A
Anonymous
Guest
Halmashauri ya Wilaya Itilima, Mkoa wa Simiyu, Walimu tumekatwa makato kwenye vyama viwili vya Wafanyakazi ambavyo ni Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu (CHAKUHAWATA) na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kinyume na taratibu za utumishi.
Taratibu zinaeleza kuwa Mtumishi atajaza fomu kuomba kujiunga na chama kimoja cha Wafanyakazi kulingana na idara yake, sisi wa CHAKUHAWATA tumeonewa na CWT.
Huu ni unyanyasaji wa kihisia na Kiuchumi, mshahara wenyewe tunapambana uongezeke lakini tunakuja kukatwa makato sehemu mbili, hii sio sawa hata kidogo.
Taratibu zinaeleza kuwa Mtumishi atajaza fomu kuomba kujiunga na chama kimoja cha Wafanyakazi kulingana na idara yake, sisi wa CHAKUHAWATA tumeonewa na CWT.
Huu ni unyanyasaji wa kihisia na Kiuchumi, mshahara wenyewe tunapambana uongezeke lakini tunakuja kukatwa makato sehemu mbili, hii sio sawa hata kidogo.