KERO Azam max imekua kero na wasumbufu, jiangalieni

KERO Azam max imekua kero na wasumbufu, jiangalieni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,278
Reaction score
8,767
Hivi kulikuwa Kuna ulazima Gani wa nyinyi kubadili mfumo wa hiyo app yenu?

Sasa hivi hakuna kitu watu wanaangalia kwa Raha, imekua kero na wasumbufu, jiangalieni!

====

Maoni ya wadau wengine

Yaani kiufupi hakuna app ni ujinga mtupu siku hizi
Yaani nimepakua app mpya ni ‘buffering’ mtindo mmoja. Ile ya zamani ilikuwa haina shida😤
 
Wewe mmoja tu ndio huangalii kwa raha labda. Mimi Sina hiyo kitu hivyo siangalii kabisa🤔
 
Yaani nimepakua app mpya ni ‘buffering’ mtindo mmoja. Ile ya zamani ilikuwa haina shida😤
 
Back
Top Bottom