Responded Threads

  • Suggestion Suggestion
tinyyn
SoC04 Responded 
Nchini Tanzania mikopo hii hutolewa na halmashauri kwa makundi maalum yanayostahili kupata mikopo hiyo makundi hivyo ni vijana, wanawake na wenye ulemavu ambapo vijana ni asilimia 4%, wanawake ni...
0 Reactions
1 Replies
620 Views
Upvote 1
COLOMBOZI AJAY
DOKEZO Responded 
BUKOBA MANISPAA KAGERA ,TANZANIA Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. : Kwanza Hongera na kazi katika harakati za kulipambania Taifa hasa kwenye secta ya AFYA hapa nchini...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Anonymous
KERO Responded 
Habari wana JF, hii video nimeirekodi kwa mikono yangu mwenyewe, inaonesha Barabara ya Dodoma to Iringa jinsi ilivyo hatarishi kwa maisha ya watu wanaotumia, barabara ina viraka vingi na mahandaki...
8 Reactions
63 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni kijana ambaye ninajishughulisha na shughuli halali za kawaida na ninajipatia kipato halali, ninaomba niwasilishe kilichotokea mtaani kwetu Mkoa wa Katavi, Kitongoji cha Makanyagio Mjini...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
BARD AI
DOKEZO Responded 
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba...
22 Reactions
257 Replies
32K Views
ChoiceVariable
DOKEZO Responded 
Serikali pamoja na watu wa Nyamongo njoo I hapa mtueleze shida ni ni ipi kati yenu na wawekezaji wa mgodi wa North Mara Kiasi kwamba vurugu Kila mara? Vurugu hizi zimekuwa zinachukua maisha ya...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
JF Toons
Responded 
Serikali imeweka utaratibu wa kuhakikisha huduma muhimu ya chakula na lishe inapatikana kwa Wanafunzi wa elimu ya msingi. Kulingana na Mwongozo wa Kitaifa wa Utoaji wa Huduma ya Chakula na Lishe...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Suggestion Suggestion
Rs MI
SoC03 Responded 
Kitambulisho cha taifa hutumika kuthibitisha uraia wa mwananchi kwenye taifa husika. Lakini namna ulimwengu unavyoshuhudia ukuaji wa kasi kwenye sekta ya teknolojia ni vizuri kuboresha...
352 Reactions
331 Replies
33K Views
Upvote 760
Bushmamy
DOKEZO Responded 
Madereva wa mabasi ya mikoani pamoja na Costa hasa zile zinazofanya safari zake Moshi - Arusha wametishia kugoma kwa kile kinachodaiwa ni miundombinu mibovu iliyopo Stendi ya Bomang'ombe hasa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Suley2019
DOKEZO Responded 
Video credit: EATV Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano...
11 Reactions
98 Replies
7K Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Ni uchunguzi wa Kundi la 'Wazalendo' uliofanyika kwa zaidi ya miezi mitatu katika eneo maarufu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam. Wazalendo hao wanabisha hodi kwenye eneo hilo ambalo lina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Nimeshangazwa leo nilipokwenda jengo Millennium Tower 2, kwa ajili ya suala la kiofisi, mjengo ambao unamilikiwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Watumishi wa Umma (PSSSF) nimekuta lifti tano...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
BigTall
KERO Responded 
Wakazi wa Tegeta A (maarufu kwa Bedui) tuna kero ya Barabara, huu ni mwezi wa tano sasa unaelekea wa sita, barabara ni mbovu na inatuumiza Watumiaji. Barabara ninayoizungumzia hapa ni ile ya...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu...
68 Reactions
494 Replies
25K Views
mwanadodoma
DOKEZO Responded 
Naandika kwa uchungu mkubwa baada ya Mke wangu kufanyiwa udhalilishaji na huyu kijana mhuni anayeitwa MALIMA ambaye ni Polisi Jamii hapa Kata ya Nala. Ni kijana ambaye anajiona yeye ni zaidi ya...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Roving Journalist
KERO Responded 
Hali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600 Pia...
4 Reactions
56 Replies
5K Views
JanguKamaJangu
KERO Responded 
Mimi ni mkazi wa Kawe - Mzimuni karibu na Shule ya Ali Hassan Mwinyi, kwa muda wa wiki yote hii kama sijakosea ni kuanzia Jumapili (Machi 17, 2024) nimeshuhudia taka zikizagaa mitaani tena...
2 Reactions
7 Replies
769 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni mmoja wa Madaktari Wanafunzi ambao tulikuwa tunajifunza kwa vitendo kwa muda wa mwaka mmoja katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa (Kitete) iliyopo Tabora. Moja ya changamoto ambayo tulikutana...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni mmoja wa Wafanyakazi katika Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) inayojihusisha na uchapaji wa magazeti ya Habari Leo, Daily News na Spoti Leo, bila kuzunguka sana utaratibu...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Anonymous
KERO Responded 
Chuo Kikuu cha Iringa kina ubabaishaji, hawajali afya za Wateja wao (Wanafunzi) haiwezekani mwanafunzi kafanya usajili kuanzia Novemba mpaka Desemba, lakini bima yake haijawa activated. Mnufaika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom