Hata mimi nashangaa kwa iyo bei, ni ndogo sana. Unao kama hao mia nije niwasombe?!Mbona Bei iko chini , sisi tulimnunua 2500000 akiwa mtamba bado kumsafirisha kutoka mkoani
Kumbe ni hivyo mkuu, Dah imeniuma sana. Nimeghairi sitaki kumnunua tena nakupa million 3 kiroho safi lakini kwa sharti moja huyo Ng'ombe usimuuze ubaki naye tu.Walikua wawili wanauzwa kwa ajil ya ada za madogo , mmoja kanunuliwa na masister wa Marian boys . Kabakia huyo