaulizia bei zake, kuna class na class. sio zote zote ndio bei. ingekua hivo basi wote wasingevaa. we kila mwezi ununue chupi za 100,000/= kila wiki 20,000 rangi, 40,000/ nywele, aka! perfume.... Hizo ni tamaa. kuna basic na etraordonary. alah! HUYU NAYE ANATAKA KUHALRISHA TAMAA ZAKE TU. Kwanza nani alimwambia anapendwa kwa sababu ya kucha zake? au nani alimwambia rangirangi zake, watu wanaragi zao asili. mafuta kidogo tu wanapendeza, Rangi kidogo safi, nywele zake zina afya, akitunza mafuta ya kawaida tu, akizitengeneza tu au hata kuzilaza au kufungia kati tu katimia, Alah! wizi mtupu.
 
Nilikua na stafmet mwenzangu, siku moja akafanya tathmini ya nguo zake, na akaniambia suruari kanunu elfu 8,tu, blaus 4000 tu, open shoe zake tsh 5000. Nywele katengeneza kwa tsh 11,000. Laakini kutokana na rangi yake asilia ( alikua mpare) Umbo lake wafanyakazi wote pressure juuu, kumtamani. we kama mbaya haina haja ya kulzomisha, na hizo taiti ambazo siku hizi wanavaa wengi sana, kweli ndio gharama yake iyo., perfume hatununui kila wiki,chupi sindilia, hatununui kila wiki, lipstik ahtununui kila wiki, ni nywele tu na kucha.
 
flowers-of-africa.jpg


Bibi yangu aliwahi kunambia kwamba kuzaliwa mwanamke ni gharama sana, awali sikumwelewe. Lakini hivi sasa nimemwelewa na ninakiri kwamba alikuwa sahihi kwa asilimia 100.

Hebu fikiria kuhusu gharama anazotumia mwanamke kila wiki ili kuweka mwonekanao wake uwe mzuri na maridadi. Hebu fikiria kuhusu vikorombwezo vya urembo na makochokocho mengine ya vito vya thamani anavyonunua mwanamke ili aweze kujiweka katika mazingira ya kumpandisha thamani.

Ndio maana yake, siku hizi bila kujipandisha thamani akutake nani?

Ngoja tuangalie gharama tunazotumia wanawake kwa urembo:

1. Urembo wa kucha:

Hapa mwanamke anaweza kutumia kwa wastani wa shilingi 20,000 mpaka 40,000 au zaidi kulingana na aina ya rangi za kucha na vikorokoro vyake.

2. Urembo nywele, nyusi na kope:

Nazungumzia gharama za kuanzia kuosha, ku-set, extensions, kuweka rangi ya nywele, kupunguza nywele kuhakikisha unajiweka katika mwonekano mzuri wa nywele, nyusi na kope zinaweza kuwa na wastani wa kuanzia 50,000 hadi 100,000 au zaidi. Lakini pia itategemea na aina ya bidhaa utakazununua.

3. Urembo wa uso pamoja na rangi za midomo:

Garama za bidhaa za kuuweka uso katika mwonekano mzuri pamoja na rangi za midomo unaweza kumgharimu mwanamke wastani wa shilingi 80, 000 mpaka 100,000 au zaidi.

4. Mambo ya Body Scrub:

mambo ya Body Scrub yanaweza kumgharimu mwanamke wastani wa shilingi 100,000 mpaka 150,000 au zaidi.

5.Gharama za Kununua nguo za ndani na pedi:

Mara nyingi tunafanya manunuzi ya nguo za ndani mara kwa mara kulingana na jinsi unavyojisikia. hivyo naweza kutenga kiasi cha kunzia shilingi 50,000 mpaka 130,000 au zaidi kulingana na jinsi ninavyojisikia, lakini pia tuna gharama zetu za kila mwezi tuendapo mwezini.

Hapo nimejaribu tu kuzungumza kwa uchache kuhusu ghrama anazotumia mwanamke ili kujiweka katika urembo apendeze na avutia, hata akipita mahali watu wageuze shingo.

