Panasonic tough book ,Mashine ya kazi mjapan original ,
Ram -4gb
Rom- -500gb
CPU -2.5ghz
Battery [emoji367]- 7+ hours
Nina shida ya hela
Bei : 250000
Contact: 0710660264
Ayshire
Amezaa Mara mbili
Mimba - miezi 4
Production - Lita 15-20 ( akiwa amezaa ) ng'ombe mzuri sana wa maziwa .
Yupo Dar , ada ya chuo inaitajika haraka
Njoo na daktar wako amkague na kupima mimba
1,900,000
0738235678 piga simu kwa mawasiliano
Wakuu habar , Mimi Nina simu niliagizaga nje , sasa hii simu imekufa battery now , na battery zake ni zile non removable ... Ukiangalia gharama ya kuagiza battery ni expensive kuliko kununua simu mpya . Nimezunguk kariakoo sana nmekosa battery yake . Kuna mtu akanshauri nkachonge battery , asa...
Habari wakuu
Nina smartphone ya kichina blackview a8 ,iko rooted, Jana nkawa na update system lkn baada ya muda ikaniambia error.. .nkatoa battery , nlivyokua naiwasha ikawa inaishia katikati kwenye booting logo then inastuck .... Nkaona ngoja nijaribu kuiflash , nkaangalia YouTube, nkawa...
Habar wana jamii , nilikua naomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya waliohairisha mwaka .... Mimi nmesoma PCB na nmemalza form six mwaka 2015... Then nikasafirig , nlivyorud nkakuta watu walishaapplygi na adi washapangiwa vyuo ..... Na vyuo vya afya vikawa vimeshajaa kwa ule mda , asa kuna...
wakuu habari zenu ..... Nina ndugu yangu kamaliza form six , mwaka Jana kapangiwa MD Chuo cha st Joseph boko , coz Chuo n kipya na ndo kinachukua MD mwka WA kwanza ..akashauriwa afanye gap year aende Chuo mwakan ili asiwe chambo .......soo alikua anaulizia mashirika yoyote ambayo anaweza...
Wadau habari zenu, mimi nina shida moja napenda kuangalia mpira, shida ni kujua kingamuzi gani cha bei nafuu nijiunge ili niweze kupata Chanel nzuri za mpira na movie tofauti na dstv au cable gan nzuri nijiunge kwa Tabata, Dar es salaam. .....
Asanteni jamani
Habari zenu jaman nilikuwa naomba msaada kuhusu memory card yangu.....
Ni mpya nimenunua 8 GB..firstly ilikuwa nikiweka kwenye simu inaandika memory card damaged try to format it....
Baada ya kuiformat kwenye computer salsa inasoma kwenye simu sema haipokei kitu chochote either Bluetooth or...
wana jamii ili tatizo limetokea ghafla, simu yangu ilikuwa inafanya kaz vizur huku ikisoma memory!
kuna saa nka irestart baada ya kuwaka ikaniindikia SD CARD BLANK OR HAS UNSUPPORTED FILE SYSTEM!
Toka hapo, haijaisoma tena, af ukienda kwny nymbo list yote hipo lakini haziimbi
ukiweka memory...
Aisee nilikuwa naomba msaada wa njia rahisi wa kupata blackmart alpha inayo function ukweli coz nyingi kwenye Google ni fake, mara azi download, cjui imecrash, mambo mengi kweli...
Kwahiyo naombeni msaada wana kijiwe wenzangu
Aisee nlikuwa nauliza application gani inaweza nisaidia ili kujaza form nliyodownload (PDF ) kwenye android! Kama unajua na link ya kuidownload naiombeni.naombeni mnisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.