Habari wanajamvi, poleni kwa majukumu ya siku. Naleta kwenu ombi hili ili kuweza kunipatia msaada wa usafiri kutoka Dar Es Salaam kwenda Tabora. Nimepitia changamoto nyingi kwa muda sasa nimekuwa na nyakati ngumu sana hivyo nimefanya uamuzi wa kurudi kwanza kijijini Tabora.
Naomba kupata msaada...
Kila nikiweka salio wanalamba 100 wananiambia kuhusu simulizi /hadithi. Nimefanya jitihada zote kuwasiliana nao (customer care, mitandao yao ya kijamii) hakuna majibu.
Mwenye kufahamu jinsi ya kujitoa msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika anga ya siasa za Tanzania, tukio kubwa na linaojadiliwa kwa sasa ni FUJO zilizo jitokeza kwenye mkutano wa Mh. Freeman Mbowe alipokuwa akihutubia wananchi jimboni kwake. Kundi la 'vijana' liliibuka na kuanza kupiga kelele na kutoa maneno yenye mlengo wa kutokubaliana na uongozi wa Mh...
Ghana ndiyo Taifa linalo tolewa mfano wa kuwa na Demokrasia safi ya Uchaguzi wa kisiasa Africa. Hoja hii inatokana na kile kinachoelezwa kuwa uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi (EC). Kwa mujibu wa Katiba ya Ghana ya 1992 imeweka namna tume hiyo inaundwa, majukumu yake, chanzo chake cha fedha na...
Salaam
Mnamo mwezi May 11,2018 niliweka bandiko lenye kichwa cha habari 'MKAZI WA DAR ATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA UTAPELI'.
Mtuhumiwaalipatikana,
akawajibishwa kisheria na kesi ya msingi kwa sasa imemalizika. Naomba Moderators wafute bandiko husika.
Nawasilisha.
Salaam wana jamvi
Asubuhi hii nilitakiwa kutumiwa pesa kwa njia ya simu (Mpesa) ila imeshindikana. Watoa huduma wa Rwanda wamesema kuna mambo hayapo sawa na wanasubiri mashauriano katika ya viongozi wakuu wa nchi zote mbili (Tanzania na Rwanda). Huduma hiyo wanaweza kufanya kwa kutuma Uganda...
Wanabodi, salaam.
Nimetoka sasa hivi kupokea simu mbili ambazo nimetumiwa toka nje, moja ni IPHONE 6 PLUS na SAMSUNG S5. Napenda kutumia simu za Samsung, kwa hiyo nimeamua kuuza iPhone 6 plus. Kwa majadiliano ya biashara (kuuza) njoo PM au piga +255 620670392
Nimepita katika facebook page ya Mh. Zitto Kabwe, nimekuta ujumbe huu ambao nahisi kuna jambo anataka umma 'uambiwe ukweli' na Mwenyekiti wa CCM Taifa,juu ya uhusiano kati ya SAHARA ENERGY na fedha za kuendesha mkutano uliompa Mh Magufuli uenyekiti wa CCM Taifa...
"Katika uchambuzi huu wa...
Hii ni mara yangu ya kwanza kuweka bandiko hapa JamiiForums, miaka yote nimekuwa mchangiaji kwa mabandiko ya wadau wengine.
Naelewa ugumu wa vita dhidi ya biashara haramu ya dawa za kulevya, naelewa jinsi inavyohusisha maofisa wa serikali katika kuwalinda wafanyabiashara hao wenye utajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.