KERO Threads

Wanafunzi wa maeneo ya Butengwa waomba Mkandarasi akamilishe ujenzi wa daraja mapema kwani lililopo ambalo ni la mpito ni hatarishi si kwao tu bali kwa makundi mengine pia. Chanzo Kusaga TV
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Anonymous (c723)
KERO 
Habari.. Kumekua na changamoto ya maji mtaa wa Sinza D karibu na Namnani Hotel kwa kipindi kirefu sasa. Maji yanaweza kutoka kwa tabu sana au yasitoke kabisa hata mwezi mzima. Kwa sasa kuna...
1 Reactions
1 Replies
111 Views
Anonymous
KERO 
Chuo cha Wesley College kilichopo Mwanza chini ya Kanisa la UMC halijalipa wafanyakazi wake kwa muda mrefu sasa. Wafanyakazi wa chuo cha Wesley kilichopo Mwanza mlango mmoja kilichopo chini ya...
1 Reactions
2 Replies
147 Views
Habari wanaJF, Kuna foleni isiyokuwa na ulazima kwenye eneo hilo,sababu kubwa ni Bandari kavu iliyowekwa siku za karibuni,iitwayo BRAVO, hawa BRAVO hawana eneo la kuegesha malori yao (PARKING) na...
2 Reactions
10 Replies
213 Views
Habarini wanajukwaa, leo nmekuja kuwasilisha changamoto na baadhi ya kero katika soko la Buguruni. 1. Soko linamiundo mbinu ya kizamani sana ukilinganisha na idadi ya watu inaowahudumia...
1 Reactions
0 Replies
199 Views
Barabara hii ni muhimu kwa shughuli za kiuchumi kwa maana kuna viwanda vingi maeneo hayo, soko kubwa la vyakula na machinjio kubwa ya ng'ombe. Jambo la kushangaza kuna daladala zinazoenda maeneo...
2 Reactions
10 Replies
223 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mimi ni Mfanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kitengo cha ‘revenue collector’ katika masoko. Changamoto tunayopata Wafanyakazi wa Mkataba wa Halmashauri ya yetu: MOJA: Mshahara...
3 Reactions
3 Replies
346 Views
Anonymous
KERO 
Shule ya Serikali ya Lupa Sekondari Kitivo cha masomo ya PHYSICS kuna Mwalimu amekuwa akipiga Watoto kama anapiga Punda wanapobeba mzigo, anafanya hivyo kisha anajisifu kuwa anaswaga ng’ombe...
4 Reactions
14 Replies
294 Views
Anonymous (b213)
KERO 
Kumekuwepo na ukosefu wa maji katika Hostel za Ubungo za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tunapoishi Wanafunzi wa Uzamili (Postgraduate Students) ambao tunasoma Master's Degrees na Ph.D! Kipindi hiki...
1 Reactions
22 Replies
695 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Morogoro, Halmashauri ya Mlimba, Tarafa ya Mlimba. Kero yangu kubwa ni suala la Kupata Nguzo ya Umeme, ukienda Ofisi za TANESCO ili upate Huduma ya Nguzo ya Umeme...
0 Reactions
9 Replies
405 Views
Anonymous
KERO 
Ubovu wa Barabara ya kutoka Mkonze Shule ya Msingi kwenda Mkonze Zahanati mpaka Mtaa wa Chinyika (Mkonze - Dodoma Mjini) unatia hasira unapopita hapo. Hali ni mbaya mno hasa kipindi hiki cha mvua...
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Anonymous
KERO 
Stendi ya Kisemvule, Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani kuna changamoto zifuatazo; 1. Daladala kugoma kupakia abiria nyakati za asubuhi na kuyapaki au wanakatisha ruti, badala ya kwenda Temeke...
1 Reactions
2 Replies
133 Views
Anonymous
KERO 
Nimevurugwa sana. IKO HIVI. Hapa napoishi tulikuwa tukitumia mita ya zamani, sasa TANESCO Tanzania walikuja na kuibadilisha na kuweka mpya, ile ya zamani ilikuwa na Units zaidi ya 80, na Units...
0 Reactions
4 Replies
554 Views
Anonymous
KERO 
Mwaka 2025 Mwezi wa 10 Serikali ilitangaza ajira kwa Kada ya Elimu na Afya, ajira zikatolewa kweli na mwisho Waziri kasema zoezi limeshafungwa ilihali kwenye Kada kama Tabibu Daraja la Pili...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Anonymous
KERO 
Uongozi wa Jiji la Mbeya uangalie namna ya kufanya kuhusu Vyoo vilivyopo katika Soko jipya la Mbeya. Sinki ni la bati na uchafu unabaki kwenye bati la pembeni. Kwa ufupi mazingira ni machafu...
2 Reactions
0 Replies
117 Views
Anonymous (ce6e)
KERO 
Zikiwa zimepita siku 100 tangu kuapishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuiongoza Tanzania katika muhula wake wa pili, tathmini zimekuwa nyingi na zenye sura tofauti. Wapo wanaotazama kisiasa...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Anonymous
KERO 
Habari za muda huu, Wakazi wa Mzinga, Kongowe, Toangoma, Vikindu na Kisemvule ambao ni watumiaji wakubwa wa barabara ya Kilwa (Kilwa Road) tumekuwa tunakumbana na changamoto ya VUMBI ambalo...
3 Reactions
13 Replies
214 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mwekezaji mdogo kwenye sekta ya uchimbaji (mchimbaji mdogo) kuna mazingira ya unyonyaji na uonevu unaoendelea kwenye Mgodi wa Msasa Gold Mine kwenye Mji wa Runzewe ambao umefumuka au...
3 Reactions
6 Replies
608 Views
Bani Israel
KERO Responded 
Kituo cha Buza Kanisani hiki kilijengwa kwa nia nzuri ila tamaa za mapato na kukosa utu zinageuka kuwa mateso kwa abiria. Tarehe 18/2/2026 kama ilivyo mwaka jana viongozi wa eneo hili wakitumia...
5 Reactions
13 Replies
478 Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Sisi Wakazi wa Tabata Segere kwa Bibi tuna changamoto ya Barabara ambayo inaelekea Hospitali ya Segerea, kuna dimbwi kubwa la maji ambalo linazuia wapita njia, pikipiki, na magari madogo kupita...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
Back
Top Bottom