Search results

  1. D

    Uchaguzi BAVICHA taifa 2014: Je,nani anafaa kuongoza?

    UCHAGUZI WA BAVICHA TAIFA..... HII NI KWA WANACHADEMA TU NA WAPENDA MABADILIKO YA KWELI YA NCHI YETU... Kuelekea uchaguzi wa BAVICHA taifa wa mwaka huu...... Je, ni nani atatufaa kwa nafasi ya uenyekiti na ukatibu kati ya hawa?... 1.PHILIP MWAKIBINGA - Ni mwanachadema pekee ambaye...
  2. D

    Kwa hoja hizi hapa,ni nani alikuwa sahihi kati ya ukawa na ccm?

    NANI ALIKUWA SAHIHI? (A) CCM-Waliotoka nje ya maada ya rasimu ya katiba iliyowasilishwa na tume ya mzalendo Jaji Joseph Sinde Warioba na kuendeleza mjadala wa matusi na kejeli ndani ya mjengo wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya tume na watanzania waliotoa maoni yao,huku...
  3. D

    Hatma ya vijana kisiasa Tanzania

    1. Mtela Mwampamba(green guard wa ccm) 2.Juliana Shonza(Mke wa Mwigulu wa ccm) 3.Habib Mchange.(Anamchanganyiko w ACT na CCM,anamsubiri Zitto amuamlie pa kwenda) 4.Nyakarungu(ACT). 5.Kitila Mkumbo(ACT) 6............ 7............ 8............ Ongezea wengine.
  4. D

    Chadema Temeke kupasua ngome ya CCM

    Ni ktk viwanja gn kamanda?@Bennymas
  5. D

    Viongozi na Wajumbe watano wa CHADEMA wakamatwa

    Chadema ndo baba lao.Hapo ni mwendo mdundo tu mpaka kieleweke
  6. D

    Wassira: Atibua mitandao Urais 2015

    Ipo siku hawa manyang'au na mijizi ccm,itasema hakika Chadema ni chama cha watanzania wote.time is approaching.........
  7. D

    Kodi ya Simu: Serikali lazima isikilize kilio cha wananchi

    'Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable' By John F kennedy
  8. D

    Kamanda wa Jeshi kuwanoa vijana wa CHADEMA

    Mpera mpera mpaka kieleweke.CHADEME Gooooooooooo on
  9. D

    Tuwataje Wabunge wetu 75

    Joshua Nassari,Prof Jay,Philipo Mwakibinga,Baraka Mwazembe,David Silinde
  10. D

    JK, Shein waula

    Kama waliingia madarakani kwa katiba ya zamani,bc watatoka kwa kufuata katiba hiyo ya zamani ambayo inasema kuwa uchaguzi utafanyika kila baada ya miaka mitano (5).Lazima watoke 2015,
  11. D

    wasira anahutubia wakufunzi wa UDOM makada

    Makamanda kamili tupo zetu chuo.Jana tumetoka zetu wilaya ya Bahi kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani.Ukombozi wa kweli utaletwa na Chadema.Karibuni sana kwenye mahafari ya kuwaaga makamanda wanaomaliza vyuo vikuu vya Dodoma yaani CHASO itakayofanyika tar 09 June.Pipozzzzzzzzzzzzzz
  12. D

    Nimewajibu CHADEMA mkutano wa Mbozi, tutaimaliza CHADEMA kwa mikono yetu

    Acha kujifariji ww Mwampamba.Chadema Mbozi tuko imara zaidi unavyofikiria.Acha kuudanganya umma kuwa unakubalika Mbozi.Je unauhakika kuwa huo umati wa watu wote wanakukubali? Acha kufanya siasa kwa ajili ya kumridhisha Mwigulu Nchemba ili akupe posho.Chadema tutashinda
  13. D

    Dk. Slaa aungopea umma mjini morogoro

    Aya sasa nenda ukachukue posho yako pale Lumumba MEA-MTWARO
  14. D

    Mtela Mwampamba anusurika kichapo Mbozi eneo la Mlowo

    Mwampamba na magamba wenzie,mmekwishaaaaa.CHADEMA tuko imara sn Mbozi.Wanambozi hawana hamu na CCM tena.Huo mkutano wenu ulikuwa ni wakichama zaidi coz wengi walikuw ni magamba.
  15. D

    Dr.Slaa kutunuku vyeti kwa wahitimu wa CHASO Morogoro.

    Big up sana Chaso-Morogoro.Na ss chaso-Dodoma tunategemea kufanya sherehe yetu ya makamanda na kukabidhiwa vyeti tar 08 June,.Mungu umlinde Dr.Slaa ktk harakati za ukombozi wa taifa letu
  16. D

    Updates: Mkutano wa CHADEMA toka Matarawe Songea

    Pipozzzzzzzzz powaaaaaaaaaaaaa.mpaka kieleweke
  17. D

    Madiwani wapendekeza kuigawa Mbeya

    Hayo magamba yanataka kutugawa wanaMbeya.Kamwe ss hatutakubali upuuzi wa ccm.Njia pekee ya kusogeza huduma kwa wananchi ni kuanzisha sera ya majimbo.Vinginevyo magamba hapa mmegonga mwamba.Na nyie madiwani mnaotumika vibaya,jiandaeni kung'oka 2015
  18. D

    Saidi Arfi: Tunahitaji viongozi wenye hekima na busara kama mfalme Sulemani

    Akiwa ktk kuchangia hoja juu ya bajeti ya wizara ya nishati na madini,mbunge wa mpanda mjini na makamu mwenyekiti wa Chadema taifa amesisitiza viongozi wa serikali kutumia hekima zaidi pamoja na busara ktk kutatua migogoro baina ya serikali na wananchi.Hakika huu si wkt wa serikali ya ccm...
Back
Top Bottom