Friends and our Enemies...
Nahapa ninamnukuu Askofu Gwajima.
''Siyo kwamba Makonda/Bashite hafai kwenye kila kitu la hasha, Makonda au Bashite ana vitu vizuri, ana ule uthubutu au udiriki ambao ni jambo zuri.
Lakini hajawa mature enough kuweza kusimamia mambo ya utawala, kama Mkuu wa Mkoa...
Seems kuondolewa kwenye Uenezi hajaridhika nako,analia na demotion aliyopewa,he's unfit even Kwa kuwa kiongozi wa nyumba kumi kumi sembuse ukuu wa MKOA?
Bashite, mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wake haraka sana, kwenye kiapo wanakiri na kuahidi kutotoa Siri zozote wanazozijua HADHARANI Kwa maslahi ya TAIFA,au labda Kwa idhini ya Rais,Sasa either ana ruhusa ya Rais katika KUTAMKA huo upuuzi wake au kama Hana basi hiyo nafasi haimstahiki...
Askofu Gwajima alishatoa laana Kwa Bashite since longtime ago,nashawishika kuamini kuwa ile laana ya Gwajima Bado imeshika hatamu,kila anapogusa Bashite panageuka uchuro kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.