- Thread starter
- #21
mkuu betlehem habari za siku nyingi.. Mkuu umepotea sana kwenye anga hizi. Naomba usikate tamaa kuendelea kuuelimisha huu umma humu Jf maana wengi hawajielewi kama mleta mada.
Vijana waliotajwa hapa juu ndio hawajielewi,life is about choices lakini unahitaji tafakuru pana kufanya decision..
vijana hawa hawakuwa na independent thought katika maamuzi yao thus why oftentimes wazee hawaamini vijana.
Wangefanya maamuzi sahihi leo hii wangekuwa mbali either ndani au nje ya CDM,they are push over,vijana tuache papara...