Search results

  1. samilakadunda

    Nawaaalimu waugwana, naomba mwenye program ya video converter

    Wapendwa natakaa kuconvert video iliziweze kuomekana kwenye tv na radio maana nikiweka kwenye tv napata ujumbe not supported. Natanguliza shukrani. Na heri ya mwaka mpya 2022
  2. samilakadunda

    Naomba kujuzwa taratibu za uuzaji wa mali za umma zikizobaki katika ujenzi

    Naomba msaada Sheri ya manunuzi inasemaje endapo, ikiwa vifaa kama nondo, bati etc vimebaki, jee vinaruhusiwa kuuzwa? Kama ndio kwautaratibu gani?
  3. samilakadunda

    Kijana wangu wa kazi amempa mimba dada wa kazi, ndugu wa dada wamempeleka Polisi kijana

    Wapendwa naomba kujua kosa linaloweza mtia hatiani kijana huyu, kijana wangu wa kazi amempa mimba binti wa jirani, ndugu wamempeleka Dawati la jinsia na kumpeleka Polisi, wakidai kosa ni kukataa mimba na Polisi wamemweka maabusu, swali kumpa mimba mtu mzima mwenzako nikosa kisheria? Na kama...
  4. samilakadunda

    Masaada tatizo la mwili kupiga shoti

    Nawasalimu wadau, naomba ushauri ndugu yangu anateswa na hali ya kupigwa shoti mwili Mzima, hali hiyo hutokea kama sekunde 30 , baada ya hapo unakuwa na hali ya kusikia kizunguzungu na kichwa kuuma sana, Naomba msaada wa matibabu na ushauri.
  5. samilakadunda

    Nahitaji Vifaranga wa mayai (layers)

    Wadau wenzangu na wafugaji, nahitaji viranga wa mayai, nawafuata mahalipopote, nipo morogoro, mahitaji yangu ni Vifaranga 1000 tu. Asanteni.
  6. samilakadunda

    Naomba kufahamishwa juu ya I phone 5 na sum unsung A8.

    Wapendwa kwa wale wa juzi wa simu na kwa waliotumia hizi simu, naomba mnifahamishe ,uimara ,utunzaji wa chaji, uwezo wake kiufanisi , nisimu IPI naweza kuifurahia katika kuitumia. Nawasalimu wote na nawatakia heri na mwaka mpya 2018.
  7. samilakadunda

    Msaada wa kubadili difu ya Noah

    Wataalamu naomba msaada wa kujua ni ainagani ya Gari difu yake unaweza ingiliana na Noah old model? Maana nilichojifunza difu Noah nitatizo linalotusumbua wengi ukilinganisha na magari mengine. Nawasilisha
  8. samilakadunda

    Kutetemeka kwa usukani Gari ikifika 75 -85km/h Noah

    Wapendwa naomba msaada ,ninagari Noah nikifika speed 75-85 usukani unatetemeka sana hadi dashboard inatikisika nikifika 85 above inatulia ,nimepeleka kwa fundi amecheck bolljoints, like hands Na bush zote zipo safi , natakarudisha tena Leo kwa fundi, naomba ushauri wenu manaa bavurugwa hatafundi...
  9. samilakadunda

    Gia kutobadilika ipo P , inashuka tu Gari Noah

    Wakuu , habari ya usiku huu, naomba ushauri kabla sijaenda kwa fundi , nimeipaki mahala nilipojaribu kuitoa gia liva kutoka P kwenda drive D gia liva ikawa inashuka tu mojakwa moja bila kubadili gia , naombeni ushauri wenu nini laweza kuwa tatizo. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. samilakadunda

    Msaada wa kuupdate window 7,

    Wataalamu bisaidieni laptop window 7, imebadirika rangi na kuwa nyeusi, naomba msaada wa kuirudisha katika haliya awali,. Happy valentine jf members
  11. samilakadunda

    Tofauti ya shockups za magarii

    Wadau naomba kujuzwa , nini tofauti ya shockups za magari?, nikiendesha noah townws nikipita kwenye barabara ya vumbi yenye rasta, ( pambs) gari inatikisika hadii inahama njia, wakati nikichukua gari nyingine napita kanakwamba hakuna rasta, nini shida ya hii garii ? Ni aina ya shockups...
  12. samilakadunda

    Msaada indicator ya gari ABS imewaka

    Naomba ufafanuzi wa taa ya ABS Imewaka hata sijui gari ina shida gani. Nimejaribu kugoogle nimepata maelekezo ila nahitaji msaada wa watalaamu zaidi. Nini madhara ya kuendesha gari taa ikiwa inawaka?
  13. samilakadunda

    Naweza kutoa maumivu ya mwili popo ulipo .

    Wanajamvi ni vema kusaidia endapo kama Kati yetu anauwezo wakusaidia mwingine. Mimi nauwezo wakutoa maumivu ya sehemu mbalimbali ya mwili pasipokujali umbali uliopo ndani ya dakika 5-10. Chakufanya Kama kweli ubaumwa nikuni PM nikuniambia japo jinalako hatakama lautotoni, mimi nitakupa mdaa huo...
  14. samilakadunda

    msaada wa kupata phone cable.

    jamani waadau naomba msaada wa kupata, cable ya simu ambayo ninaweza kuunganisha au kuchomeka kwenye simu Na upande wapili wa cable unakuwa na port yakuchomeka flash,kwanamna nyingine naweza kusoma data zakwenye flash kwenye simu.kwakutumia cable hiyo.
  15. samilakadunda

    msaada juu ya channel 10

    ni mwezi wa 4 toka hii channel, kutoonekana na tumia dish la ft 6, msaada jamani.
  16. samilakadunda

    Naomba kwa mwenye program ya HP Deskjet 3070A printer

    Wadau habari! Naomba msaada kwa yeyote mwenye program ya HP Deskjet 3070A printer, kwani cd yake imevunjika na nimeformat laptop yangu.
  17. samilakadunda

    Mwanangu ana umri wa miezi 9, hamtaki mamayake kabisa

    Wadau naomba kuuliza, Inawezekanaje mtoto wa umri wa miezi 9 kumkataa mamaake kabisa, wakitazamana anageukia kwingene na kuanza kulia. kimnyonyesha basi mimi nikae jirani na anishke kidole. Nikitaka kuondoa anaacha kunyonya na anakuja kwangu haraka.Mamayake amekosa raha kabisa. Nini yaweza...
  18. samilakadunda

    Naomba elimishwa juu ya tochi za trafic

    Nawasalimu wadau, naomba kuuliza, juzi nilisimamishwa na trafic nikaambiwa nimeoverspeed kilometa 2 toka walipo na barabara ina kona na milima, nilipo wauliza wapi, jibu umepigwa touch kwa nyuma na niliokotoka hakuna trafic, nilipigwa butwaa, naomba wajuzi wanielimishe imekaaje hii? Nawasilisha
  19. samilakadunda

    Naomba kufahamu gharama za kubadili sightmirrow kwenye Noah

    Nimevunja sightmirrow / sidemirrow asubuhi ya leo, gari noah town nilitaka kujua bei yake nishilingi ngapi? nipo morogoro.asubuhi njema
  20. samilakadunda

    Mwanasiasa gani jasiri, hodari, makini na mzalendo 2010~2015?

    wadau ikiwa takribani saa 5:15 alfajiri, nimekuwa nikitafakari juu ya viongozi wetu tuliowapa dhamana ya kutusemea, kututetea na kutuwakilisha sisi wananchi pasipokujali itikadi za vyama, je wewe unadhani ni yupi au nani amelitendea haki na uzalendo nchi hii?? nawasalimu wote.
Back
Top Bottom