Kamanda wa Jeshi kuwanoa vijana wa CHADEMA

Safi sana.Vijana wengine waliomaliza vyuo tumewapeleka T.M.A Monduli na wengine CCP Moshi kwa mafunzo zaidi huko watafundishwa na askari waliopo kazini sio wastaafu.
 
Mkuu, Red Brigade ni jina tu ambalo maana yake au tafsiri yake haimaanishi uhalifu kama maneno ya mwizi au gaidi uliyotumia katika mfano wako,
Unataka kusema kwa kuwa Joseph Konyi ni muuaji basi mtu yeyote atakayeitwa Joseph naye ni lazima awe muuaji?

Mkuu nakuomba ufuatilie historia ya red brigade na matendo waliyofanya wakati wa uhai wake.si busara kulazimisha fikra na uhalisia iwe jinsi ww unataka, kuna mambo chadema inajiharibia



Terrorist Organization Profile:
Red Brigades
Mothertongue Name: Brigate Rosse (BR)
Aliases: Armed Communist Combatants, Italian Red Brigade, Red Regiments
Bases of Operation: n/a
Date Formed: 1969
Strength: Group is forcefull and killing
Classifications: Communist/Socialist
Financial Sources: Unknown
Founding Philosophy: The Red Brigades were founded on rigidly Marxist-Leninist principles. This radical leftist group advocated violence in the pursuit of class warfare. Concentrated in Italy, the Red Brigades targeted businessmen and politicians and were a notable terrorist threat in Italy during the 1970s and early 1980s. Due to developments during its existence, the Red Brigades took on some qualities of anarchist groups while still propagating its especially virulent and violent Communist philosophy. In the end, the Red Brigades' increasingly brutal attacks eroded the support of those sympathetic with the group's Communist ideals.
Current Goals: In April 1984, four of the Red Brigades' key leaders wrote a communique from their jail cells. In the open letter, the leaders proclaimed further armed combat as futile. The Red Brigades essentially ceased to exist with this letter. In their words, "The international conditions that made this struggle possible no longer exist." (Xavier Raufer, "The Red Brigades: Farewell to Arms," Studies in Conflict and Terrorism, 1993, Vol.16)
However, the legacy of the Red Brigades continues to this day. Following the release of this letter, two splinter groups broke off from the Red Brigades: the New Red Brigades/Communist Combatant Party (BR/PCC) and the Red Brigades/Union of Combatant Communists (BR/UCC). The BR/PCC specifically has chosen to continue in the ideological and violent path of the Red Brigades.
Google
 
October nitakuwa likizo(miez3) nitajitolea kutoa kozi ya ki-upelelezi bure kwa Red Brigade wiki 6.

HAKUNA KURUDI NYUMA!!
 
Kamanda wa jeshi ndiye atakayetoa mafunzo kwa vijana wa CHADEMA makambini na atasaidiwa na makamanda wawili.

Katika kile kinachothibitisha kwamba CHADEMA kimedhamiria kutekeleza uamuzi wake wa kuwapatia vijana mafunzo maalum ya ulinzi km ilivyotangazwa na mwenyekiti wake freeman mbowe, kimemteua kamanda mmoja mstaafu wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ ) kuandaa mpango wa kuwapatia mafunzo maalum vijana wake nchi nzima ili kukabiliana na CCM.

Habari za ndani ya chama hicho zimebainisha kuwa, kamanda huyo mstaafu wa JWTZ (jina tunalo) ameteuliwa na Mbowe na anatoka mkoani Arusha ambako anaelezwa amekwa msaada mkubwa kwa CHADEMA ktk ushindi wa chaguzi mbalimbali ukiwemo uliomalizika hivi karibuni wa udiwani ktk kata 26 uliomalizika hivi katibuni.

Imeelezwa kuwa kamanda huyo
ni mtu mwenye mahusiano ya karibu mno na mbowe na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema.

Mtoa habari hii amesema kuwa suala la chadema kuwapatia vijana mafunzo ktk makambi maalum mikoani haliepukiki, licha ya serikali kupitia jeshi la polisi kuonya juu ya hatua hiyo ya chadema. Bado viongozi wake wameapa kuendelea na zoezi hilo.

Source: gazeti la hoja
hojanews@yahoo.com

Hapo kwenye nyekundu naona undugunization ushaanza mapema
 
Hii ni ya Italia, hapa tunazungumzia ya CHADEMA, achana nayo hiyo, nipe ya CDM.
Mkuu nakuomba ufuatilie historia ya red brigade na matendo waliyofanya wakati wa uhai wake.si busara kulazimisha fikra na uhalisia iwe jinsi ww unataka, kuna mambo chadema inajiharibia



Terrorist Organization Profile:
Red Brigades
Mothertongue Name: Brigate Rosse (BR)
Aliases: Armed Communist Combatants, Italian Red Brigade, Red Regiments
Bases of Operation: n/a
Date Formed: 1969
Strength: Group is forcefull and killing
Classifications: Communist/Socialist
Financial Sources: Unknown
Founding Philosophy: The Red Brigades were founded on rigidly Marxist-Leninist principles. This radical leftist group advocated violence in the pursuit of class warfare. Concentrated in Italy, the Red Brigades targeted businessmen and politicians and were a notable terrorist threat in Italy during the 1970s and early 1980s. Due to developments during its existence, the Red Brigades took on some qualities of anarchist groups while still propagating its especially virulent and violent Communist philosophy. In the end, the Red Brigades' increasingly brutal attacks eroded the support of those sympathetic with the group's Communist ideals.
Current Goals: In April 1984, four of the Red Brigades' key leaders wrote a communique from their jail cells. In the open letter, the leaders proclaimed further armed combat as futile. The Red Brigades essentially ceased to exist with this letter. In their words, "The international conditions that made this struggle possible no longer exist." (Xavier Raufer, "The Red Brigades: Farewell to Arms," Studies in Conflict and Terrorism, 1993, Vol.16)
However, the legacy of the Red Brigades continues to this day. Following the release of this letter, two splinter groups broke off from the Red Brigades: the New Red Brigades/Communist Combatant Party (BR/PCC) and the Red Brigades/Union of Combatant Communists (BR/UCC). The BR/PCC specifically has chosen to continue in the ideological and violent path of the Red Brigades.
Google
 
