Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
Salaam
Mnamo mwezi May 11,2018 niliweka bandiko lenye kichwa cha habari 'MKAZI WA DAR ATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA UTAPELI'.
Mtuhumiwaalipatikana,
akawajibishwa kisheria na kesi ya msingi kwa sasa imemalizika. Naomba Moderators wafute bandiko husika.
Nawasilisha.
Mnamo mwezi May 11,2018 niliweka bandiko lenye kichwa cha habari 'MKAZI WA DAR ATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA UTAPELI'.
Mtuhumiwaalipatikana,
akawajibishwa kisheria na kesi ya msingi kwa sasa imemalizika. Naomba Moderators wafute bandiko husika.
Nawasilisha.