A
Anonymous
Guest
Nimevurugwa sana.
IKO HIVI.
Hapa napoishi tulikuwa tukitumia mita ya zamani, sasa TANESCO Tanzania walikuja na kuibadilisha na kuweka mpya, ile ya zamani ilikuwa na Units zaidi ya 80, na Units nyingine zilikuwa zimenunuliwa lakini hazijawekwa kwenye Mita.
Mafundi wa TANESCO baada ya kufanya yao, wakatuambia umeme uliokuwepo na huu ambao haujaingizwa tufuatilie kwenye ofisi za TANESCO za karibu. Kweli tulifuatilia ikiwa ni pamoja na kuandika maelezo kadili walivyotaka.
Sasa ni mwezi hakuna Units zilizorudishwa, ukifuatilia unaambiwa sijui Meneja hayupo, mara Mhasibu kafanya vile, imekuwa usumbufu mkubwa maana unaacha kazi zako, unafuatilia haki yako halafu unajibiwa tu kirahisi. Shirika bado linafanya kazi kwa mazoea tu kusumbua wateja. Shenzi sana.
Kama maelezo tumeweka, ushahidi wote tumeweka, nini kinawashinda kuturudishia huo umeme ili tuendelee kuwaza mambo mengine? Au kwasababu wao wana upendeleo wa units wanaona maisha rahisi sana.
Nimechukia sana.
IKO HIVI.
Hapa napoishi tulikuwa tukitumia mita ya zamani, sasa TANESCO Tanzania walikuja na kuibadilisha na kuweka mpya, ile ya zamani ilikuwa na Units zaidi ya 80, na Units nyingine zilikuwa zimenunuliwa lakini hazijawekwa kwenye Mita.
Mafundi wa TANESCO baada ya kufanya yao, wakatuambia umeme uliokuwepo na huu ambao haujaingizwa tufuatilie kwenye ofisi za TANESCO za karibu. Kweli tulifuatilia ikiwa ni pamoja na kuandika maelezo kadili walivyotaka.
Sasa ni mwezi hakuna Units zilizorudishwa, ukifuatilia unaambiwa sijui Meneja hayupo, mara Mhasibu kafanya vile, imekuwa usumbufu mkubwa maana unaacha kazi zako, unafuatilia haki yako halafu unajibiwa tu kirahisi. Shirika bado linafanya kazi kwa mazoea tu kusumbua wateja. Shenzi sana.
Kama maelezo tumeweka, ushahidi wote tumeweka, nini kinawashinda kuturudishia huo umeme ili tuendelee kuwaza mambo mengine? Au kwasababu wao wana upendeleo wa units wanaona maisha rahisi sana.
Nimechukia sana.