Nimewakumbuka tu huko mliko jamaa zangu wa miaka ile, Uwanja wa MMU umekuwa mpana sana, siku nazo zimekwenda alhamdulillah. Anyway ni salaam tu kwenu nyote; MwanajamiiOne, Dark City, nyumba kubwa, Nyamayao, The Boss, The Finest, bht, Gaga, Kaunga, Asprin, Maty, King'asti, na wengineo weeeeengi...
DETAILS:-
Kiwanja kipo madale kwa kawawa,Unaingilia Tegeta Kibaoni, ni umbali wa kilomita zisizo pungua 7KM toka barabarani mpka kiwanja kilipo, kuna makazi ya watu tayari huko wamejenga tu, kiwanja kina nyaraka za Serikali za Mitaa hakina Shida kabisa.
Gari la aina yoyote linafika mpaka hapo...
"everything that God made valuable in the world is covered and hard to get to. Where do you find diamonds? Deep down in the ground, covered and protected. Where do you find pearls? Deep down at the bottom of the ocean, covered up and protected in a beautiful shell. Where do you find gold? Way...
…...
Hebu leo tujadiliane Usongo wa Mawazo katika MMU. Tangu zamani pamekuwepo na matukio ya Mauaji ya kimapenzi, ama kusikia Mwanaume au Mwanamke amejiua kutokana na "wivu" wa kimapenzi.
Watu hawa ni sawa na mimi na wewe katika maisha ya kila siku, mpaka linapotokea tukio ndipo...
....hivi, hebu nyie watu wazima wenzangu incl Dark City, @ nyumba kubwa, Lizzy, Mr Rocky, Nyamayao,..... Mniambie hii kitu kwenye ndoa, Mume/mke anakuwa;
-hapendi mwenza wake akisifiwa,
-hapendi mafanikio ya mwenza wake
Kikazi
-hapendi mafanikio ya mwenza wake kimaisha, nk nk..
Yaani...
.... Mbu na swaum hii, wallah nimejiskia ku dedicate wimbo huu, kuenzi kumbukumbu nyingi na tamu tamu tulizojaaliwa ku share....
It is for you luv..... xoxox
"If I Could Turn Back The Hands Of Time"
How did I ever let you slip away Never knowing I'd be singing this song some day And now I'm...
"....Na kununa ni gonjwa baya sana tena la kijinga"- TIMING
Je? nawe ni "mnunaji sugu"katika mahusiano yako? yanakunufaisha nini?
au, katika mahusiano yako unapambana vipi na kaadhia hii ya "kununiwa?"
....unless hutaki ku fit in kwenye ndoa yako,....otherwise, unapoingia kwenye relationship jiandae pia kukabiliana na ;
Anxiety disorders,
Panic attacks,
Erectile dysinfunctional,
Tension headache,
Alcoholism,
Stress,
Being anorexic/obese,
Bipolar disorder,
Posttraumatic stress...
...ni wakati gani? katika mapenzi ulipo thubutu na kujiaminisha 99.9% 'nanihii...' wako... er..I mean - (incl. ex-wife/husband, current spouse, widow, etc) alistahiki "HASWA" kuoana na wewe!
Angalizo;...nalenga mdahalo huu kwenye "matakwa na uchaguzi wako" uliyojitoshelezea wapi mpaka ukaona...
.....:screwy: .....hivi, unapokuwa unamdanganya mtu, bila 'woga' kwamba ANAJUA unamdanganya, ...kusudio lako huwa nini?
.....mimi bado sina tafsiri sahihi juu ya hili zaidi ya 'madharau' katika mapenzi. Au wewe waonaje? Mbu is only thinking ALOUD ....:what:
Nipeni maoni yenu waungwana...
...hivi, ghafla bin vuu mwenzio anashikwa na dege dege kisha 'anakaukia' kwenye ma-au-nanihii yako...hivi utapiga kelele au 'unakufa' na tai yako shingoni?
Dont ask! ...I don't do 'these' Experiments at home or away aisee...
.....d'u belive hiyo makitu hapo juu?....
Unaipa/ unayapa nafasi gani katika maamuzi ya matendo yako?
Hebu tubadilishane mawazo aisee...
Huenda nazeeka vibaya, au sijui ndio mid life crisis....lakini
miaka ya hivi karibuni nimejikuta najali zaidi hisia zangu kwanza,
kisha matakwa ya huyu...
.jpg"]...nisaidieni mawazo wanandugu.
Baina ya kipato na familia kwa mtazamo wako, kipi unakipa uzito mkubwa kuliko kingine?...
...kabla wenye muono 'tofauti' hamjanitoa jicho, kipato namaanisha
kazi yenye kipato kikubwa inayonilazimu nikae mbali na familia kiasi cha
kuonana nao wakati wa...
...enjoy the vid guys, kuna kipande hawa jamaa wa tofu tofu dance wenye asili ya msumbiji
anamuuliza Beyonce, "...and who are you?!" hillarious....big up tofu tofu dance, inspirational behind
Who Runs The World/Girls...
...tangu mchipuko wa mitandao ya jamii kuibuka sambamba na teknolojia ya huduma ya internet kupatikana kwenye simu za mikononi, binafsi nishahadithiwa, kusoma na kujionea mipasuko ya ki mahusiano, mapenzi, urafiki na hata ndoa kutokana matumizi yasiyo sahihi ya mitandao hii.
...na hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.