Responded Threads

  • Suggestion Suggestion
Rs MI
SoC03 Responded 
Kitambulisho cha taifa hutumika kuthibitisha uraia wa mwananchi kwenye taifa husika. Lakini namna ulimwengu unavyoshuhudia ukuaji wa kasi kwenye sekta ya teknolojia ni vizuri kuboresha...
352 Reactions
331 Replies
32K Views
Upvote 760
Bushmamy
DOKEZO Responded 
Madereva wa mabasi ya mikoani pamoja na Costa hasa zile zinazofanya safari zake Moshi - Arusha wametishia kugoma kwa kile kinachodaiwa ni miundombinu mibovu iliyopo Stendi ya Bomang'ombe hasa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Suley2019
DOKEZO Responded 
Video credit: EATV Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano...
11 Reactions
98 Replies
7K Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Ni uchunguzi wa Kundi la 'Wazalendo' uliofanyika kwa zaidi ya miezi mitatu katika eneo maarufu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam. Wazalendo hao wanabisha hodi kwenye eneo hilo ambalo lina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Nimeshangazwa leo nilipokwenda jengo Millennium Tower 2, kwa ajili ya suala la kiofisi, mjengo ambao unamilikiwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Watumishi wa Umma (PSSSF) nimekuta lifti tano...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
BigTall
KERO Responded 
Wakazi wa Tegeta A (maarufu kwa Bedui) tuna kero ya Barabara, huu ni mwezi wa tano sasa unaelekea wa sita, barabara ni mbovu na inatuumiza Watumiaji. Barabara ninayoizungumzia hapa ni ile ya...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu...
68 Reactions
494 Replies
25K Views
mwanadodoma
DOKEZO Responded 
Naandika kwa uchungu mkubwa baada ya Mke wangu kufanyiwa udhalilishaji na huyu kijana mhuni anayeitwa MALIMA ambaye ni Polisi Jamii hapa Kata ya Nala. Ni kijana ambaye anajiona yeye ni zaidi ya...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Roving Journalist
KERO Responded 
Hali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600 Pia...
4 Reactions
56 Replies
5K Views
JanguKamaJangu
KERO Responded 
Mimi ni mkazi wa Kawe - Mzimuni karibu na Shule ya Ali Hassan Mwinyi, kwa muda wa wiki yote hii kama sijakosea ni kuanzia Jumapili (Machi 17, 2024) nimeshuhudia taka zikizagaa mitaani tena...
2 Reactions
7 Replies
751 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni mmoja wa Madaktari Wanafunzi ambao tulikuwa tunajifunza kwa vitendo kwa muda wa mwaka mmoja katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa (Kitete) iliyopo Tabora. Moja ya changamoto ambayo tulikutana...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni mmoja wa Wafanyakazi katika Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) inayojihusisha na uchapaji wa magazeti ya Habari Leo, Daily News na Spoti Leo, bila kuzunguka sana utaratibu...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Anonymous
KERO Responded 
Chuo Kikuu cha Iringa kina ubabaishaji, hawajali afya za Wateja wao (Wanafunzi) haiwezekani mwanafunzi kafanya usajili kuanzia Novemba mpaka Desemba, lakini bima yake haijawa activated. Mnufaika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous
KERO Responded 
Kuna tabia imeibuka au yawezekana ipo kwa muda mrefu, nasema hivyo kwa kuwa sikuwahi kuelewa kuhusu hilo siku za nyuma lakini baada ya hili nitakalozungumza hapa kutokea nikishuhudia, nimepata...
0 Reactions
4 Replies
768 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Nikiwa kama raia mwema na mtumishi wa Kanisa Katoliki lililopo Sinza nimeona sio vema nami nikae kimya wakati kila wiki naenda Kanisani kumuomba Mungu kisha niache familia iteseke wakati nina...
16 Reactions
96 Replies
7K Views
BigTall
DOKEZO Responded 
Hivi karibuni kumekuwa na hoja kadhaa kuhusu vifurushi vya Huduma za Bima ya NHIF, kuna mengi yanazungumzwa lakini leo nataka kushea moja ambalo limenikuta na inawezekana likawa na madhara makubwa...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Hakuna anayejali
DOKEZO Responded 
Habari, katika kutembea kwangu hapa na pale nimegundua tabia za madereva bajaji na bodaboda wengi hawatii sheria za barabarani, gari linasimama zebra lakini hao jamaa wanapita kushoto au kulia au...
14 Reactions
45 Replies
2K Views
Leak
DOKEZO Responded 
Tumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi, lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu...
7 Reactions
141 Replies
11K Views
Anonymous
KERO Responded 
Kumekuwa na changamoto ya mazingira ya chakula hasa katika hizi Shule za Serikali zinazowaweka Wanafunzi bwenini. Mara kadhaa Wanafunzi wamekuwa wakilalamikia uhaba wa chakula lakini suala hili...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
seneni
KERO Responded 
Wapendwa wadau habarini, Mkoa wa Mwanza na viunga vyake (Nyamagana) kumekua na ukosefu mkubwa wa maji unaopelekea watu kuhangaingaika Kila kukicha. Serekari ilitamka December mradi mkubwa wa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom