KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mfumo wa Taarifa za Usimamizi wa Vituo vya Kutoa Huduma za Afya (GoTHOMIS) unaotumika hospitali unasumbua sana, unakuta mgonjwa anasubiri for 2 hours hadi kuja kupata huduma. Kama wanakuwa...
0 Reactions
1 Replies
246 Views
Anonymous (9713)
KERO 
Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa JamiiForums kwa kuwa siku moja baada ya lile chapisho lililoletwa na member kuhusu Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) kuharakisha kutoa matokeo ya Mtihani...
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Anonymous
KERO 
Katika kipindi hiki muhimu cha mitihani, wanafunzi wengi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) wanakumbana na changamoto kadhaa za kiutendaji zinazohitaji uangalizi wa haraka. Kwanza...
1 Reactions
2 Replies
204 Views
Anonymous
KERO 
Ndugu Mkurugenzi, YAH: OMBI LA KUPAZIWA SAUTI KUHUSU MGOGORO NA KUDORORA KWA ELIMU KATIKA SHULE TEULE YA BUKOBA Sisi wazazi wa wanafunzi wa Shule Teule ya Bukoba tunaandika ujumbe huu tukiwa na...
1 Reactions
0 Replies
242 Views
Anonymous
KERO 
Nilitumiwa SMS na kampuni ya mkopo ambayo walitaja majina yangu yote matatu na sehemu ninayofanya kazi na kusema kuwa wanatoa mikopo kwa wafanyakazi, pia wananunua mkopo wa Bodi ya Mikopo ya...
2 Reactions
3 Replies
305 Views
Anonymous
KERO Responded 
Watu waliofanya kazi Zanzibar na wakamaliza mkataba wanaweza kunielewa na kutoa ushuhuda. Wakati wa kufuatilia mafao unaambiwa uwe umechangia miezi 18 bila hivyo hela hupati hadi ufikishe umri wa...
2 Reactions
2 Replies
180 Views
Anonymous
KERO 
Sisi wakaazi wa Wilaya ya Mvomero tunaopata huduma ya umeme kuanzia Kituo cha msamvu kuja Turiani, laini ambayo inasambaza umeme maeneo mengi zaidi ya Wilaya ya Mvomero kuanzia mkundi, halmashauri...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mfanya kazi kampuni ya HAINAN INTERNATIONAL LTD kwenye mradi wa ujenzi wa bohari ya dawa (MSD) mkoani Geita wilaya ya chato pembezoni mwa hospital ya rufaa ya Kanda Chato. Huu mradi toka...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Ukitaka kushughulikia jambo lako lazima utenge takriban siku nzima, ni kuambiwa tu mtandao upo chini mara haupo sawa, tutafika kweli? Nachoka Mimi.
4 Reactions
13 Replies
234 Views
Kituo cha Afya cha Bunju kimekuwa kikitoa huduma zisizoridhisha kwa wananchi, hasa katika upande wa kliniki za wajawazito. Mbali na utaratibu kuwa mbovu, pia kuna kutoza gharama kubwa...
2 Reactions
2 Replies
224 Views
Barabara nyingi za mitaa katika Wilaya ya Ubungo zimegeuka machinjio ya vyombo vya usafiri na chanzo kikuu cha hasara kwa wananchi, huku mamlaka husika zikionekana kushindwa kutoa suluhisho la...
0 Reactions
1 Replies
325 Views
Anonymous
KERO 
Tumeajiriwa mwaka 2024 mpaka sasa hutujathibitishwa kazini na afisa utumishi anasema yupo busy na kazi nyingine tunashindwa kufanya mambo mengine na wanatutishia kusitisha ajira zetu
2 Reactions
12 Replies
367 Views
Anonymous
KERO 
Habari; Mimi ni askari wa hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) ninayefanya kazi katika hifadhi ya Taifa Nyerere. Kwa kipindi kilefu askari wa hifadhi tumekuwa tukipitia ugumu wa maisha kutokana na...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Anonymous
KERO 
Ombi kwa Waziri wa Madini kuna kampuni ya uchimbaji dhahabu ipo Musoma Vijijini, Kijiji cha Kwitope inaitwa GDM, haitendi haki kwa sisi wafanyakazi, mshahara ni shida, mikataba ya ujanja, mtu...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
raiamwematz24
KERO Responded 
Wakazi wa Shekilango jiji Dar es Salaam tunashida kubwa sana ya uhaba wa maji, hatuna huduma tangu mwezi wa Desemba 2025. Watayafungua wao, wakipenda kufungua na bili za maji kama kawaida yaaani...
4 Reactions
6 Replies
383 Views
Anonymous
KERO 
Serikali imejenga barabara ya mtaa wa Songea kwa kiwango cha lami ila serikali hiyo hiyo imeruhusu watu wapaki pembeni ya hizo barabara na zitumike kama garage hii hufanya barabara ya kuharibika...
1 Reactions
5 Replies
137 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu ni hizi Nyaya za Mitandao ya Simu au cable kufungwa hovyo na kuning'inia hadi milangoni mwa watu. Wajifunze kwa TANESCO.
0 Reactions
1 Replies
197 Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Wananchi wa Segerea, Mtaa wa Twiga tunateseka sana kutokana na ubovu wa barabara, hasa wakati wa vipindi vya mvua. Maeneo mengi yamejaa mashimo na mvua inaponyesha hali huwa mbaya zaidi, kiasi cha...
1 Reactions
1 Replies
196 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu, kijana wangu amehitimu chuo Mwaka 2025 katika Chuo cha CBE Kampasi ya Dar, Kozi ya Business Administration lakini mpaka leo Februari 2026 ameenda chuo kufuatilia cheti amejibiwa mpaka...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Back
Top Bottom