Inashangaza kwamba wanaume wanamuona mwanamke mrembo wanadhani labda ameshuka tu kutoka mbingiuni akiwa hivyo, la hasha, kuna gharama zilizojificha ambazo hamuwezi kuziona labda mpaka muambiwe kama mimi nilivyofanya leo.

Labda tu nitoe ushauri wa bure kwa wanaume. Unapomtongoza mwanamke mrembo, jaribu kwanza kupima ubavu wako kama unaweza kumudu gharama za kumtunza ili aonekane kama ulivyomkuta, usitarajie kamwe kama gharama hizo atazibeba yeye, utakuwa unajidanganya, ukimtongoza na akikubali basi gharama hizo zitakuwa za kwako.
that why alwys na stick na mademu zangu ma raster hawana garama kama hizo..alwys natural beaut.
 
flowers-of-africa.jpg


Bibi yangu aliwahi kunambia kwamba kuzaliwa mwanamke ni gharama sana, awali sikumwelewe. Lakini hivi sasa nimemwelewa na ninakiri kwamba alikuwa sahihi kwa asilimia 100.

Hebu fikiria kuhusu gharama anazotumia mwanamke kila wiki ili kuweka mwonekanao wake uwe mzuri na maridadi. Hebu fikiria kuhusu vikorombwezo vya urembo na makochokocho mengine ya vito vya thamani anavyonunua mwanamke ili aweze kujiweka katika mazingira ya kumpandisha thamani.

Ndio maana yake, siku hizi bila kujipandisha thamani akutake nani?

Ngoja tuangalie gharama tunazotumia wanawake kwa urembo:

1. Urembo wa kucha:

Hapa mwanamke anaweza kutumia kwa wastani wa shilingi 20,000 mpaka 40,000 au zaidi kulingana na aina ya rangi za kucha na vikorokoro vyake.

2. Urembo nywele, nyusi na kope:

Nazungumzia gharama za kuanzia kuosha, ku-set, extensions, kuweka rangi ya nywele, kupunguza nywele kuhakikisha unajiweka katika mwonekano mzuri wa nywele, nyusi na kope zinaweza kuwa na wastani wa kuanzia 50,000 hadi 100,000 au zaidi. Lakini pia itategemea na aina ya bidhaa utakazununua.

3. Urembo wa uso pamoja na rangi za midomo:

Garama za bidhaa za kuuweka uso katika mwonekano mzuri pamoja na rangi za midomo unaweza kumgharimu mwanamke wastani wa shilingi 80, 000 mpaka 100,000 au zaidi.

4. Mambo ya Body Scrub:

mambo ya Body Scrub yanaweza kumgharimu mwanamke wastani wa shilingi 100,000 mpaka 150,000 au zaidi.

5.Gharama za Kununua nguo za ndani na pedi:

Mara nyingi tunafanya manunuzi ya nguo za ndani mara kwa mara kulingana na jinsi unavyojisikia. hivyo naweza kutenga kiasi cha kunzia shilingi 50,000 mpaka 130,000 au zaidi kulingana na jinsi ninavyojisikia, lakini pia tuna gharama zetu za kila mwezi tuendapo mwezini.

Hapo nimejaribu tu kuzungumza kwa uchache kuhusu ghrama anazotumia mwanamke ili kujiweka katika urembo apendeze na avutia, hata akipita mahali watu wageuze shingo.

Inashangaza kwamba wanaume wanamuona mwanamke mrembo wanadhani labda ameshuka tu kutoka mbingiuni akiwa hivyo, la hasha, kuna gharama zilizojificha ambazo hamuwezi kuziona labda mpaka muambiwe kama mimi nilivyofanya leo.

Labda tu nitoe ushauri wa bure kwa wanaume. Unapomtongoza mwanamke mrembo, jaribu kwanza kupima ubavu wako kama unaweza kumudu gharama za kumtunza ili aonekane kama ulivyomkuta, usitarajie kamwe kama gharama hizo atazibeba yeye, utakuwa unajidanganya, ukimtongoza na akikubali basi gharama hizo zitakuwa za kwako.

Huu ni moja kati ya thread bora kabisa nilizowahi kusoma hapa JF
 
kidume naye gharama. inabidi uwe na gari,ujenge nyumba,ulishe familia,na umgharamie matumizi haya mwanamke
 
Back
Top Bottom