Responded Threads

Anonymous
KERO Responded 
Takriban wahitimu 20 wa chuo kikuu Cha Dodoma (UDOM) kitivo Cha Elimu tuliohitimu mwaka wa masomo 2019-2020 hatujapatiwa vyeti vya kuhitimu Tumefatilia wanasema changamoto ni matokeo ya mwaka wa...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
KwetuKwanza
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Kagera Wilayani Muleba ni muhitimu wa Diploma in Animal Health and Production katika Chuo cha Igabiro Training Institute of Agriculture kilichopo Muleba. Tangu...
0 Reactions
1 Replies
810 Views
BigTall
KERO Responded 
Naomba Serikali kupitia Waziri wa Maji, Juma Aweso afuatilia chanzo cha Wakazi wengi wa Mkoani Morogoro kukosa huduma ya maji. Hii hali inatutesa sisi wakazi wa Morogoro kwa muda mrefu sasa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Camilo Cienfuegos
DOKEZO Responded 
Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya. Pia...
25 Reactions
180 Replies
7K Views
Precious Diamond
PreGE2025 Responded 
Wakuu, Msemaji wa Mbezi Beach leo nimeenda kuboresha taarifa zangu kwenye daftari kudumu la wapiga kura katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa Mbezi Beach B. Wakati niko nasubiri kuandikishwa ilikuwa...
5 Reactions
58 Replies
3K Views
mjandwasafi
KERO Responded 
Hello habari za majukumu. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha kikatoliki Ruaha (RUCU) kilichopo Iringa. Kwasasa changamoto ambayo wanafunzi wengi tunaipotia ni ucheleweshwaji wa pesa za...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekutana na wananchi wa eneo la Msakuzi kwa Lubaba, Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kufahamu mipango na maendeleo ya miradi ya...
0 Reactions
4 Replies
834 Views
Tajiri Tanzanite
DOKEZO Responded 
Hapo vip!! Uongozi wa kipindi hiki tunaomba iongeze makali kwasababu Wananchi wanateseka na wengi wamekuwa waonyonge wanavyoanza kufuatilia haki zao au huduma katika Ofisi za Serikali...
0 Reactions
3 Replies
795 Views
Anonymous
KERO Responded 
Habari JF, Ni wiki na zaidi sasa maji yamekuwa yakitoka machafu hivi na wakati mwingine huwa machafu zaidi na yenye harufu mbaya. Niliuliza kwa mjumbe maana ni jirani yangu kama anakutana na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mwanamwana
KERO Responded 
Sijui hii mamlaka inakwama wapi, ni wiki ya nne sasa Tabata Bonyokwa hatuna maji. Hii imekuwa kero ya miaka na mikaka na bado hatujapewa ufumbuzi. Tulipangwa kuwa kinajengwa kituo cha kusukuma...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Morogoro wanadai kuwa wanakumabana na kizungumkuti katika kudai kurejeshewa pesa yao waliyoilipa kwa ajili ya ada kabla ya Serikali kuwaigizia mkopo wa...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Precious Diamond
KERO Responded 
Wakuu, Inakribia wiki sasa Mbezi Beach hakuna maji, majibu ni yale yale tumepokea tunashughulikia/tunafanyia kazi, mara mafundi wanatoa upepo, lakini hakuna maji. Halafu bili ikija laki😂😂. Mwaka...
4 Reactions
25 Replies
974 Views
informer 06
DOKEZO PreGE2025 Responded 
Leo Machi 17, 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza rasmi zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura katika Mkoa wa Dar es Salaam. Nikiwa Mdau wa...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Bado Hujasema
KERO Responded 
Sisi Wakazi wa CHANIKA ZINGIZIWA tuna kero ambayo imekuwa ikitusumbua huu mwaka wa pili sasa, tangu Mwaka 2023 tuliambiwa tutaletewa mradi wa umeme lakini hii sasa ni 2025 mpaka leo hatuna umeme...
1 Reactions
5 Replies
920 Views
Mwanongwa
KERO Responded 
Hivi TARURA Mkoa wa Mbeya, kilichowafanya mkamwaga vifusi kwenye hii Barabara ya kutokea Shule ya Sekondari Sangu kuelekea Benki Kuu na kuviacha bila kusambaza ni nani? Barabara ni mbovu...
1 Reactions
4 Replies
528 Views
Mwanongwa
DOKEZO Responded 
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Masimba upo karibu na maeneo ya Uwanja wa Ndege wa hapa Tabora, miaka kadhaa nyuma sisi wakazi wa hapa tulishuhudia mamlaka ya Uwanja wa Ndege ikipita na kuzungushia uzio...
1 Reactions
4 Replies
657 Views
Cute Wife
DOKEZO Responded 
Wakuu, Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai. Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa...
6 Reactions
67 Replies
4K Views
Anonymous
KERO Responded 
Ujumbe huu uwafikie LATRA Pwani na Dar es Salaam nakala kwa wadau wote Serikali, Wasafiri, Wamiliki na UWAMADAR Kwa ,uda mrefu sasa kumekuwa na Tabia ya Daladala zinazokwenda nje ya Dar es Salaam...
0 Reactions
2 Replies
838 Views
Anonymous
KERO Responded 
Tunaiomba JamiiForums kutusaidia kupaza sauti kwa idara ya maji MWANZA (MWAUWASA)kwani ni mkoa ambao pamoja na kua na ziwa lakini maji yanatoka Jumatano au Alhamis pekee tena either usiku wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Kuna taarifa ya kuwa Meli ya MV. Victoria imesitisha kufanya safari kwa takribani wiki mbili sasa, hiyo ni baada ya kupata hitilafu kwenye mfumo wa uendeshaji lakini mamlaka inayohusika ya...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom