Search results

  1. K

    Simu inakata stimu!

    jaman network searchng....., available, searchn............., jaman wanawake wafanyabiashara ni balaa tupu! Simu haizimwi,nimechoka naye, ugomv wetu ni cmu, uko uwanjan hajal ni kona, goalkick, au ...yeye utackia kesho utawah folen ya sukari?, viroba leta nane!,jaman inatisha, ugomvi unaanza...
  2. K

    Natafuta marafiki......

    Natafuta marafiki nitakaokuwa nao kila kukicha kunipa story ili nisahau yafuatayo kichwan mwangu, Umasikini ulikithiri kijijin kwetu, ukosefu wa umeme, barabara na huduma za afya. Kila mwka natumia milion kadhaa kuwaleta town kwa matibabu ndugu, anayekuja hataki ondoka,akidai huku kwetu hakuna...
  3. K

    Kiwanja kinauzwa/30mx35m/

    kiwanja kipo eneo zuri mtaa wa matosa. Mbez mwisho dsm, mita chache kutoka shule ya msing Goba. Bei ni 10mil, kama uko serious PM me.
  4. K

    Mende azua tafrani!!

    karibu mezani, mende watamu wamekaangwa safi, kwa ugali wa Mwarobaini!
  5. K

    Live: Mdahalo juu ya sakata la uda startv

    Robert Kisena, anaelezea procedures walizopitia kununua hisa 52 za udA . Anasema ana docs zote,kwamba hawakufanya kosa lolote la kisheria za manunuz. Anang'aka sana!
  6. K

    Zaidi ya wakimbiz 162,000 wapewa uraia

    Wana Jf, jaman hii imekaeje?, mwenye inputs alete hapa. Tuelewe nin serikali yetu tukutu imefanya kuhusu hawa rafiki zetu. NAWASILISHA!
  7. K

    Hati za kumiliki ardhi za kimila

    wanaJF, hv utoaji wa hati za kumiliki ardh vijijin /wenyewe wanaita hati za kimila/ zinatolewaje? Ni mikoa gan? wilaya zake, vijiji gan vilivyopo kwenye mpango huo wa serikali yetu ya magamba? JE PWAN KUNA HILO?
  8. K

    Kisa!

    Jetu na mume wake walipendana sana, walipenda kucheka,kucheza na kufanya kila aina ya mbwembwe ili mradi tu kila 1 anadhihlisha uwepo wake kwa mwenzake, Jetu baada ya muda alipata mimba,akajifungua mtoto, baada ya muda mumewe alinotice kupngua kwa mapenz kutoka kwa mkew, ya kwamba jetu...
  9. K

    KipakaMwitu nayeya!!!

    wanaJF naitwa KipakaMwitu Napenda kujiintroduce kwenu,napenda sana forum ya uchumi na mabiziness, napenda jokes na malovee section! Natembelea tembelea maeneo ya habari mkorogo!,na kutia nanga maeneo ya kimataifaf. Nataka mnipe demu humu ndan kwan mapene c tatizo, nampenda SweetLady yuko single...
Back
Top Bottom