Gozaka
Member
- Aug 29, 2012
- 58
- 28
Habari zenu jaman nilikuwa naomba msaada kuhusu memory card yangu.....
Ni mpya nimenunua 8 GB..firstly ilikuwa nikiweka kwenye simu inaandika memory card damaged try to format it....
Baada ya kuiformat kwenye computer salsa inasoma kwenye simu sema haipokei kitu chochote either Bluetooth or download , lakini nkiiweka kwenye computer inafanya kazi fresh unaweza kuamishia nyimbo afu zikaimba but ukiitoa ukiiweka kwenye simu nyimbo zote haziimbi...
ASA sijui tatizo lake mini salsa , ni mpya.....simu s4...
Asanteni
Ni mpya nimenunua 8 GB..firstly ilikuwa nikiweka kwenye simu inaandika memory card damaged try to format it....
Baada ya kuiformat kwenye computer salsa inasoma kwenye simu sema haipokei kitu chochote either Bluetooth or download , lakini nkiiweka kwenye computer inafanya kazi fresh unaweza kuamishia nyimbo afu zikaimba but ukiitoa ukiiweka kwenye simu nyimbo zote haziimbi...
ASA sijui tatizo lake mini salsa , ni mpya.....simu s4...
Asanteni