Responded Threads

Black Butterfly
DOKEZO Responded 
Naenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Kuna vitu vinafanywa na Serikali vinakera sana. Mfano. TMA walitangaza zaidi ya miezi miwili nyuma kwamba kutakuwa na Mvua kubwa za e El Nino ambazo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Midimay
DOKEZO Responded 
Habari za mchana wana JF. Hali ya sintofahamu imeendelea kwa siku mbili sasa katika kijiji cha Handa kilichopo katika Wilaya ya Chemba mkoa wa Dodoma karibu na mpaka na Wilaya ya Ikungi ambayo...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Abdul-Aziz Carter
DOKEZO Responded 
Naitwa Abdul-Aziz Carter Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM): Octoba 20,2023 Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya mikopo (HESLB) Abdul-Razaq Badru aliishukuru serikali kwa kutenga Bilioni...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Brain Kingdom
KERO Responded 
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana. Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
SHANTI
KERO Responded 
Nimefuatilia maamuzi ya waziri Mkenda kwa wakuu wa shule na walimu waliohusika kwenye kucheza wimbo wa zuchu Binafsi naona maamuzi ya Waziri Mkenda ni ya kukurupuka na hofu ya kutenguliwa nyadhifa...
10 Reactions
60 Replies
19K Views
Miss Zomboko
KERO Responded 
Ujenzi wa reli hii ya kisasa kwa awamu ya kwanza kati ya Dar es salaam - Morogoro (Km 300), ulizinduliwa na Rais wa awamu ya tano, John Pombe Magufuli Aprili 12, 2017. Ilielezwa ujenzi wa mradi...
10 Reactions
23 Replies
4K Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Mfamasia Neema J. Nagu kutoka Wizara ya Afya anasema kuna dawa za aina mbili zinazouzwa kwenye Duka la Dawa, zipo ambazo hazitolewi bila cheti kama Panadol na zile za mafua na nyinginezo. Anasema...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Miss Zomboko
DOKEZO Responded 
Nchi kuwa na Ofisi au Kitengo cha Umma Cha msaada wa Sheria (Public Pro Bono Office/ Department) ni muhimu ili kuhakikisha Upatikanaji sawa wa Haki. Ofisi ya kutoa msaada wa Kisheria (Pro Bono...
2 Reactions
1 Replies
627 Views
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto. Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la...
17 Reactions
126 Replies
11K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo...
12 Reactions
49 Replies
4K Views
Roving Journalist
DOKEZO Responded 
TAARIFA YA KUSUDIO LA KUPUNGUZA WAFANYAKAZI (BAADHI) TAREHE 16/10/2023 KWA: VAPI MERKEZI INSAAT VE SANAYI AS TABORA MAKUTOPORA Rejea kichwa cha habari hapo juu Baada ya kufikiria kwa uangalifu...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera...
15 Reactions
97 Replies
9K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Sisi watumishi ajira mpya kutoka maeneo tofauti tumeshirikiana kuandika andiko hili kuhusu malipo ya fedha za kujikimu ambayo yamekuwa kizungumkuti kwetu, lengo ni mamlaka zipate kujua...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
JimmyKB
DOKEZO Responded 
Habari wana JF? Niende moja kwa moja kwenye mada. Kumekuwa na upigaji katika mradi wa maji mtaa wa Miwale kata ya Pangani wilaya ya Kibaha Mjini mkoa wa Pwani ambapo miaka kama minne iliyopita...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Nina malalamiko yangu kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET). Kuna watu tupo wengi tuliomba tubadilishiwe matokeo ya Chuo kwa makosa ya kibinadamu katika...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kwenye mradi wa SGR huku tunapojenga Reli ya Mwendokasi, hadi kufikia Septemba 2023, imetimia miezi 9 pasipo Mkandarasi wa Mradi Yapi Merkezi kutuingizia malipo yetu katika akaunti za Mfuko wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mzee Mwanakijiji
DOKEZO Responded 
Nimejaribu kukumbuka kwa haraka haraka kuna kitu gani kinataja jina la Dr. Salim kwa kumbukumbu ya utumishi wake kwa taifa letu. Sijui kuna barabara au daraja gani limepewa jina lake. Ikumbukwe...
24 Reactions
47 Replies
7K Views
Yakki Kadaf
DOKEZO Responded 
Habarini wakuu, Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nipo maeneo ya bunda,mkoani Mara. Ijumaa iliyopita tarehe nilipata mwaliko kuhudhuria kikao cha wazazi na walimu katika...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Katika mji wa Tukuyu-wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya kumekuwa na mgao wa upendeleo kwani kuna mitaa inakosa maji kwa miezi kadhaa na bill tunakula. Mfano mtaa wa Tanesco Power Station- chini...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Roving Journalist
KERO Responded 
CHANGAMOTO TUNAZO PITIA WAGONJWA WA FIGO MUHIMBILI. Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo. 1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa...
12 Reactions
55 Replies
7K Views
Back
Top Bottom