Ajira mpya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi hatujalipwa pesa ya kujikimu sisi ni Watumishi wapywa wa Mwezi Wa Nane 2025.
Ukifatilia wanasema hawana vifungu vya Kulipa.
Tunateseka sana, tunaomba...
Naomba kuwasilisha suala hili kwa lengo la kupata ufafanuzi kutoka kwa uongozi wa TaESA au mamlaka husika.
Baadhi ya waajiriwa wa muda wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) hatujalipwa...
Katika jamii nyingi, miundombinu bora ya maji taka ni msingi wa afya na ustawi wa wakazi.
Na ni haki kwa kila raia kuishi kwenye mazingira safi na salama.
Hata hivyo hali ni tofauti hapa...
Foleni Pale Manzese Kituoni – Tatizo Ni Daladala Pekee au Uzembe wa Usimamizi?
Wadau,
Pale Manzese kituoni kumekuwa na foleni kubwa sana kila siku.
Tatizo linaonekana wazi, lakini suluhisho...
Suala la mgogoro wa ardhi Sagale imekuwa ni hekaheka wananchi wanataka suluhu ili mambo mengine ya kimaisha yaendelee kwani watu wameishajenga na wanaishi hapo lakini suluhu imekuwa ngumu kwani...
Hello mimi ni mdau wa kutumia usafiri wa train ya kisasa sgr, Tar 2 January 2026 safari ziliahirishwa na mpaka sasa sijarudishiwa fedha ya ticket yangu ya daraja la biashara
Niliwasiliana na...
Nina kero kuhusu Wizara ya Afya Zanzibar:
-Haijawapa wanafunzi wa Postgraduate posho za kujikimu na za Research kwa wale Wanafunzi wa Mwaka wa mwisho kwa mpaka muda huu.
-Licha ya semester kuwa...
https://harvardea.sc.tz/index.php
Mimi ni mzazi mwenye mtoto ambaye anasoma shule moja ipo huko Tabata inafahamika kama HARVARD EAST AFRICA NURSERY AND PRIMARY SCHOOL.
Hii shule imekuwa na...
Kufuatia kujitokeza kwa wingi kwa vitendo vya ulaghai wa Watu wachache wanaowarubuni Wananchi kutoa fedha ili waunganishiwe huduma ya Maji katika Kitongoji cha Makurunge, Kata ya Kiluvya Mkoani...
Hili suala la sarafu kuadimika limekaaje? Niliona kwenye forum Moja ya Mwananchi wakiuliza kwa Afisa Sarafu B.O.T kuhusu kuadimika kwa sarafu hasa Tsh 100, Tsh 200 lakini alijibu kua hakuna shida...
Barabara Kuu ya Songea–Njombe, katika maeneo ya Ottawa, Kata ya Msamala, Manispaa ya Songea, imeharibika vibaya baada ya kuchimbika hadi kufikia katikati ya barabara.
Hali hiyo imekuwa kero kubwa...
Mimi ni mkazi wa Kitongoji cha Kanada, Kata ya Bonyokwa. Kilio changu kinawahusu DAWASA, kwani hatujawahi kupata huduma ya maji tangu tarehe 9 Novemba 2025. Kila tunapofuatilia suala hili tumekuwa...
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana
Vijana wanakuputika kwa kunywa vipombe vya bei rahisi na gongo kama Visungura, Dabo kiki, Strong, Gongo na pombe ya kijani sio kwamba wanapenda la Lasha,bali...
Ni nani anayevujisha taarifa za Watumishi kwenda kwa taasisi za mikopo, maana leo nimetumiwa taarifa za mtumishi kupitia SMS zenye check number, password yake.
Nilimpigia ili kujua ni wapi katoa...
Habari za Leo Waungwana.
Ni hivi nimezunguka karibia ya 96% ya mikoa ya Tanzania lakini ajabu ni kwamba Vyoo vya stendi zote hadi pale Dodoma ile Stendi Kuu ya kisasa kabisa ni pachafu na si...
Ndugu wasomaji
Sisi kama waagizaji tumeona mada mpya toka January mwaka 2026 kutoka bandari ambapo zamani kuhamisha container kutoka Bandari kwenda bandari kavu icd ilikwainachukua siku 5- 7...
Walimu 25 katika Manispaa ya Kigoma Ujiji tulishushwa madaraja bila taarifa yoyote huku Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), ndugu Nathan Balanzinze akasema alikosea kutupandisha vyeo...
Yaani mtu unakaa na file mezani kwako wiki mbili au mwezi mzima unalisogeza tu kila ukiletewa chai...., kwani unapata faida gani au unafanya nini muda wote huo kutojali file ambalo ungeweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.