Diwani Msia 2015
Member
- Dec 21, 2012
- 96
- 15
Akiwa ktk kuchangia hoja juu ya bajeti ya wizara ya nishati na madini,mbunge wa mpanda mjini na makamu mwenyekiti wa Chadema taifa amesisitiza viongozi wa serikali kutumia hekima zaidi pamoja na busara ktk kutatua migogoro baina ya serikali na wananchi.Hakika huu si wkt wa serikali ya ccm kutumia nguvu na mabavu ya dola ktk kuwanyamazisha wananchi,kwani huko ni kuongeza chuki kati ya serikali na wananchi