ujasiri anaomaanisha wanautamaduni wa kutahiri vijana bila ganzi na wanatumia kisu na ukilia tu ni kesi.huo ndio ujasiri aliomaanisha.sio hii ya kutahiri vichanga hosp na ganzi
kama aliweza kusafiri hadi SA kuipata hiyo elimu.wewe kusafiri tu kuja Dar kuipata hiyo elimu unaona shida na training yenyewe tena bado unaipata for free.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.