Kamanda wa jeshi ndiye atakayetoa mafunzo kwa vijana wa CHADEMA makambini na atasaidiwa na makamanda wawili.

Katika kile kinachothibitisha kwamba CHADEMA kimedhamiria kutekeleza uamuzi wake wa kuwapatia vijana mafunzo maalum ya ulinzi km ilivyotangazwa na mwenyekiti wake freeman mbowe, kimemteua kamanda mmoja mstaafu wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ ) kuandaa mpango wa kuwapatia mafunzo maalum vijana wake nchi nzima ili kukabiliana na CCM.

Habari za ndani ya chama hicho zimebainisha kuwa, kamanda huyo mstaafu wa JWTZ (jina tunalo) ameteuliwa na Mbowe na anatoka mkoani Arusha ambako anaelezwa amekwa msaada mkubwa kwa CHADEMA ktk ushindi wa chaguzi mbalimbali ukiwemo uliomalizika hivi karibuni wa udiwani ktk kata 26 uliomalizika hivi katibuni.

Imeelezwa kuwa kamanda huyo ni mtu mwenye mahusiano ya katibu mno na mbowe na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema.

Mtoa habari hii amesema kuwa suala la chadema kuwapatia vijana mafunzo ktk makambi maalum mikoani haliepukiki, licha ya serikali kupitia jeshi la polisi kuonya juu ya hatua hiyo ya chadema. Bado viongozi wake wameapa kuendelea na zoezi hilo.

Source: gazeti la hoja
hojanews@yahoo.com

Mbona hakuna tatizo lolote, Hayo makambi ya ukakamavu ya CDM tunasuburi kwa hamu tujiunge
 
Wakuu gazeti la hoja la leo tarehe 26/7/2013 limebainisha kuwa chadema imemteua kamanda mstafu wa jeshi kuwapa mafunzo ya kijeshi vijana wa chadema. kamanda huyo ambaye anaishi mkoani Arusha ameteuliwa na mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe kwa ajili ya jukumu hilo.
Kamanda huyo yupo karibu sana na Mbowe na mbunge wa arusha mjini bwana GOdbless Lema.
kwa mujibu wa mwandishi amebainisha kuwa kamanda huyu amekuwa akitumika kwenye misheni mbalimabli za chama hicho kwa ushirikiano mkubwa wa mbowe na lema.
kwa tarifa zaidi soma HOJA la leo.

View attachment 104210

View attachment 104211

View attachment 104212Mods, Tafadhali rekebisheni hizo scanned copy za gazeti la Hoja ili ionekane vizuri
 
Mkuu, Red Brigade ni jina tu ambalo maana yake au tafsiri yake haimaanishi uhalifu kama maneno ya mwizi au gaidi uliyotumia katika mfano wako,
Unataka kusema kwa kuwa Joseph Konyi ni muuaji basi mtu yeyote atakayeitwa Joseph naye ni lazima awe muuaji?


Terrorist Organization Profile:
New Red Brigades/Communist Combatant Party
Mothertongue Name: Brigate Rosse/Partitio Comunista Combattente (BR/PCC)
Aliases: Armed Communist Combatants, New Red Brigades for the Construction of the Fighting Communist Party, Red Brigades
Bases of Operation: Italy
Date Formed: 1984
Strength: millitant
Classifications: Communist/Socialist
Financial Sources: Armed Robbery
Founding Philosophy: The New Red Brigades is a splinter group of the Red Brigades, a terrorist group active in the 1970's and early 1980's. When the Marxist-Leninist Red Brigades folded in 1984, two successor groups emerged, the New Red Brigades/Communist Combatant Party (BR-PCC) and the New Red Brigades/Union of Combatant Communists (BR-UCC). The BR/PCC has unequivocally chosen to follow the violent Communist path of the Red Brigades. Specifically, the BR-PCC is opposed to NATO and Italy's policies on labor and foreign relations.
Current Goals: The New Red Brigades continue to target high-ranking Italian businessmen and politicians. These assassinations, coupled with other bombings and attacks, are ostensibly in pursuit of class struggle. The BR-PCC also justifies these continuing attacks as blows against imperialism, specifically as it is represented within Italian economic policies and the NATO system.
In March 2002, the New Red Brigades assassinated Marco Biagi, an adviser to the Italian labor minister. Following the assassination, the New Red Brigades published a statement claiming responsibility for the killing. Notably, the statement commends the perpetrators of the September 11 attacks in the United States. In their own words, the New Red Brigades express the "need for the forging of alliances between anti-imperialistic forces and revolutionary forces in the regions of Europe, the Mediterranean, and the Middle East" (BBC News, Red Brigades admit killing).
 
Sasa hapo hakuna haja tena ya kutafuta muuji na mlipuaji wa mabomu arusha ni mbowe na lema na huyo mwanajeshi wao.
 
Back
Top Bottom