Diwani Msia 2015
Member
- Dec 21, 2012
- 96
- 15
UCHAGUZI WA BAVICHA TAIFA.....
HII NI KWA WANACHADEMA TU NA WAPENDA MABADILIKO YA KWELI YA NCHI YETU...
Kuelekea uchaguzi wa BAVICHA taifa wa mwaka huu......
Je, ni nani atatufaa kwa nafasi ya uenyekiti na ukatibu kati ya hawa?...
1.PHILIP MWAKIBINGA - Ni mwanachadema pekee ambaye amewahi kuwa
- waziri wa mikopo wa serikali ya wanafunzi na kinara wa mgomo wa kudai elimu kwa vitendo yaani (Field Practical Training),
- Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDOM.
- Rais wa chuo cha UDOM...
- Mwenyekiti wa CHADEMA UDOM...
2.BEN WA SAANANE...Ni mwanachadema ambaye ni mwanauchumi na mtaalamu wa siasa za kimataifa...
3. MOHAMED MTOI...Ni kamanda mpiganaji ambaye ana taaluma nzuri na amekuwa kiongozi wa chama kama Afisa mwandamizi idara ya uratibu wa kanda..
Maoni yako tafadhali......
HII NI KWA WANACHADEMA TU NA WAPENDA MABADILIKO YA KWELI YA NCHI YETU...
Kuelekea uchaguzi wa BAVICHA taifa wa mwaka huu......
Je, ni nani atatufaa kwa nafasi ya uenyekiti na ukatibu kati ya hawa?...
1.PHILIP MWAKIBINGA - Ni mwanachadema pekee ambaye amewahi kuwa
- waziri wa mikopo wa serikali ya wanafunzi na kinara wa mgomo wa kudai elimu kwa vitendo yaani (Field Practical Training),
- Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDOM.
- Rais wa chuo cha UDOM...
- Mwenyekiti wa CHADEMA UDOM...
2.BEN WA SAANANE...Ni mwanachadema ambaye ni mwanauchumi na mtaalamu wa siasa za kimataifa...
3. MOHAMED MTOI...Ni kamanda mpiganaji ambaye ana taaluma nzuri na amekuwa kiongozi wa chama kama Afisa mwandamizi idara ya uratibu wa kanda..
Maoni yako tafadhali......