Mkutano wa Wapinzani Jangwani kurushwa Live na Radio na Televisheni

Status
Not open for further replies.
Viongozi wa vyama vya watetezi namaanisha CDM CUF na NCCR mkiwa na lengo moja hakika mkoloni mweusi ambaye katunyanyasa kwa miaka 50 atang'oka tu. Ningewasihi kwamba huo muungano usiishie katika kupata katiba mpya tu, ebu muungane kwa moyo mmoja kwa kuwaonea huruma watanzania, rasilimali zake kama MBUGA ZETU, MADINI KWA WINGI WAKE, GESI KWA WINGI WAKE, MAFUTA NA MABONDE MAZURI ambavyo vyote hivyo wenzetu hawajaona hata chembe ya huruma kutumia kwa ajili ya manufaa ya wazawa na badala wanawanufaisha wageni na famia zao za ukoo wa panya. Viongozi wa hivi vyama uwezo wa kuifanya TZ nchi tishio kwa uchumi hakika mnao, ondoeni tofauti kama mnavyoonesha sasa, lengo si kupata katiba halaf mnatengana, la hasha lengo ni kuikomboa hii nchi jamani. Ndugu zangu viongozi wa hivi vyama ioneeni huruma nchi hii inayokosa uongozi thabiti wa kuiboost kidogo tu na kuwa tishio kiuchumi na si kutegemea misaada ya masharti kibao. Uwezo wa kuungana mnao. LIPUMBA, MBOWE na MBATIA hebu nafsi zenu ziwasute leteni mabadiliko kwa umoja.
 
Nilitamani sana kuwepo mkutanoni lakini niko mbali na Dar. Naamini umma mkubwa wa Dar utatuwakilisha tuliyoko nje ya jiji hilo. Huo ni mwanzo mategemeo yetu mikutani jinsi hiyo itakuwa mingi na ianzie: Dodoma, Morogoro, Pwani, Tabora, Njombe na Ruvuma, maana mikoa hiyo bado vuguvugu la mageuzi halijapamba moto, ikom usingizini inahitaji kuamshwa
 
HABARI ZILIZOVUJA TOKA WHITE HOUSE
Mkuu wa Kaya atakuwa bega kwa bega katika kufuatilia mkutano wa kihistoria ktk nchi yetu na ameshawataarifu wana usalama wote kuwa wawe makini kuakikisha mkutano unafanyika kwa amani na usalama kabisa pia amewaagiza Tanesko kuakikisha umeme unakuwepo wakati wote mkutano unapoendelea.
TAHADHARI
Warusha mabomu wote na policcm leo muwe likizo maana Mkuu wa Kaya yupo pamoja na makamanda kuakikisha Katiba mpya ya watanzania inapatikana. Ole wenu policcm mkikaidi JWTZ will take over
 
itakuwa historia katika nchi yetu!!! tuungane wote tupate katiba ya wananchi
all the best wapambanaji....
 
Sitegemei jambo jipya kutoka mkutano huo,, kwani kama Wanadai katiba mbona ipo kyk mchakato? nao ndio wanao ukwamisha.
 
Sitegemei jambo jipya kutoka mkutano huo,, kwani kama Wanadai katiba mbona ipo kyk mchakato? nao ndio wanao ukwamisha.
wanawake wnaojitambua wanaweza kusimamia fikra zao. Ila wewe dada ata ukiwezeshwa huwezi na ndio maana mkaka umemaliza usichana wako hujawai ambiwa "nakupenda"
 
Muungano huu wa CHADEMA, CUF na NCCR naufananisha na mfano alionipa babu yangu nikiwa mtoto mdogo. Babu alisema nyoka kwa asili yao huwa wanapigana sana na wakati mwingine mpaka moja anakufa. Ukitokea kwa bahati mbaya nyoka huacha mara moja ugomvi wao na kukugeukia, hasira yote ya maumivu aliyonayo kila moja wao huhamishia kwako. Nyoka jinsi hiyo huwa ni hatari sana na utakuwa na bahati kama utanusurika. Wakitoka hapo ni marafiki na ugonvi wao huwa umekwisha. Lengo la muungano huu lisiishie kwenye kupata katiba mpya tu bali liendelee hadi 2015. Watanzania wengi waliokata tamaa ya maisha katika nchi hii nzuri yenye kila utajiri tuliopewa na Mungu kwa upendeleo sasa wanaanza kuona nuru fulani kwa mbali ikiwasogelea, INSHAALAH Mungu awatie nguvu viongozi wetu wa mapambambano haya hadi mwisho wa safari
 
Muungano huu wa CHADEMA, CUF na NCCR naufananisha na mfano alionipa babu yangu nikiwa mtoto mdogo. Babu alisema nyoka kwa asili yao huwa wanapigana sana na wakati mwingine mpaka moja anakufa. Ukitokea kwa bahati mbaya nyoka huacha mara moja ugomvi wao na kukugeukia, hasira yote ya maumivu aliyonayo kila moja wao huhamishia kwako. Nyoka jinsi hiyo huwa ni hatari sana na utakuwa na bahati kama utanusurika. Wakitoka hapo ni marafiki na ugonvi wao huwa umekwisha. Lengo la muungano huu lisiishie kwenye kupata katiba mpya tu bali liendelee hadi 2015. Watanzania wengi waliokata tamaa ya maisha katika nchi hii nzuri yenye kila utajiri tuliopewa na Mungu kwa upendeleo sasa wanaanza kuona nuru fulani kwa mbali ikiwasogelea, INSHAALAH Mungu awatie nguvu viongozi wetu wa mapambambano haya hadi mwisho wa safari

Pamoja kamanda
 
Pamoja sana!mwisho wa yote nguvu ya umma itashinda.wana JF mtakaokuwepo jangwani tunawategemea kwa updates!huku nilipo umeme umekatwa tangu asubuhi,sina hakika kama utarejea.
 
Naipongeza IPP MEDIA, hawana ubaguzi wala uchaguzi wa habari, zote zenye maslah.ya umma wanazirusha tuu
 
Sitegemei jambo jipya kutoka mkutano huo,, kwani kama Wanadai katiba mbona ipo kyk mchakato? nao ndio wanao ukwamisha.

...ukishabinafsisha akili yako kwenye madawa ya kulevya unakuwa zezeta,unapoteza uwezo wako wote wa kutambua,mwanga utauona giza,nyeupe utaiona nyeusi,mazuri utayaona ni mabaya na mabaya kwako yanakuwa mazuri...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom