Nahitaji Vifaranga wa mayai (layers)

Nahitaji Vifaranga wa mayai (layers)

samilakadunda

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
1,780
Reaction score
360
Wadau wenzangu na wafugaji, nahitaji viranga wa mayai, nawafuata mahalipopote, nipo morogoro, mahitaji yangu ni Vifaranga 1000 tu. Asanteni.
 
Duh, Dar wamekua adimu Sana Sana aiseee. Nenda Tazara pale Kwa Dsm Ila nasikia inachukua Muda Sana
 
Duh, Dar wamekua adimu Sana Sana aiseee. Nenda Tazara pale Kwa Dsm Ila nasikia inachukua Muda Sana

Niliagiza hukoo miezi 5 iliyopita jana nimerudishiwa pesa, kwamba hakuna vifaranga
 
Kwakweli mkuu yaani sisi wa Tz tutachelewa sana kufika tutakako
 
Wadau wenzangu na wafugaji, nahitaji viranga wa mayai, nawafuata mahalipopote, nipo morogoro, mahitaji yangu ni Vifaranga 1000 tu. Asanteni.
Niambie wa umri gan nikuletee mimi!?.
Napatikana mbeya
 
Niambie wa umri gan nikuletee mimi!?.
Napatikana mbeya
Sawa mbeya wanatoka wapi Malawi au? Wale wa Malawi no pasua kichwa , unachukua 500 wanapona 200 , huwa wanajuaa na vimelea kidogo, asante kwa kujali
 
Sawa mbeya wanatoka wapi Malawi au? Wale wa Malawi no pasua kichwa , unachukua 500 wanapona 200 , huwa wanajuaa na vimelea kidogo, asante kwa kujali
Nani kakuambia wa Malawi?.
By the way kama ulikuwa unalijua hilo si ungesema kweny tangazo lako nataka hili na sitaki lile?. Ok kila laheri mkuu
 
Nani kakuambia wa Malawi?.
By the way kama ulikuwa unalijua hilo si ungesema kweny tangazo lako nataka hili na sitaki lile?. Ok kila laheri mkuu
Samahani kama nimekukwaza mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom