Responded Threads

BigTall
KERO Responded 
Jamii Forums naomba mtusaidie kupaza sauti kuhusu Barabara ya Goba Mpakani hadi Tegeta A hapa Dar es Salaam, ni mbovu sana na inatugharimu sisi raia wa kawaida. Mfano mvua iliyonyesha jana tarehe...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Ingawa viongozi wa Mkoa na Wilaya hawataki kutoa taarifa kwa jamii juu ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu. Ni kuwa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu imekubwa na visa wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Juzi watumishi Kada ya ualimu na Afya katika Wilaya za Rombo na Sikonge walilalamika kutolipwa stahiki zao ambazo ni fedha za kujikimu. Hivyo hivyo kadhia hiyo imetukumba sisi watumishi katika...
1 Reactions
2 Replies
759 Views
BigTall
DOKEZO Responded 
Sisi watu wa ajira mpya kada mbalimbali tofauti na Elimu na Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera hatujalipwa fedha za kujikimu. Mfano Kada ya Maliasili na Mazingira...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Suley2019
KERO Responded 
Habari Wakuu, Yaani inapotokea mvua katika jiji la Dar es Salaam ni kama adhabu kwa wakazi wa Mwanagati kuanzia kipande cha Kwa Mparange mpaka kituo Cha mwisho cha daladala Cha Mwanagati...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
isky
KERO Responded 
Ndugu wana jamvi nikiwa kama mmoja wa wakazi wa kivule naomba mawazo yenu pengine ninyi mliwahi fanikiwa mlipokuwa na shida kama ya kwetu. Ili kufika kivule njia kuu ni moja kupitia banana -...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Stuxnet
DOKEZO Responded 
Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekana kama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa.
8 Reactions
312 Replies
25K Views
Ndeyanka_Mwenyewe
KERO Responded 
RPC Arusha tunaomba ingilia hili suala la traffic Police Arusha wamekuwa ni kero kusimamisha magari na kuomba hela. Inakuwa kama hela ni haki yao uwe na kosa ama huna kosa. Arusha ni mji mdogo...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
BigTall
KERO Responded 
Mchangamoto tunaopitia wakati wa kujaza gesi kwenye magari ni kero kubwa ya foleni inayotokana na wingi wa wenye uhitaji huku sehemu za kujazia zikiwa chache. Hicho ni kikwazo kikubwa pia kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Hospitali ya Vijibweni Kigamboni ndani ya Dar es Salaam kuna kero ya vyoo ambayo ni hatari kwa watumiaji. Vyoo hivyo vya ni vichafu kwa ndani, vinanuka harufu kali mno kuna uchakavu mwingi pia...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
BARD AI
DOKEZO Responded 
===== UPDATES: 01 DEC 2023 ===== Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigizaji na mtengeneza filamu, Deogratius...
10 Reactions
120 Replies
15K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Hii ni Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA iliyoko Kata Katerero Wilaya ya Bukoba Vijijini, Mkoani Kagera. Wazazi wa wanafunzi wa shule hii wameandika Barua kwa Rais Samia Suruhu Hassan, Waziri Mkuu...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
JanguKamaJangu
KERO Responded 
Wiki mbili baada ya mwandishi wa habari wa Gazeti la Nipashe kuzungumza na uongozi wa Wilaya ya Tunduru kutaka kujua kwanini Shule ya Msingi Magomeni ina madarasa mawili yaliyojengwa kwa nguzo za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Roving Journalist
DOKEZO Responded 
Huu ndio muonekano wa Shule ya Msingi Kugulunde iliyopo katika Kitongoji cha Mahande, Kata ya Mtii, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro. Shule hii ya Serikali haina miundombinu inayoridhisha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kituo cha Afya Zamzam kilichopo Manispaa ya Bukoba huku Mkoani Kagera kinatoa huduma mbovu sana upande wa afya, hasa kwa Wanawake Wajawazito. Haijalishi kama una kadi ya Bima au la, bado huduma...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Fakyuol
KERO Responded 
Mtambo wa kupeleka maji ya ziwa Victoria Shinyanga na Tabora upo Misungwi, ambapo wakazi wake hawana maji. Hii nchi ina maajabu [emoji119]
2 Reactions
10 Replies
787 Views
Roving Journalist
DOKEZO Responded 
Siku chache baada ya baadhi ya Wakulima wa Vijiji vya Mwitikira, Ndaleta, Katikati na Ngabolo Wilayani Kiteto Mkoani Manyara wanaodai kuporwa maeneo yao ya mashamba kuamua kurejea katika mashamba...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
BigTall
DOKEZO Responded 
Kutokana na mgogoro wa ardhi unaoendelea Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, baadhi ya Wakulima wa Vijiji vya Mwitikira, Ndaleta, Katikati na Ngabolo inadaiwa wamekamatwa na Polisi na wamewekwa ndani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Roving Journalist
DOKEZO Responded 
Wakulima wa Vijiji vya Mwitikira, Ndaleta, Katikati, Ngabolo na Olboloti Wilayani Kiteto Mkoani Manyara waliodai kuporwa maeneo yao ya mashamba wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Jimbo la Butiama, Jumanne Sagini ameagiza kukamilika kwa wakati Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Polisi Daraja B cha Wilaya ya Butiama Mkoani Mara...
8 Reactions
87 Replies
11K Views
Back
Top Bottom