KERO Threads

Habari. Ni mwezi sasa mfumo wa ajira portal unasumbua kwamba kwa tunaohitaji kucreate account sms ya kuactivate account hairudshwi kabsa, unajaribu kupiga simu kwa namba walizotuwekea pale lakini...
0 Reactions
4 Replies
786 Views
Hivi mamlaka hazioni au ndo zimeshindwa kuwa-manage maana imekuwa kero kero, wanasababisha ajali tena katika zebra wameigeuza barababara ya mwendokasi kama yao special Kama Serikali inashindwa...
5 Reactions
24 Replies
840 Views
Songesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na...
40 Reactions
293 Replies
31K Views
Anonymous
KERO 
Naanza na Maswali: (1) Kuna ulazima gani wa Ithibati kwa Wanahabari kutolewa na Serikali? Je, imelenga kudhibiti nini kwa Wanahabari? (2) Kwanini ithibati kwa Wanahabari zisitolewa na Vyombo vya...
1 Reactions
0 Replies
332 Views
Kama unaenda Ubungo au Buguruni kupitia barabara ya Mandela tafuta njia mbadala, si kwa hii foleni. Barabara mchepuko za vingunguti, airport na majumba 6 zimefungwa kwa wakati mmoja lazima foleni...
1 Reactions
4 Replies
445 Views
Salam Wakuu, Kama kawaida msemaji kujiteua kwenye masuala ya maji Mbezi Beach nimekuja na update. Kwa majibu tuliyopewa na Meneja wa DAWASA Kawe inaonekana kuna mgao. Maana maji yanazuiliwa kwa...
0 Reactions
8 Replies
686 Views
Anonymous
KERO 
Habari zenu wakuu Suala la kuomba Passport na NIDA ni kama haithaminiwi kabisa kwa wakazi wa mkoa wa Kigoma Passport inathaminiwa zaidi ya NIDA . Mtu unaenda kuomba Passport una NIDA na ya...
1 Reactions
13 Replies
707 Views
Habari wakuu. Bila kuwapotezea muda, kwa kila ambaye amewahi kutumia huduma za kibenki hapa Nchini kwetu Tanzania kuna tabia ya uchelewevu wa huduma na upotevu wa muda sana hasa ukifika Matawini...
3 Reactions
6 Replies
625 Views
Unatoa pesa kupitia simu banking unaenda kwenye ATM unapata ujumbe kuwa umetoa pesa. Lakini noti hazitoki. Alafu zinakaa siku zaidi ya nne hazirudi kwenye akaunti yako. Utakula nini? Kama ndio...
9 Reactions
53 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano kupitia ofisi ya Rais- Utumishi ilianzisha mfumo wa ESS ambao umerahisisha shughuli nyingi za kiutumishi, moja ya suala lililorahisishwa ni ushughulikiwaji wa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Tarehe 01 na tarehe 02 kulifanyika usaili wa wanataaluma Chuo Kikuu Mzumbe. Kumekuwa na utaratibu usiowazi wa kuwapata vijana wanaojitolea, na hawa ndo wamekua wanufaika wa hizi ajira...
1 Reactions
7 Replies
844 Views
Anonymous
KERO 
Nimefika ofisi za NIDA mara kadhaa kila mtu anayetaka kufanya malipo ya kitambulisho analalamika mfumo wa control number unasgida wiki ya pili sasa na wahusika wanakuja kazini na kurudi nyumbani...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Anonymous
KERO 
Halmashauri ya Wilaya Itilima, Mkoa wa Simiyu, Walimu tumekatwa makato kwenye vyama viwili vya Wafanyakazi ambavyo ni Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu (CHAKUHAWATA) na Chama cha Walimu...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Hivi kulikuwa Kuna ulazima Gani wa nyinyi kubadili mfumo wa hiyo app yenu? Sasa hivi hakuna kitu watu wanaangalia kwa Raha, imekua kero na wasumbufu, jiangalieni! ==== Maoni ya wadau wengine...
1 Reactions
8 Replies
735 Views
Anonymous (ae60)
KERO 
Kuna Shule ya Msingi huku Kibaha inaitwa Misugusugu, hapo kuna Wanafunzi wa Darasa la Saba wanaingia Shule Saa 12 Asubuhi na kutoka Saa mbili Usiku muda ambao sio rafiki kwa Wanafunzi. Nasema...
1 Reactions
5 Replies
501 Views
Idadi ya Malori njia ya Mandela road imekua kubwa sana kiasi ambacho yanasababisha foleni kubwa sana. Hii ni kero kero kwa wakazi wa Kigamboni na Mbagala wanaotumia mandela road. Mbali na foleni...
0 Reactions
3 Replies
321 Views
Anonymous
KERO 
Hii kitu mimi huwa inanitatiza sana, pale unapotumia USSD ya benk ili kufanya miamala kupitia mitandao ya simu. Unakuta na kuambiwa ni lazma uwe na saliio la kawaida isiyopungua sh. 100.. Sasa...
2 Reactions
1 Replies
326 Views
Tangia kuzaliwa kwangu sijawai kuona kampuni ya ajabu kama hii ya halotel Hawa jamaa Internet yao ni slow labda uwe karibu na ofisi zao. Internet inaweza kugoma muda wowote na hawana maelezo ya...
11 Reactions
41 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Uongozi wa Shule ya Sekondari Namanga iliopo wilaya ya Longido inanyima watoto wa Maskini vyeti vya kidato Cha nne kisa wameshindwa kulipa Michango. Je, Kuna uhalali wa kisheria kunyima watoto wa...
1 Reactions
4 Replies
351 Views
Anonymous (7ace)
KERO 
Mimi ni mdau wa elimu, naomba ujumbe huu ufike kwenye mamlaka za Juu Serikalini, lengo sio kuchafua taasisi yetu bali ni kutusaidia sisi Watanzania ambao tuna hali ngumu na hatuna mtu wa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom