Search results

  1. L

    Kwa watumiaji wa Honda Fit

    Wanaotumia honda Fit, naomba mniulize chochote tushirikishane uzoefu. Watu wengi wamekuwa wakiharibiwa magari yao kwa sababu tu ya kukosa uzoefu Kuhusu Honda Fit Asante
  2. L

    Car diagnosis-Naomba ufafanuzi wa OBDII readings Tafadhali

    Tafadhali Wataalamu, naombeni mnisaidie ufafanuzi
  3. L

    Honda Fit inatoa mlio wa gu gu guuuu kwenye vishimo hata kwenye mwendo mdogo,

    Habari Wadau, Gari yangu ni Honda fit inatoa mlio wa gu gu guuuu ( non metal clucking) mguu wa mbele kulia hata kwenye speed ndogo kwenye barabara yenye vishimo shimo. Nimebadisha Shocks zote na Stabilizer links zote na kufanya ukaguzi wa kina stabilizer bushes na ball joints zote zikaonekana...
  4. L

    Msaada: Gari yangu inashtuka napoachia accelerator na napokanyaga

    Habari Gari inapokuwa kwenye mwendo nikaachia accelerator bila kufunga brake halafu nikikanyaga tena gari inastuka. tatizo ni nini. hali hyo haionekani ikiwa gari inaanzia kwenye kusimama. Asante
  5. L

    Tanzania ya Viwanda Inawezekana. Tukaze Kamba

    Katika Kuunga mkono Kauli ya Raisi Wetu Mpendwa, Watanzania TukazeKamba Tuanzishe Viwanda vyetu. Kwa Juhudi ndogo niliyofanya nimeona kuwa kumbe TANZANIA YA VIWANDA INAWEZEKANA.
Back
Top Bottom