KERO Threads

Anonymous
KERO 
SUMATRA mkoani Kilimanjaro haswa wilaya ya Moshi mjini haifanyi kazi ipasavyo. Nyakati za jioni kuelekea usiku abiria haswa wanapenda wilaya ya Hai haswa mji Mdogo wa Bomang'ombe abiria wamekuwa...
1 Reactions
0 Replies
153 Views
Anonymous
KERO 
Kumekuwa na kero sana hapa Dodoma mitaa Minginkila soda ya Cocacola unayonunua hasa hizi za take away unakuta tarehe ya kuharibika imefika au bado kidogo lakini pamoja na hayo pia ladha yake...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
JOHNGERVAS
KERO Responded 
Wakuu Kwema? Bila shaka muko salama. Mwezi uliopita Nilikuwa Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Baada ya mke wangu Kuhamishiwa hapo baaada ya Kupewa Rufaa kutoka Kituo cha Afya ambapo alienda...
45 Reactions
259 Replies
18K Views
Shule ya sekondari Maji ya Chai iko Halmashauri ya wilaya ya Meru, wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha. Tusilaumu hizi shule, mazingira wala wanafunzi, mchawi mkubwa ni walimu na viongozi wao...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, hivi huu utaratibu wa kuwaweka kambi Wanafunzi waliyokwenye Vidato vya mitihani nani ameuleta? Maana umekuwa ni mradi kwa baadhi ya Walimu wa Shule hasa za Serikali. Kuna...
11 Reactions
62 Replies
3K Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Kwa kweli huduma ya TTCL Fiber imekuwa changamoto kubwa katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam. Wananchi tunafuata taratibu zote za kuomba huduma, tunajaza fomu na kusubiri, lakini kuna Watu zaidi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kumekuwa na 'Trend' hivi karibu kwa wasifirishaji abiria Mjinia "DALADALA" kukwepa Vituo Rasmi vilivyotengwa kwaajili ya Kupakia na Kushusha abiria na kisha kuegesha njiani ili kumzui mwenzake...
3 Reactions
14 Replies
543 Views
HAKUNA JIJI LENYE MPANGILIO WA HOVYO KATIKA USAFIRI KAMA ARUSHA.. Kiukweli inashangaza sana kuona jiji kama Arusha linazidiwa na Mikoa ambayo haina hadhi kama ilivyo Arusha kuwa na mpangilio...
5 Reactions
9 Replies
645 Views
Anonymous
KERO 
Hii mitandao miwili ina tatizo la mtandao hususan upande wa maongezi 1. Utapiga simu ule mlio wa kuita upande wa mpigaji haulii, kisha simu hiyo itapokelewa lakini mpigaji hatasikia kitu, mpigiwa...
1 Reactions
0 Replies
148 Views
Anonymous
KERO 
Kuna agenda gani kati ya NMB na mfumo wa ESS UTUMISHI katika suala la uuzaji mikopo? Maana watumishi waliokuwa na mikopo NMB wanashindwa kuuza mikopo yao (topup to another bank) bank nyingine...
0 Reactions
0 Replies
404 Views
Habari Madam President, sisi ni Wakazi wa Tanga Mjini, Barabara ya 05 Ngamiani, Mtaa wa Makoko tatizo letu kubwa ni hiyo Majestic Bar ilikuwa ni mali ya CCM lakini imekodishwa na Joseph...
2 Reactions
21 Replies
956 Views
Anonymous
KERO 
Tunaomba kujua kwani Tanroads siku hizi wameacha kumaintain barabara ama ni taasisi nyingine ndio inafanya hiyo kazi? Ukipita barabara ya Skanska kwenda IPTL njia nzima imejaa mchanga, yaani...
1 Reactions
0 Replies
111 Views
Anonymous
KERO 
Bar ya Mashati iliyopo mbweni imekuwa ni kinara wa makelele kwa sisi majirani. Kinachoshangaza hii bar/liquor store imeibukaje katikati ya makazi ya watu? Yaani imezungukwa na nyumba. Kwani hawa...
1 Reactions
0 Replies
180 Views
Anonymous
KERO 
Kama sikosei ni takribani miaka miwili au mitatu imepita tangu serikali ilipotangaza na kupitisha makato maalumu (Tozo za serikali) kwenye miamala ya simu. Serikali ilisema kwamba tozo hizo...
3 Reactions
9 Replies
675 Views
Anonymous
KERO 
Naandika kwa masikitiko makubwa juu ya utaratibu wa kusajili kampuni ndogo za kutoa huduma ya Uhasibu kwa Umma hususani kwa watoa huduma wadogo (Small firms). Pamoja na viambatisho vingi...
0 Reactions
0 Replies
146 Views
Anonymous
KERO 
Kumekuwa na suala la baadhi ya watu ambao wanajiita ni kampuni za upimaji ardhi wamekuwa wakiwarubuni Wananchi haki zao katika suala la ardhi. Wao na Viongozi wa Vijiji wamekuwa kero na...
1 Reactions
1 Replies
299 Views
Kumekuwa na utaratibu wa kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaoenda kwenye taasisi mbalimbali za serikali kujifunza kwa vitendo. Hii ni sehemu ya kujifunza na pia kusaidia majukumu ya taasisi husika...
5 Reactions
59 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Huu utaratibu wakukusanya hela ya takataka naona haupo sawa kwa kiasi kikubwa kama nyumba ni moja halafu hela ya takataka inakusanywa kila chumba si sawa na kama haya ni malipo ya Serikali na ni...
0 Reactions
2 Replies
268 Views
Ujenzi wa njia ya Mwendokasi Mbagala ulitajwa kuwa ungekamilika zaidi ya miaka miwili iliyopita, lakini mara kwa mara Wananchi wamekuwa wakipewa ahadi za kuanza kwa huduma. Inashangaza kuwa baada...
1 Reactions
5 Replies
701 Views
Hii Ofisi haijali mtu yeyote si Walemavu, wazee wala wagonjwa ni mwendo wa huduma mbovu tu kwa kila aliyeko mbele yao hata uso wa aibu hakuna, Mambo yao ni ya usaniiusanii ahadi za uongo na...
2 Reactions
4 Replies
385 Views
Back
Top Bottom