Diwani Msia 2015
Member
- Dec 21, 2012
- 96
- 15
NANI
ALIKUWA SAHIHI?
(A) CCM-Waliotoka nje ya maada ya rasimu ya katiba iliyowasilishwa na tume ya mzalendo Jaji Joseph Sinde Warioba na kuendeleza mjadala wa matusi na kejeli ndani ya mjengo wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya tume na watanzania waliotoa maoni yao,huku wakiendelea
kuchukua posho za walipa kodi?
(B) UKAWA-Waliotoka nje ya ukumbi wa bunge huku wakiendelea kutetea maoni ya wananchi yaliyopo kwenye rasimu ya katiba ya Jaji Warioba...
Hawakutoka nje ya maada bali walitoka nje ya jengo la bunge..
Toa maoni yako........
Toa mtazamo wako kuhusu ngwe nyingine ya bunge la katiba litakalo anza
Agosti 5.
ALIKUWA SAHIHI?
(A) CCM-Waliotoka nje ya maada ya rasimu ya katiba iliyowasilishwa na tume ya mzalendo Jaji Joseph Sinde Warioba na kuendeleza mjadala wa matusi na kejeli ndani ya mjengo wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya tume na watanzania waliotoa maoni yao,huku wakiendelea
kuchukua posho za walipa kodi?
(B) UKAWA-Waliotoka nje ya ukumbi wa bunge huku wakiendelea kutetea maoni ya wananchi yaliyopo kwenye rasimu ya katiba ya Jaji Warioba...
Hawakutoka nje ya maada bali walitoka nje ya jengo la bunge..
Toa maoni yako........
Toa mtazamo wako kuhusu ngwe nyingine ya bunge la katiba litakalo anza
Agosti 5.