SI KWELI Threads

  • Article Article
Mara nyingi nikiwa na stress na kupelekea kukosa usingizi, huwa navuta sigara ili kupunguza stress hizo. Hata iwe usiku wa manane nitajitahidi niende kwenye Club zinazokesha nikafuate sigara...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
  • Article Article
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
  • Article Article
Nimeona picha inasambaa mtandaoni ikimuonesha mwenyekiti wa Tume Huru ya uchaguzi na Mipaka ya kenya, Wafula Chebukati akiwa anaumwa, na maelezo mengine yanadai amesafirishwa kwenda Ujerumani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari, Nimeona tangazo Mtandaoni linadaiwa kutolewa na NEC, kwamba wametangaza nafasi za kazi ya uandishi wa daftari la kudumu la wapiga kura Mwaka 2024. Kinachonipa wasiwasi naona kama tovuti...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari JamiiCheck, Mimi ni mjamzito, nimekuwa nasikia kuwa ulaji wa pilipili wakati wa Ujauzito kunafanya mtoto kuzaliwa na macho mekundu. Nisaidieni kuhakiki hii maana napenda sana kula...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
  • Article Article
Nimeona barua inasambaa Mtandaoni ikisema NECTA inaratibu zoezi la Kurekebisha Makosa ya majina kwenye vyeti vya Mwaka 2000-2023 kwa Malipo. Barua hii inanipa mashaka sana, JamiiCheck nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Article Article
Heparin
SI KWELI 
Habari, Ninanukuu kutoka kwenye meseji iiyotummwa kwenye kundi moja la Telegram ambalo mimi pia nimo. Huku mitaani kuna taarifa kuwa kuwa uvunaji wa damu unaifanyika maeneo mbalimbali nchi huwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Wakuu, Nimekuja na swali hili baada ya jamaa mmoja kusema jambo hili sio la kweli, lakini mimi pia nimeshawahi sikia hii, bi mkubwa alituhadisia kuna ndugu yao mmoja aling'atwa na mbwa mwishowe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Heparin
SI KWELI 
Nimeona Mwamba wa Lusaka amewaaga mashabiki wa Simba kuwa anaondoka. Nimesikitika sana, kwaheri Clatous Chama.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Hii nimekutana nayo kwenye mitandao ya kijamii kuwa Serikali nchini Senegal inaachana na lugha ya Kifaransa ambayo ilikuwa lugha rasmi na sasa itatumia Kiarabu kama lugha rasmi ya shughuli za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Salaam, Nimesikia mtaani wanawake wanaambiana kuwa Kunywa maji ya Baridi wakati wa Ujauzito husababisha kupata mtoto mwenye matatizo ya kifua. Nimeogopa kidogo maana mdogo wangu ana mimba na...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
  • Article Article
Wakuu, Nimekutana na Picha inayosambaa Mtandaoni imeniogopesha sana. Ni mawingu yenye mwonekano wa Yesu, ama kweli siku za mwisho zimefika.
2 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari Jamiichek Kwa muda sasa katika Jamii yetu ya Kiswahili kumekuwa na hii nadharia kwamba mwanaume akitumia pombe Kali Aina ya konyagi au k vant halafu akaenda kufanya mapenzi, hutumia muda...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
  • Article Article
Tujihadhari na Vidonge feki vinavyotoka nje ya nchi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Article Article
Mzee Mwinyi alijiuzulu Uwaziri Mambo ya Ndani mwaka 1977 na Nafasi yake kuchukuliwa na Mzee Natepe. Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri Mzee Mwinyi kutoka katika nyumba ya Waziri arudi...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
  • Article Article
Dady6
SI KWELI 
Habari wakuu naomba uthibitisho wa hii barua kwa mwenye dondoo za kampuni ya pepsi maana imekaa kaa kitapeli.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Article Article
Wakuu mko salama? Nimekuwa nikisia stori nyingi kuhusu nanasi, kuwa ukila unafanya uke kuwa na harufu nzuri, wengine wanasema unaongeza "ladha", yaani ute/maji maji yanakuwa na utamu kama vile...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Heparin
SI KWELI 
Wakuu, Nimekutana na taarifa imepostiwa na Times FM ikiwa na maneno yanayodaiwa kutamkwa na Kiongozi Mkuu wa Korea Kaskazini Kim kuwa anashangaa jinsi wazungu walivyofaulu kuwaaminisha Waafrika...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Katika mitandao ya kijamii nimeona video inayohusishwa na Rais Mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, akikemea Ufaransa kuwa ni wakati wa kuondoka bara la Afrika. Video hiyo inamuonesha Rais...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Article Article
Analog
SI KWELI 
Kumekuwa na dhana ya kwamba ukijikata na jeraha kuanza kutoka damu basi ukipulizia Pafyumu damu inakataa na kidonda kukauka. Je, kuna uhalisia wowote? Na kwa upande mwengine kuna madhara yeyote...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom